Handsome La Kijiji(@ManenoIzaak) 's Twitter Profileg
Handsome La Kijiji

@ManenoIzaak

Baba Mzazi/Mungu kwanza/Heshimu Mawazo yangu ila ishi Maisha yako/ Ruksa kunipa ushauri wowote/ Ila si lazima ushauri wako uendeshe
Maisha yangu.

ID:2879039050

linkhttp://www.ManenoIzaak.tz.com calendar_today16-11-2014 02:59:38

484,8K تغريدات

424,0K متابعون

6,9K التالية

Follow People
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe(@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

Mdogo wangu, usituweke kundi hilo. Sisi tunathamini sana UTU na tunathamini mchango wa kila mwana mageuzi katika kuweka misingi ya demokrasia nchini. Tafadhali jumbe kama hizi hazituunganishi, zinatugawa. Ndg. Tundu Antiphas Lissu ni Makamu mwenyekiti wenu lakini kwetu sisi ni Kiongozi.

account_circle
WHYMYCATISSAD(@INFLUENCERjr) 's Twitter Profile Photo

“Serikali ina wajibu wa kuratibu na kusimamia huduma za mawasiliano ya simu na intaneti zikiwemo; viwango vya uwekezaji, ubora na viwango wa huduma; gharama za huduma na uzalishaji na usambazaji (upatikanaji). Lakini tunashangwa kuona Serikali mara zote imekuwa ikitoa hoja za

“Serikali ina wajibu wa kuratibu na kusimamia huduma za mawasiliano ya simu na intaneti zikiwemo; viwango vya uwekezaji, ubora na viwango wa huduma; gharama za huduma na uzalishaji na usambazaji (upatikanaji). Lakini tunashangwa kuona Serikali mara zote imekuwa ikitoa hoja za
account_circle
Hussein M Bashe(@HusseinBashe) 's Twitter Profile Photo



Salaam Ndugu Zangu,

Mchakato na Hatua za kufungua soko la Parachichi za China linaendelea.

Ni mchakato mrefu wa ‘plant health process’ kutokana na vigezo vya NPPOs. Nawashukuru shirika la Food and Agriculture Organization, Wakulima na Wadau wa Sekta Binafsi tunaoshirikiana nao

account_circle
Neema Lugangira(@neemalugangira) 's Twitter Profile Photo

Hongera sana Kiongozi wetu, MNEC Suzan Peter Kunambi kwa kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu UWT 💪🏽

Karibu sana na limekamilika hivyo

Chini ya Chatanda na Shomari 🔥

Hongera sana Kiongozi wetu, MNEC Suzan Peter Kunambi kwa kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu UWT 💪🏽 Karibu sana na #JeshiLaMama limekamilika hivyo #TukutaneSite #SSH2025 ✅ #UWTImara Chini ya Chatanda na Shomari 🔥
account_circle
MR BEN(@Eric__Bernard) 's Twitter Profile Photo

DK.MWINYI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA CCM, ZANZIBAR

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui,

DK.MWINYI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA CCM, ZANZIBAR Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui,
account_circle
cousin 420(@420Cousin) 's Twitter Profile Photo

UKIHITAJI MSAADA KUWA MKWELI USAIDIWE.

Serikali ya Mama Samia imemlipa Tundu Lissu pesa nyingi sana ikiwemo za kiinua mgongo cha ubunge wake, mishahara, posho, nk. Zaidi ya milion 400+.

Serikali ya Mama Samia amemlipia Tundu Lissu pesa za matibabu alizotumia akiwa anaumwa

UKIHITAJI MSAADA KUWA MKWELI USAIDIWE. Serikali ya Mama Samia imemlipa Tundu Lissu pesa nyingi sana ikiwemo za kiinua mgongo cha ubunge wake, mishahara, posho, nk. Zaidi ya milion 400+. Serikali ya Mama Samia amemlipia Tundu Lissu pesa za matibabu alizotumia akiwa anaumwa
account_circle
cousin 420(@420Cousin) 's Twitter Profile Photo

Mbowe yupo radhi Lissu atumie daladala ila chadema kumnunulia gari Makamu Mwenyekiti wake ni big no yaani HAPANA.

Ila Mbowe ni muhuni yupo somewhere na nyagi yake anawachora tu mkikusanya nyanga nyanga mwana apate kipando (Gari).

I will still remind you over and over again,

Mbowe yupo radhi Lissu atumie daladala ila chadema kumnunulia gari Makamu Mwenyekiti wake ni big no yaani HAPANA. Ila Mbowe ni muhuni yupo somewhere na nyagi yake anawachora tu mkikusanya nyanga nyanga mwana apate kipando (Gari). I will still remind you over and over again,
account_circle
Ta Amani(@AmaniNteboya) 's Twitter Profile Photo

Handsome La Kijiji Sema mtindi wa ASAS wa chupa ndogo ya 2000 na dumu la lita tano, basi tu🔥🔥🔥🔥

Sijawahi onja hata mengine, hivyo siwezi judge....ila ni kama ASAS kajipambanua kuwa tofauti na wengine

account_circle