Okoa Wakati- Kataa Wahuni (@ckapugi) 's Twitter Profile
Okoa Wakati- Kataa Wahuni

@ckapugi

ID: 1292398437451935746

calendar_today09-08-2020 09:53:41

7,7K Tweet

141 Takipçi

2,2K Takip Edilen

Okoa Wakati- Kataa Wahuni (@ckapugi) 's Twitter Profile Photo

Wabunge Wote na Madiwani wote wa 2020 Tanzania Bara na Zanzibar Azimio lao wawe wagombea Pekee katika Kata zao na Majimbo yao; Hapo Vp Wabunge na Madiwani.

Godfrey C.M (@songweboy) 's Twitter Profile Photo

Paul Bonaventure Umesema kwamba tutaenda kutambua waganga wakweli nawasio wakweli ila sass sijaona ukiandika kuwa utamjuaje mganga wa kweli na muongo😀😀

millardayo (@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Vijana na Viongozi wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wakiongozwa na Mwenyekiti wao Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo wamesema wako tayari kuhakikisha Wagombea wa nafasi ya Urais waliopitishwa na Mkutano Mkuu wa CCM 2025, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan

Vijana na Viongozi wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wakiongozwa na Mwenyekiti wao Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo wamesema wako tayari kuhakikisha Wagombea wa nafasi ya Urais waliopitishwa na Mkutano Mkuu wa CCM 2025, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
Think Different (@lifeofmshaba) 's Twitter Profile Photo

JWTZ mna cha kusema kuhusu Mabus zaidi 50 ya CCM ? -- Kwanza kwenye mifumo yote ya shipping hakuna consignment ya mabus kutoka China kuja kwa CCM wala kwenda serikalini kwa idadi hiyo, in fact hakuna kabisa mzigo mkubwa wa aina hiyo hata kwenda kwa mfanyabiashara yoyote

JWTZ mna cha kusema kuhusu Mabus zaidi 50 ya CCM ?  

-- Kwanza kwenye mifumo yote ya shipping hakuna consignment ya mabus kutoka China kuja kwa CCM wala kwenda serikalini kwa idadi hiyo, in fact hakuna kabisa mzigo mkubwa wa aina hiyo hata kwenda kwa mfanyabiashara yoyote
Okoa Wakati- Kataa Wahuni (@ckapugi) 's Twitter Profile Photo

Mdude nyagali, Ali kibao, Na Wote Walipoteza Maisha kwa sababu ya Taifa letu kukosa Utu, siasa safi uongozi bora Taifa linawalilia, MUNGU ATATENDA HAKI ITASIMAMA JUU YENU.

Mdude nyagali, Ali kibao, Na Wote Walipoteza Maisha kwa sababu ya Taifa letu kukosa Utu, siasa safi uongozi bora Taifa linawalilia, MUNGU ATATENDA HAKI ITASIMAMA JUU YENU.
Okoa Wakati- Kataa Wahuni (@ckapugi) 's Twitter Profile Photo

Tukishapata REFORMS, Katiba mpya, tume huru, MGOMBEA BINAFSI Vipatikane. Hatuwezi kupitisha uwe mgombea pekee alafu ukatae kuwepo wagombea huru binafsi. Haiwezekani

Okoa Wakati- Kataa Wahuni (@ckapugi) 's Twitter Profile Photo

MUNGU YU PAMOJA NASI ATAPINDUA PINDUA MWAKA HUU WATU WATASHANGAA JIWE WALILOKATAA WAASHI LIMEKUWA JIWE KUU LA PEMBENI-STOSHANGAA MILANGO YS GEREZA IKIFUNGUKA NA LISU KUWA RAIS WA TANGANYIKA TUKISHINDA KTK ULIMWENGU WA ROHONI TUMESHINDA VYOTE KTK MWILI

Think Different (@lifeofmshaba) 's Twitter Profile Photo

BONI YAI MAZUNGUMZO NA VYOMBO VYA HABARI -- Devota analalamika kwamba aliondolewa kwenye group la WhatssApp sababu ni team Mbowe, sasa kwa nini sijaondolewa kwenye hilo group ? yeye alituma vitenge vya CHAUMA kwenye group letu na ile ilikuwa sample ya vitenge vya CHAUMA, baada

BONI YAI  MAZUNGUMZO NA VYOMBO VYA HABARI
--   Devota analalamika kwamba aliondolewa kwenye group la WhatssApp sababu ni team Mbowe, sasa kwa nini sijaondolewa kwenye hilo group ? yeye alituma vitenge vya CHAUMA kwenye group letu na ile ilikuwa sample ya vitenge vya CHAUMA, baada
Prof.Muhitira P. John (@johnmuhiti96003) 's Twitter Profile Photo

Jambo TV Kimsingi nimekubaliana na Maria Sarungi. Hivyo ni kweli Maria huwa anapata taarifa sahihi. Kuanzia leo Maria Sarungi anapaswa kuaminiwa kwa taarifa zake zote. Hata ile taarifa ya Mdude nimeamini kuwa afande Shaban na mkuu wa mkoa Mbeya ni watekaji wa Mdude kwa maelekezo ya ikulu.

