
Bussara Jr.
@bussarajr
leader | Teacher | Traveler| Politician.
Secretary of Youth Wing Act wazalendo Tanzania.
ID: 1394358504224329730
17-05-2021 18:26:06
562 Tweet
814 Followers
887 Following

Kiongozi wa Chama Bi. Dorothy Semu (Dorothy Semu) atakuwa mgeni rasmi kwenye Mahafali ya kwanza ya Wahitimu wa ACTWazalendo Vyuo Vikuu yatakayofanyika tarehe 8 Juni 2024 Makao makuu ya Chama Magomeni katika ukumbi wa #HakaindeHichilema #SautiyaVijana #ACTWASO


Leo nimekutana na viongozi wenzangu Kamati ya Uongozi Ngome ya vijana_Official Taifa, tumekuwa na kikao kizuri sana chenye mafanikio makubwa .



Wahitimu na wanachama mbalimbali kutoka Vyuo vikuu wakiwa katika mahafali ya kwanza ya Vyuo vikuu inayoendelea katika Ukumbi wa Hakainde Hechilema Makao Makuu ya ACTWazalendo DSM #SautiyaVijana #ACTWASO




UZI PICHA NA MATUKIO YA MAHAFALI YA WANAVYUO WA DAR ES SALAAM. Vijana vyo vikuu wakiwa tayari kwa ajili ya mahafali. Ngome ya vijana_Official


Tunajivunia Idara ya Vyuo Vikuu ya Ngome ya vijana_Official kwa kuendelea kupambania wasomi nakuchochea mabadiliko makubwa ya imanai ya wasomi kwa Chama chetu cha ACTWazalendo Bussara Jr.


Tunajivunia Idara ya Vyuo Vikuu ya Ngome ya vijana_Official kwa kuendelea kupambania wasomi nakuchochea mabadiliko makubwa ya imanai ya wasomi kwa Chama chetu cha ACTWazalendo Bussara Jr.


โHii kauli inayosema vijana ni taifa la kesho sisi ACTWazalendo tunaikataa tunasema vijana ni taifa la leo na sio lakesho. Tunahitaji sana nguvu za vijana kwenye kuleta mabadiliko Tanzania.โ Kiongozi wa Chama Dorothy Semu kwenye Mahfali ya ya kwanza ya wahitimu wa Vyuo Vikuu


Mwenyekiti wa Ngome ya vijana_Official Taifa, Ndugu Abdul Nondo ๐น๐ฟ akipomokea KC Dorothy Semu. KC ndio mgeni rasmi wa mahafali ya wanavyuo wa ACT-Wazalendo. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote


Ukijiepusha na siasa utawapa fursa watawala kufanya maamuzi mabaya yatakayoweza kukuathiri wewe na kizazi chako. Mwenyekiti wa Ngome ya vijana_Official ndugu Abdul Nondo ๐น๐ฟ



"Katika nchi hii kuna watu wamempa TUZO Rais Samia Suluhu; kwa mambo ambayo hayajulikani walikubaliana nini. ACTWazalendo hatujawahi kutoa TUZO, siku zote tumeonesha Serikali inapaswa kufanya nini." Makamu Mwenyekiti wa ACTWazalendo Isihaka Mchinjita #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

Salaam Mh.Rais Samia Suluhu .Mh.Rais , Msaidizi wako ambaye ni DC Kigoma Mjini Mh.Salum Kali alimuagiza mmiliki wa Hotel ya Coast View Resort amfukuze kazi Katibu wetu Ngome ya vijana_Official ACT Wazalendo Mkoa wa Kigoma ndg.Uledi Rajab kama Marketing Manager kwa kosa la kuwa ACT.


Ngome ya vijana_Official ya ACTWazalendo Taifa tumedhamiria kuwaleta vijana pamoja ili wawe sauti moja. Tunaamini kwenye nguvu ya vijana katika kuleta mabadiriko, kufanya maamuzi na kulinda rasilimali za Taifa letu. #VijanaTaifaMoja #SisiniTanzania


Salamu za Mwenyekiti wa ACTWazalendo Taifa, Ndugu Othman Masoud Othman katika Siku ya Mtoto wa Afrika. #ZanzibarMpya #ZanzibarMoja #MamlakaKamili #TaifaLaWote #MaslahiYaWote


Leo tarehe 18/62024 Idara ya Vyuo Vikuu ya Ngome ya vijana_Official imejuika na watoto mayatima wa kituo cha Assalam orphan kilichopo Mpendae Zanzibar kula chakula chapamoja na kuwafariji kwa mambo mbalimbali na kuhakikisha watoto hao wanajiona niwatu muhimu na wakuthaminiwa kwenye jamii.
