Benjamin Migaro (@benjaminmigaru) 's Twitter Profile
Benjamin Migaro

@benjaminmigaru

A Boy From Northern Tanzania A ......Town.

@SimbaSCTanzania
& @Liverpool FC fan πŸŸ₯⬜
Freight CΔΊearing & Forwarding Agent

ID: 1548707248318341122

calendar_today17-07-2022 16:33:49

84 Tweet

121 Followers

103 Following

Farhan Kihamu Jr (@fkihamu) 's Twitter Profile Photo

MCHAKATO WA MABADILIKO, hapa nazungumzia mfumo ambapo sasa ifike wakati tufahamu wapi tumefikia na mkwamo upo wapi, mwaka wa nne sasa simulizi ni zile zile ila klabu haiwezi kusajili Wanachama wapya, hii ni sehemu moja wapo muhimu sana. Simba inapoteza watu wangapi wenye uwezo

MCHAKATO WA MABADILIKO, hapa nazungumzia mfumo ambapo sasa ifike wakati tufahamu wapi tumefikia na mkwamo upo wapi, mwaka wa nne sasa simulizi ni zile zile ila klabu haiwezi kusajili Wanachama wapya, hii ni sehemu moja wapo muhimu sana. 

Simba inapoteza watu wangapi wenye uwezo
Benjamin Migaro (@benjaminmigaru) 's Twitter Profile Photo

To move to a new level in your life, you must break through your comfort zone and face the things that are not comfortable πŸ’ͺ

Kabigwa_AfyaπŸ’Š (@kabigwa_78) 's Twitter Profile Photo

MajiπŸ’¦ -> Kwa Ajili ya Figo! Mayai πŸ₯š-> Kwa Ajili ya Ubongo 🧠! CarrotsπŸ₯• -> Kwa Ajili ya Macho! Nanasi 🍍-> Kwa Ajili ya Koo! Cabbage πŸ₯¬ -> Kwa Ajili ya Utumbo! Tango πŸ₯’ -> Kwa Ajili ya Ngozi! Tangawizi -> Kwa Ajili ya Koo na Mapafu! Parachichi & Nyanya πŸ₯‘ -> Kwa Ajili

Farhan Kihamu Jr (@fkihamu) 's Twitter Profile Photo

FIFA lazima watakuwa wamemtaja Mchezaji huyu ambaye TFF hawajamuweka wazi, lazima FIFA wamtaje Mchezaji ila kwenye hii taarifa inaonekana imefichwa white hapa. Maswali yanasalia kama Yanga imefungiwa usajili kisa changamoto hizi za TMS, je Mchezaji amecheza kwa leseni ipi ama

FIFA lazima watakuwa wamemtaja Mchezaji huyu ambaye TFF hawajamuweka wazi, lazima FIFA wamtaje Mchezaji ila kwenye hii taarifa inaonekana imefichwa white hapa. 

Maswali yanasalia kama Yanga imefungiwa usajili kisa changamoto hizi za TMS, je Mchezaji amecheza kwa leseni ipi ama
Times Algebra (@timesalgebraind) 's Twitter Profile Photo

BIG BREAKING NEWS 🚨 Israel strikes Russian's Khmeimim air base in Syria for the first time. Iranian planes were unloading weapons for Hezbollah. At the same time, Israeli missiles hit a weapons depot at Khmeimim Air Base. Russian air defenses failed to intercept. All

BIG BREAKING NEWS 🚨 Israel strikes Russian's Khmeimim air base in Syria for the first time.

Iranian planes were unloading weapons for Hezbollah. 

At the same time, Israeli missiles hit a weapons depot at Khmeimim Air Base. Russian air defenses failed to intercept.

