TheFurryLover1961๐Ÿ’Ž (@furryl1961) 's Twitter Profile
TheFurryLover1961๐Ÿ’Ž

@furryl1961

BlacKing๐Ÿ‘‘
Spana Specialist, Ng'atu king'atu, Dare mE

ID: 3288253407

calendar_today18-05-2015 12:05:06

11,11K Tweet

492 Takipรงi

250 Takip Edilen

Kumbusho Dawson Kagine (@kumbushodawson) 's Twitter Profile Photo

Hii ni Mwanza, Baadaye mje kuanza kusema waandamanaji walikuwa wanafanya fujo. Kuna mtu huwa anasema wananchi hawana hoja, mara wametoka nje ya nchi. Hii ni Tanzania na hawa ni Gen Z. #D9

Peter Madeleka (@pmadeleka) 's Twitter Profile Photo

CAF imesema itaunda TUME YA MARIDHIANO itakayoshirikisha WADAU WOTE ili KUDUMISHA AMANI kwenye FAINALI ZA AFCON 2026. Lengo ni kuhakikisha yaliyotokea tarehe 4 Januari 2026 kwenye MECHI kati ya MOROCCO na TANZANIA, HAYATOKEI TENA.

CAF imesema itaunda TUME YA MARIDHIANO itakayoshirikisha WADAU WOTE ili KUDUMISHA AMANI kwenye FAINALI ZA AFCON 2026. Lengo ni kuhakikisha yaliyotokea tarehe 4 Januari 2026 kwenye MECHI kati ya MOROCCO na TANZANIA, HAYATOKEI TENA.
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Wale tulioambiwa ni marafiki wa raia wakilinda raia. Hatutasahau Ukatili aliotufanyia Idd Amin Mama na Washirika wake, Oktoba 29.

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Huyu binti alipigwa risasi ya kichwa Oktoba 29, akiwa maeneo ya Katoro- Geita alikuwa ametoka mashineni kusaga mahindi ili apate unga wa kula na watoto wake. #TanzaniaMassacre #SamiaMustGo

Huyu binti alipigwa risasi ya kichwa Oktoba 29, akiwa maeneo ya Katoro- Geita alikuwa ametoka mashineni kusaga mahindi ili apate unga wa kula na watoto wake.

#TanzaniaMassacre #SamiaMustGo
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

. Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tujadiliane kidogo. Ramadhan Madabida akiwa Mwenyekiti wa CCM Dar es Salaam na Ofisa Mtendaji Mkuu wa kiwanda Tanzania Pharmaceutical Industries Limited (TPI) kilichoko Njiro jijini Arusha, 10 Februari 2014 alikamatwa na kushtakiwa kwa kusambaza ARV bandia

. <a href="/wizara_afyatz/">Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ</a> tujadiliane kidogo.

Ramadhan Madabida akiwa Mwenyekiti wa CCM Dar es Salaam na Ofisa Mtendaji Mkuu wa kiwanda Tanzania Pharmaceutical Industries Limited (TPI) kilichoko Njiro jijini Arusha, 10 Februari 2014 alikamatwa na kushtakiwa kwa kusambaza ARV bandia
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Hatuwezi kutatua matatizo yetu kwa kujidanganya kuwa hayapo. Kama ilivyo June 16 kila mwaka South Africa wanaadhimisha mauaji ya watoto wa SOWETO (sasa ni siku ya vijana) yaliyofanywa na MAKABURU June 16, 1976. Hii ndiyo chanzo cha kuanzishwa kwa siku ya mtoto wa Afrika

Hatuwezi kutatua matatizo yetu kwa kujidanganya kuwa hayapo.  Kama ilivyo June 16 kila mwaka South Africa wanaadhimisha mauaji ya watoto wa SOWETO (sasa ni siku ya vijana) yaliyofanywa na MAKABURU June 16, 1976. Hii ndiyo chanzo cha kuanzishwa kwa siku ya mtoto wa Afrika
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Wanasambaza โ€˜bilioni mbiliโ€™ kwa hao โ€˜content creatorsโ€™ ili kuwasifia. Wamegundua hilo genge linalowachekesha ndiyo kundi bado mnalifuatilia. Raia wengi bado ni maskini wenye nafuu, ugumu wa maisha unawafanya watafute ucheshi kujiliwaza. Ni mkakati unaotakiwa kukataliwa. Wapuuzwe.