Askofu Mkuu, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, Yuda Thadeus Ruwaichi amesema kwa yanayoendelea nchini kwasasa hatupaswi kujiita Kisiwa cha Amani
โTupende kushughulikia mambo yetu kwa msingi wa ukweli zaidi, msingi wa haki, msingi wa amani na msingi unaompendeza Mungu. Kusudi
Liverpool spending โฌ150M on a 22 year old has the potential of ruining our chances for getting Sesko at the price we hoped for.
Mudryk wasnโt sold for โฌ100M because he was worth that, they asked for โฌ100M because someone was stupid enough to pay โฌ100 for Antony.
Nilikuwa nasoma kitabu kinaitwa Your Brain on Porn cha Gary Wilsonโฆ tangu hapo, hata simu yangu siiangalii kwa jicho lile lile.
Na bado sijamaliza kusoma ๐คฆโโ๏ธ
THREAD ๐งต: ๐
Mwaka 2012, Blandine Nyoni akiwa katibu mkuu wizara ya afya, alinukuliwa akitoa kauli tata ya kuwabeza madaktari kuwa "wanajiona bora wakati ni wachafu na hawajui kiingeleza"
Tuwapokee ila tuwakumbushe..!
1.Karibuni mtaani tufuge na kulima (anza kuwaza shughuli nje ya siasa)
2.Huku mtaani kuna maisha nje ya siasa na ni matamu na mazuri tu.(asikutishe mtu sababu ya siasa).
3.Tumieni viinua mgongo kwa maarifa na hekima kubwa. (huenda ndiyo pesa
#TajiriLaKihaya
FINANCIAL ADVISE? okay
Anza kuishi kwa matumizi ya chini ya kipato chako. Jifunze kuweka akiba mapema, hata kama ni kidogo.
Wekeza kwenye maarifa, jifunze kuhusu fedha, uwekezaji, na biashara.
Epuka madeni yasiyo ya lazima, hasa ya anasa.
Halafu, tafuta
"Ndugu zangu, leo nimekuja hapa kuwashukuru lakini pia kuwaaga najua wengi mtajiuliza, wengine walinipigia simu, Aida tunasikia unahama, Aida tunasikia umeenda CCM, Aida tunasikia sijui unaenda wapi? Leo Aida mwenyewe nipo hapa. Nataka niwaambie mpaka leo nazungumza na ninyi ni
Device inayoitwa Gwaji** - DISCONNECTED.
New device inayoitwa *w*mposa - NOW CONNECTED.
Unatumika kama muwa, utamu ukiisha wanakutema wanachukua mwingine. Life linasonga.
Ukibugi tu 2030 hiyo, wenye unifomu, rungu, na silaha wanahakikisha Kawe hakuna mtu anaenda.
Lakini Yesu
Kuna kizazi tunaendelea kukitengeneza cha watu wanaochoshwa na upendo. Hiki ni kizazi kilichozaliwa na kizazi cha wazazi wasomi, wenye pesa, wasio na muda wa kupenda โkupatikana kihisia, kuzungumza, kusikiliza, kuhusiana, kujali na kadhalika. Tunatumia vitu kuziba ombwe la
Walked out of Sesko negotiations because they asked for โฌ90M.
Canโt close the Viktor Gyรถkeres deal because of a โฌ5M difference.
Canโt pay Eze release clause for โฌ77M.
But you have โฌ60M to offer Chelsea for a player we can do without?
Come on!!! Make it make sense.
Kabla ya kulala usiku wa leo, weka simu pembeni kisha tumia dakika 15 ukiwa katika ukimya ukitafakari maisha yako. Baada ya hapo anza kusali, zungumza na MUNGU wako, mshukuru kwa zawadi ya afya na uhai na umuombe ayaongoze maisha yako daima na afanikishe mipango na ndoto zako.
You know how much your daddy loves you my beloved son. Siku zote kumbuka zile 3G za baba (God, Gratitude, Growth). Daima muweke Mungu mbele (God). Kumbuka kuwa na moyo wa shukrani (Gratitude) na mwisho kuwa kila siku (Growth). Kua kiroho, kiakili na kimwili mwanangu. Nakupenda
Huyu Prof kabla hajajiunga na watawala watafuna nchi alikuwa na busara. Siku hizi kabadilika kawa nani vile? Msikilize anachokisema utajuwa na utabaini kuwa madaraka na fedha huaribu watu.