U D A - Official Fans Page. (@udapartyke) 's Twitter Profile Photo

UDA Party expels Sen. Gloria Orwoba effective 19th May 2025, following a Disciplinary Committee ruling. Orwoba loses all party privileges as per Article 29, 11.1 of the UDA Constitution. Party also nominates Consolata Wabwire Wakwabubi for the vacant Senate seat.

UDA Party expels Sen. Gloria Orwoba effective 19th May 2025, following a Disciplinary Committee ruling. Orwoba loses all party privileges as per Article 29, 11.1 of the UDA Constitution. Party also nominates Consolata Wabwire Wakwabubi for the vacant Senate seat.
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Dakika 4 za MOTO.🔥🔥🔥 Jamaa kakemea USHENZI wote wa SAMIA. Jamaa kaongelea Ishu yangu ya KUTEKWA na kutupwa Mbuga ya KATAVI. Jamaa kaongelea ishu ya KUHACK accounts. Jamaa kampa SAMIA week 3 amuachie TUNDU LISSU haraka. Thanks KENYA🇰🇪 REPOST 500 TUTAKUWEPO🫵🏾😎

mangi wa kichaga (@cyber_addiicted) 's Twitter Profile Photo

Jambo TV Kwa maana hiyo wapo wanaotekwa na vyombo vya dola sio? Tunawezaje kutofautisha huu UTEKAJI ni wa vyombo vya dola na Huu sio?Hakika wananchi ni muda wa kuamka usingizin kwa pamoja tujiokoe vinginevyo tutakuwa tunaokotwa mmoja mmoja kwa wakati wake no one who is safe #FreeMdude

Makoti Ya Suti (@makotiyasuti) 's Twitter Profile Photo

Jambo TV Sawa, mngetutajjia orodha ya waliotekwa na vyombo vya Dola, ili tujue ni akina nani wametekwa na vyombo vingine ama kama wamepotea tu kama sindano kwenye majani

<a href="/Jambotv_/">Jambo TV</a> Sawa, mngetutajjia orodha ya waliotekwa na vyombo vya Dola, ili tujue ni akina nani wametekwa na vyombo vingine ama kama wamepotea tu kama sindano kwenye majani
Reuben Lukumay ole CDM (@reubenlukumay) 's Twitter Profile Photo

Kama ulimsikiliza Gwajima Kwa Makini, Na jana ukamsikiliza Samia vizuri na mpk sasa hujui wanaoteka na kuuwa watu nchi hi. Bhasi mahali popote utakaposikia neno "ZEZETA" simama sema NIPO.

Kama ulimsikiliza Gwajima Kwa Makini, Na jana ukamsikiliza Samia vizuri na mpk sasa hujui wanaoteka na kuuwa watu nchi hi. Bhasi mahali popote utakaposikia neno "ZEZETA" simama sema NIPO.
Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Pamoja Na Uchungu Mkubwa Unaotokana Na Maisha Tunayo Dhulumiwa Lakini Anayeteswa Au Anayeuwawa Kwa Ajili Ya Kujali Haki , Maiti Yake Ina Thamani Kubwa Kuliko Anayeishi Kwa Ajili Ya Kudhulumu Haki Na Uhai. Kuna Furaha Sana Katika Kuishi Maisha Ya Kujali Na Upendo Hata Kama Maisha

Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Mnafikri tumewasahau Ndugu na Marafiki na watu walio uwawa, kuteswa na kupotezwa ? tunawakumbuka sana . Ila nyie wananchi mmepuuza wito muhimu ktk kudai haki ktk Nchi, na hata mkafikiri ni wajibu wetu peke yetu ambao tunapaswa kujali huku nyie mkibaki mkijali zaidi mapenzi ,

Mnafikri tumewasahau Ndugu na Marafiki na watu walio uwawa, kuteswa na kupotezwa ? tunawakumbuka sana . Ila nyie wananchi mmepuuza wito muhimu ktk kudai haki ktk Nchi, na hata mkafikiri ni wajibu wetu peke yetu ambao tunapaswa kujali huku nyie mkibaki mkijali zaidi mapenzi ,