
Bashiri Abdallah
@bashiriabdallah
Mtanzania, Mwanasiasa, Nilikuwa Diwani kata ya Nyamisangura, Makamo M/kiti Halmashauri ya Mji Tarime na sasa M/Kiti CHADEMA Jimbo la Tarime Mjini
ID: 1258740400384364545
08-05-2020 12:52:34
133 Tweet
402 Followers
1,1K Following





CCM kwa sasa tunataka kujua wanaume mmebaki wangapi huko ndani so far tunawahesabu kwa mkono mmoja Wengine mmeufyata mnapelekeshwa na Bi Kizimkazi ? Kweli? Emmanuel Nchimbi upo? Nimekwambia we mnafiki hata kutetea haki na utaratibu ndani ya chama kama KM umeshindwa? We ni Mr Yes Man? 🚮




Yaani Samia Suluhu washauri wako Mapete na Mangele wamekupa huyu msanii akusaidie kumjibu Polepole 🤣🤣 Ama kweli CCM ina wenyewe na we si mmoja wao!