All
Coach Miguel Cardoso (@maetsebane) 's Twitter Profile Photo

Appreciation post to the current best journalist in Africa, this is the man who made Africans to Vote for Ronwen Williams (Mamelodi Sundowns and Bafana Bafana captain) and put him on 70%+. You are the best man in the continent Keep it up my brother, God bless you Micky Jnr

Appreciation post to the current best journalist in Africa, this is the man who made Africans to Vote for Ronwen Williams (Mamelodi Sundowns and Bafana Bafana captain) and put him on 70%+. You are the best man in the continent

Keep it up my brother, God bless you

<a href="/MickyJnr__/">Micky Jnr</a>
Micky Jnr (@mickyjnr__) 's Twitter Profile Photo

May Almighty Allah keep everyone safe as we keep praying for those trapped under the rubble to be rescued. Africa is with you, Kariakoo! πŸŒπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ€²πŸΌ #PrayForTanzania #PrayForKariakoo

May Almighty Allah keep everyone safe as we keep praying for those trapped under the rubble to be rescued. Africa is with you, Kariakoo! πŸŒπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ€²πŸΌ

#PrayForTanzania
#PrayForKariakoo
Malkia Nyuki πŸ‘‘ (@nyuki_malkia) 's Twitter Profile Photo

Men, punguzeni kuchukua maamuzi magumu ya kuua wenza wenu , hizo pesa, muda na moyo uliowekeza kwake si kitu mbele ya maisha yako au yake ... Unaacha unaanza life lako upya tu

Micky Jnr (@mickyjnr__) 's Twitter Profile Photo

πŸš¨πŸ‡ΉπŸ‡Ώ π…π„πˆπ’π€π‹ π’π€π‹π”πŒ π’π€π˜π’ π˜π„π’ π“πŽ π’πˆπŒππ€ 𝐒𝐂! The iconic number 6️⃣ has agreed to a two-year deal with Simba SC, can reveal. ✍️ Fei Toto has informed Azam he won’t be renewing β€” his decision is final. He’s eager to join Fadlu Davids’ project and compete in

πŸš¨πŸ‡ΉπŸ‡Ώ π…π„πˆπ’π€π‹ π’π€π‹π”πŒ π’π€π˜π’ π˜π„π’ π“πŽ π’πˆπŒππ€ 𝐒𝐂!

The iconic number 6️⃣ has agreed to a two-year deal with Simba SC, can reveal. ✍️

Fei Toto has informed Azam he won’t be renewing β€” his decision is final.

He’s eager to join Fadlu Davids’ project and compete in
Micky Jnr (@mickyjnr__) 's Twitter Profile Photo

πŸš¨πŸ‡ΉπŸ‡Ώ π…π„πˆπ’π€π‹ π’π€π‹π”πŒ π€π’π„πŒπ€ ππƒπˆπŽ πŠπ–π€ π’πˆπŒππ€ 𝐒𝐂! Namba 6️⃣ maarufu amekubali mkataba wa miaka miwili na Simba SC, tunaweza kuthibitisha. ✍️ Fei Toto ameiambia Azam kuwa hatasaini mkataba mpya β€” tayari amefanya uamuzi wake. Anataka kuwa sehemu ya mradi wa

πŸš¨πŸ‡ΉπŸ‡Ώ π…π„πˆπ’π€π‹ π’π€π‹π”πŒ π€π’π„πŒπ€ ππƒπˆπŽ πŠπ–π€ π’πˆπŒππ€ 𝐒𝐂!

Namba 6️⃣ maarufu amekubali mkataba wa miaka miwili na Simba SC, tunaweza kuthibitisha. ✍️

Fei Toto ameiambia Azam kuwa hatasaini mkataba mpya β€” tayari amefanya uamuzi wake.

Anataka kuwa sehemu ya mradi wa
Dr Calipso (@nulphin) 's Twitter Profile Photo

🚨MUHIMU SANA‼️ WOTE WANAOPIGWA RISASI AU KUUMIA WAPELEKWE HOSPITAL YA JESHI LUGALO. Naomba 200 Repost kwa hili kila mtu aone na ajue.

🚨MUHIMU SANA‼️

WOTE WANAOPIGWA RISASI AU KUUMIA WAPELEKWE HOSPITAL YA JESHI LUGALO. 

Naomba 200 Repost kwa hili kila mtu aone na ajue.