BAVICHA Ilala (@bavicha_ilala) 's Twitter Profile
BAVICHA Ilala

@bavicha_ilala

Ukurasa Rasmi wa Baraza la Vijana Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Mkoa wa Kichama Ilala, Dar es Salaam (BAVICHA ILALA)

ID: 1251028457359921152

linkhttp://www.chadema.or.tz calendar_today17-04-2020 06:03:48

957 Tweet

1,1K Followers

35 Following

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Viongozi na wanachama wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya, Jumamosi, 06.09.2025 wamemtembelea Kamanda wetu, Remi Swalo (aliyevaa fulana rangi ya blue). Remi Swalo, alikatwa na mapanga kichwani mwaka 2018 katika uchaguzi mdogo kata ya Nsalaga, Jimbo la Mbeya Mjini. Remi Swalo alikuwa wakala

Viongozi na wanachama wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya, Jumamosi, 06.09.2025 wamemtembelea Kamanda wetu, Remi Swalo (aliyevaa fulana rangi ya blue). Remi Swalo, alikatwa na mapanga kichwani mwaka 2018 katika uchaguzi mdogo kata ya Nsalaga, Jimbo la Mbeya Mjini. Remi Swalo alikuwa wakala
Joel Msuya (@joelymsuya) 's Twitter Profile Photo

“Unaweza ukamuua Soka lakini huwezi kuua fikra zake, kwasababu fikra zake ni HAKI HAKI HAKI” Maneno ya DEUSDEDITH SOKA miezi michache kabla ya kutekwa na kupotezwa mpaka sasa. Yeye pamoja na wenzake JACOB MLAY na FRANK MBISE. #ChademaMashujaaDay

John Nguti Chadema (@johnnguticdm) 's Twitter Profile Photo

"Salamu kutoka Gereza la Ukonga; Mh. Lissu yupo salama yupo tayari kwa ajili ya Kesi Kesho Mahakama Kuu, amesema tujitokeze kwa wingi kufuatilia Kesi hiyo ambayo ataendelea kujitetea Mwenyewe". David Djumbe Tuonane Mahakamani Kesho.

"Salamu kutoka Gereza la Ukonga;
Mh. Lissu yupo salama yupo tayari kwa ajili ya Kesi Kesho Mahakama Kuu, amesema tujitokeze kwa wingi kufuatilia Kesi hiyo ambayo ataendelea kujitetea Mwenyewe". <a href="/daviddjumbe/">David Djumbe</a>

Tuonane Mahakamani Kesho.
Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

Tarehe 07 May 2025 niliandika ujumbe huu. "CHADEMA ni kama Meli ya Kigiriki,pamoja na mawimbi mengi,makubwa na makali lakini CHOMBO kitavuka salama." Sababu kwa miaka yangu 21 ndani ya CHADEMA nimejifunza kuwa 1.kadri utavyoibana CHADEMA ndiyo utakavyokuwa unaitanua bila wewe

Tarehe 07 May 2025 niliandika ujumbe huu.

 "CHADEMA ni kama Meli ya Kigiriki,pamoja na mawimbi mengi,makubwa na makali lakini CHOMBO kitavuka salama."

Sababu kwa miaka yangu 21 ndani ya CHADEMA nimejifunza kuwa

1.kadri utavyoibana CHADEMA ndiyo utakavyokuwa unaitanua bila wewe
Chadema Tanzania (@chadematz2) 's Twitter Profile Photo

"Ngazi zote za Chama zifanye vikao kutafakari mambo ya msingi na kuanza kutekeleza matakwa ya Katiba na kuendelea na uendeshaji wa Chama." Mhe. MNYIKA John John

Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Ndugu wanachama wa CHADEMA na Wapenzi wa Demokrasia Nchini. Chama chetu kimefunguliwa rasmi kufanya shughuli za siasa. Hii ni fursa muhimu katika kuendelea na mapambano ya haki, uhuru na uwajibikaji katika Taifa letu. Lakini ukweli usioepukika ni huu hatuna ruzuku hata ya SENTI

Ndugu wanachama wa CHADEMA na Wapenzi wa Demokrasia Nchini.

Chama chetu kimefunguliwa rasmi kufanya shughuli za siasa. Hii ni fursa muhimu katika kuendelea na mapambano ya haki, uhuru na uwajibikaji katika Taifa letu.

Lakini ukweli usioepukika ni huu
hatuna ruzuku hata ya SENTI
Necto Kitiga (@nectokitiga) 's Twitter Profile Photo

Mwenezi wa Bavicha Taifa. kamanda Felius Festo amewaongoza Vijana kufanya Usafi ofisi za Mabaraza Kinondoni Ufipa. #BavichaMzigoni #KijanaNaKatibaMpya

Chadema Kanda ya Pwani (@chademapwani) 's Twitter Profile Photo

Naibu katibu mkuu bara mh Amani Golugwa atoa maelekezo kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA kuhakikisha ndani ya mwezi mmoja DAR ES SALAM inapepea bendera za CHADEMA tu 📌

Chadema Kanda ya Pwani (@chademapwani) 's Twitter Profile Photo

Viongozi na wanachama wameitumia siku ya leo April 16, siku moja baada ya kufunguliwa shughuli za chama kuendelea na madai ya kuachiwa huru kwa Mwenyekiti wa chama Mh Tundu Lissu. #FREE LISSU

Brenda Rupia Jonas (@brendarupia) 's Twitter Profile Photo

Ndugu Watanzania wenzangu, Kama mnavyofahamu, mapambano ya kutafuta haki na kuleta mabadiliko ya kweli si rahisi,na yanakuwa magumu zaidi pale rasilimali zinapokuwa haba. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinaendelea kusimama imara upande wa wananchi wakati

Ndugu Watanzania wenzangu,

Kama mnavyofahamu, mapambano ya kutafuta haki na kuleta mabadiliko ya kweli si rahisi,na yanakuwa magumu zaidi pale rasilimali zinapokuwa haba.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinaendelea kusimama imara upande wa wananchi wakati
Dedan Wangwe🇹🇿 (@dedanwangwe) 's Twitter Profile Photo

Tunaanza tulipoishia. Huku kwetu, si wazee wala Vijana; Wote tupo NONDO kifikra na Maarifa.💪🏼 Huu mtanange ni wa ngumi, wanetu wa CCM wanakimbilia kuokota mawe ya nini? Kama wanajiamini waambieni watulie tuzichape kwa kufuata Sheria na kanuni za mchezo. Ama namna gani Familia?

Tunaanza tulipoishia. Huku kwetu, si wazee wala Vijana; Wote tupo NONDO kifikra na Maarifa.💪🏼

Huu mtanange ni wa ngumi, wanetu wa CCM wanakimbilia kuokota mawe ya nini?

Kama wanajiamini waambieni watulie tuzichape kwa kufuata Sheria na kanuni za mchezo. Ama namna gani Familia?