Valerian Bayo (@bayo_valerian) 's Twitter Profile
Valerian Bayo

@bayo_valerian

Agressive

ID: 1491498375740542985

calendar_today09-02-2022 19:45:27

5,5K Tweet

455 Followers

990 Following

Valerian Bayo (@bayo_valerian) 's Twitter Profile Photo

Sasa itakuwaje 🤔🤔🤔 vm.tiktok.com/ZS91sUkgq9UDM-… This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: tiktok.com/tiktoklite

KAPETO🇹🇿 (@kapeto98) 's Twitter Profile Photo

Huu Ni Muda ambao Vijana tunatakiwa kuishi Maisha Yetu Kama Israel na Marekani. Popote Unapoenda Kwenye Jambo Lako hakikisha Unarinda Interest za Vijana wenzako Wengine. Kwa Mfano wewe Ni Mfanyabiashara wa Nguo Unaongea na Mteja akitaka Kiatu ambacho Huna Unatakiwa Direct

𝑴𝒂𝒌𝒂𝒗𝒆𝒍𝒊  (@makaveli_255) 's Twitter Profile Photo

Content creators wanahitaji mazingira bora ya kufanya kazi ambayo kimsingi yanatengenezwa kwa sera nzuri, hizo 2b fanyieni mambo mengine boresheni hata baadhi ya shule zetu.

Olesangka (@olesangka) 's Twitter Profile Photo

huyu kolomije kila siku anatufedhehesha na sherehe zake yaan tunapigwa back to back ya fedhea hadi raha na anagusa kwenye mshono tunavyopenda nyama na mitungi na landrover anapita mule mule mamae zake wallahi😅

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part 153 Anaendelea Mhe. Lissu Hili ni kosa la kipekeee, angalieni ibara ya 28(4) ya Katiba ya JMT ndo kosa pekee la Jinai lililotajwa kwenye Katiba kwasababu sio kosa la kawaida. Kama hiyo ndio hoja kosa hili pia la Uhaini linapaswa kuwa na

BELINDA (@_belindapinda01) 's Twitter Profile Photo

Lissu anamuomba hiyo nakala ya hiyo kesi. Katuga anasema ipo mtandaoni. Lissu anamuuliza uko serious kweli mimi niko jela unasema uamuzi wa Mahakama uko mtandaoni? Jamaa wameenda kutafuta huo uamuzi. 😂 Mh. Tundu lissu 🔥🔥🔥 Repost bila kuchoka ✌️

Micky Jnr (@mickyjnr__) 's Twitter Profile Photo

Just landed in Arusha and wow… how did you guys keep this secret? 🌿✨ The weather is perfect, the greenery is unreal, everything feels calm and refreshing. Smooth roads, fresh air, and that peaceful vibe you instantly fall in love with. I have so much to explore, and I can’t

Just landed in Arusha and wow… how did you guys keep this secret? 🌿✨

The weather is perfect, the greenery is unreal, everything feels calm and refreshing.

Smooth roads, fresh air, and that peaceful vibe you instantly fall in love with.

I have so much to explore, and I can’t
Ms_Frida💎 (@famworld2025) 's Twitter Profile Photo

Tito Magoti TAL ni mpango wa Mungu ni ushuhuda mtupu kuwa Mungu anaishi kwa anayo na aliyopitia ni kichaa pekee asiyeweza kuona kuwa he is a chosen one🙌🏾

C. A. Sarikie (@sarikieca) 's Twitter Profile Photo

Today in my morning prayers I remembered TAL, his perseverance and resilience amidst the shackles and metal bars .. not part partisan but as a father and an upright citizen. Mungu amtie nguvu! 🙏

Ms_Frida💎 (@famworld2025) 's Twitter Profile Photo

The wait is over❕❕❕❕❕❕❕❕❕ Karibuni kwa catering service za aina zote Tunapokea oda siku 7 kabla ya tukio🤝 mawasiliano: 0718893552 KARIBUNI🙏

The wait is over❕❕❕❕❕❕❕❕❕
Karibuni kwa catering service za aina zote 
Tunapokea oda siku 7 kabla ya tukio🤝 
mawasiliano: 0718893552
KARIBUNI🙏