GEAS COMPANY LIMITED. "Security Services Company" (@asilageorge) 's Twitter Profile
GEAS COMPANY LIMITED. "Security Services Company"

@asilageorge

One destination for IT, IOT, Security systems, Fire protection and HVAC,we are experts in consultation, solutions development, installation and after Services

ID: 705032345947152384

linkhttp://www.geas.co.tz calendar_today02-03-2016 14:09:44

67 Tweet

216 Followers

1,1K Following

Magna Carta (@magnacartavoice) 's Twitter Profile Photo

🔬Real patriotism is a willingness to challenge the government when it's wrong. The urge to save humanity is almost always a false face for the urge to rule it. #FreeIdrisSultan

🔬Real patriotism is a willingness to challenge the government when it's wrong. 

The urge to save humanity is almost always a false face for the urge to rule it.    

#FreeIdrisSultan
Magna Carta (@magnacartavoice) 's Twitter Profile Photo

🔬Sheria zimeweka bayana kwamba mtu alikamatwa na Polisi kwa kosa lolote apewe dhamana, aachiwe huru au afikishwe mahakamani ndani ya masaa 48. Police Force TZ wanavunja sheria huku wakitegemea wananchi watii sheria? #FreeIdrisSultan sio JAMBAZI wala sio mhalifu. Acheni dhulma & uonevu.

🔬Sheria zimeweka bayana kwamba mtu alikamatwa na Polisi kwa kosa lolote apewe dhamana, aachiwe huru au afikishwe mahakamani ndani ya masaa 48. <a href="/tanpol/">Police Force TZ</a> wanavunja sheria huku wakitegemea wananchi watii sheria? #FreeIdrisSultan sio JAMBAZI wala sio mhalifu. Acheni dhulma &amp; uonevu.
Magna Carta (@magnacartavoice) 's Twitter Profile Photo

🎙“Mfungwa wa Gereza Kuu Isanga ambaye ni Kiongozi(Nyapara) akimpongeza Kamishna Jenerali wa Magereza Suleiman Mzee kwa kupandishwa cheo kipya cha Meja Jenerali na Rais Dkt John Magufuli” ☝️Huyo hata uraini hapataki tena, ameridhika kabisa na maisha ya nyavu yaaani. 😡!!

🎙“Mfungwa wa Gereza Kuu Isanga ambaye ni Kiongozi(Nyapara) akimpongeza Kamishna Jenerali wa Magereza Suleiman Mzee kwa kupandishwa cheo kipya cha Meja Jenerali na Rais Dkt John Magufuli”

☝️Huyo hata uraini hapataki tena, ameridhika kabisa na maisha ya nyavu yaaani. 😡!!
Godfrey Benedictine (@godfreybenedi15) 's Twitter Profile Photo

"Kitu nimejifunza kwenye maisha yangu ni kuomba msamaha pindi nnapokosea,haijalishi hata kma Kitu sijakosea,hili niwe na amani ya Moyo, Na ikitokea mimi nimekosewa ,basi Ujitahidi kusamehe papo hapo." mpambazi julius Lusajo L.M. ™ | 1440 Araphat Maarifa Chief Mirambo @LucasbrownTz

Magna Carta (@magnacartavoice) 's Twitter Profile Photo

“Hakuna KAZI nyepesi kama kusifu; watawala hata U-DC wanakupa kwa kuwasifu tuu; tumeamua kusimamia haki & demokrasia lkn watanzania hawajielewi, wanamezeshwa Propaganda; sisi tumefanywa maadui wa serikali tunao wapigania hawajielewi, naenda retreat kufanya meditation Kigogo Media

“Hakuna KAZI nyepesi kama kusifu; watawala hata U-DC wanakupa kwa kuwasifu tuu; tumeamua kusimamia haki &amp; demokrasia lkn watanzania hawajielewi, wanamezeshwa Propaganda; sisi tumefanywa maadui wa serikali tunao wapigania hawajielewi, naenda retreat kufanya meditation <a href="/kigogo2014/">Kigogo Media</a>”
Magna Carta (@magnacartavoice) 's Twitter Profile Photo

Mhe. Samia Suluhu unapaswa kumuomba radhi Tundu Antiphas Lissu na umma mzima wa Watanzania. Hatutaki kujua ni askari mliyemtuma au Lah! Miaka 3 mmeshindwa kutupa majibu na Report ya Balozi Adadi mmeizuia na kumvua Ubunge kwa hila. Mtaficha hadi akhera? Mungu yupo na mtalipa TU!