Amina Mtika (@aminamtika) 's Twitter Profile
Amina Mtika

@aminamtika

Coordinator of GBV &VAC, Mother,wife, MD.

ID: 1561431755084685315

calendar_today21-08-2022 19:16:44

958 Tweet

1,1K Takipçi

3,3K Takip Edilen

Amina Mtika (@aminamtika) 's Twitter Profile Photo

Ndugu zangu watanzania, kutokana na juhudi na jitihada zinazoendelea kufanywa na viongozi wetu wa chama na serikali,zikiongozwa na mama yetu,Rais wetu Dr Samia suluhu Hassan. Niwaombe watanzania wote kwenda kujiandikisha ktk daftari la mpiga kura na kuhakiki taarifa zetu.

Ndugu zangu watanzania, kutokana na juhudi na jitihada zinazoendelea kufanywa na viongozi wetu wa chama na serikali,zikiongozwa na mama yetu,Rais wetu Dr Samia suluhu Hassan.
Niwaombe watanzania wote kwenda kujiandikisha ktk daftari la mpiga kura na kuhakiki taarifa zetu.
Amina Mtika (@aminamtika) 's Twitter Profile Photo

Mhe.Rais Dr SSH na viongozi wengine wametuonyesha njia ktk zoezi hili la kujiandikisha ktk daftari la wapiga kura. Ni wakati Sasa Mimi na wewe kuchukua hatua kwenda kushiri zoezi hili hadi hapo tarehe 20/10. Tuwakumbushe ndugu, jamaa na marafiki kwenda kushiri zoezi hili.

Mhe.Rais Dr SSH na viongozi wengine wametuonyesha  njia ktk zoezi hili la kujiandikisha ktk daftari la wapiga kura.
Ni wakati Sasa Mimi na wewe kuchukua hatua kwenda kushiri zoezi hili hadi hapo tarehe 20/10.
Tuwakumbushe ndugu, jamaa na marafiki kwenda kushiri zoezi hili.
Amina Mtika (@aminamtika) 's Twitter Profile Photo

Kheri ya x mass na mwaka mpya ndugu zangu watanzania. Ktk kuunga mkono juhudi na jitihada za Mh Rais Dr SSH juu ya matumizi Bora ya nishati safi ya kupikia nawakumbusha kuungana na watoto wetu yatima ktk sikukuu hizi na tupate nao chakula Cha pamoja nao wapate kufurahi.

Kheri ya x mass na mwaka mpya ndugu zangu watanzania.
Ktk kuunga mkono juhudi na jitihada za Mh Rais Dr SSH juu ya matumizi Bora ya nishati safi ya kupikia nawakumbusha kuungana na watoto wetu yatima ktk sikukuu hizi na tupate nao chakula Cha pamoja  nao  wapate kufurahi.
Amina Mtika (@aminamtika) 's Twitter Profile Photo

Tukiwa tumebakiza siku tatu kufikia tarehe 27/01 kumbukizi ya kuzaliwa kwako mhe.Rais Dr Samia suluhu Hassan. Naomba mwaka huu mama mualiko wa kukata keki pamoja na tufurahi pamoja.

Tukiwa tumebakiza siku tatu kufikia tarehe 27/01  kumbukizi ya kuzaliwa kwako mhe.Rais Dr Samia suluhu Hassan.
Naomba mwaka huu mama mualiko wa kukata keki pamoja na tufurahi pamoja.
Amina Mtika (@aminamtika) 's Twitter Profile Photo

Hakika jina hubeba maisha halisi yaa mtu, Samia suluhu hakika amekuwa suluhu Kwa nchi yetu,uchumi wetu, maendeleo yetu na wananchi Kwa ujumla. Ameweza kufungua mipaka ya nchi yetu kibiashara na uchumi,amefungua miradi mingi ya kimaendeleo, na Sasa nchi yetu inang'ara. SAMIA OYEE

Hakika jina hubeba maisha halisi yaa mtu, Samia suluhu hakika amekuwa suluhu Kwa nchi yetu,uchumi wetu, maendeleo yetu na wananchi Kwa ujumla.
Ameweza kufungua mipaka ya nchi yetu kibiashara na uchumi,amefungua miradi mingi ya kimaendeleo, na Sasa nchi yetu inang'ara.

SAMIA OYEE
Amina Mtika (@aminamtika) 's Twitter Profile Photo

Mungu azidi kukupa maisha marefu mama etu mpendwa, Rais wetu Dr Samia suluhu Hassan. Watanzania wenzangu Kwa umoja wetu ifikapo October 2025 tumpe tabasamu mama etu. HAPPY BIRTHDAY TO U MY BELOVED PRESIDENT.

Mungu azidi kukupa maisha marefu mama etu mpendwa, Rais wetu Dr Samia suluhu Hassan.
Watanzania wenzangu Kwa umoja wetu ifikapo October 2025  tumpe tabasamu mama etu.

HAPPY BIRTHDAY TO U MY BELOVED PRESIDENT.
Amina Mtika (@aminamtika) 's Twitter Profile Photo

Hakika mama Kwa haya unayoendelea kuyafanya unazidi kudhihirisha umma na Dunia kuwa wewe ni kinara, wewe ni zaidi ya kiongozi. Unazidi kutupa wepesi ifikapo October 2025 hakika unatosha. Samia Suluhu

Hakika mama Kwa haya unayoendelea kuyafanya unazidi kudhihirisha umma na Dunia kuwa wewe ni kinara, wewe ni zaidi ya kiongozi.
Unazidi kutupa wepesi ifikapo October 2025  hakika unatosha.
<a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a>
Amina Mtika (@aminamtika) 's Twitter Profile Photo

Viva Rais wetu Dr Samia suluhu Hassan, viva jemedari wetu Dr Samia suluhu Hassan, viva Dr Hussein Ally mwinyi, viva chama Cha mapinduzi. Samia Suluhu mitano Tena. October 2025 turuke na mama.

Viva Rais wetu Dr Samia suluhu Hassan, viva jemedari wetu Dr Samia suluhu Hassan, viva Dr Hussein Ally mwinyi, viva chama Cha mapinduzi.
<a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> mitano Tena.
October 2025 turuke na mama.
Amina Mtika (@aminamtika) 's Twitter Profile Photo

October 2025 mambo ni bam bam kazi ni Moja tu. Tunachukuaa tunawekaa....waaaaaa, kura Kwa Samia tunachukua tunawekaa......waaaaaa. Samia Suluhu

October 2025 mambo ni bam bam kazi ni Moja tu.
Tunachukuaa  tunawekaa....waaaaaa, kura Kwa Samia tunachukua  tunawekaa......waaaaaa.
<a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a>
Amina Mtika (@aminamtika) 's Twitter Profile Photo

Kufuatia na mikutano hii mikubwa ya wakuu wa nchi inayofanyika hapa nchini Tanzania ndani ya mwezi huu hii inaonyesha dhairi kabisa kuwa nchi yetu inaamani, upendo na utulivu hiki ni kitu kikubwa sana na tunapaswa kujivunia na kuzidi kumuomba Mungu azidi kuilinda amani hii.

Kufuatia na mikutano hii mikubwa ya wakuu wa nchi inayofanyika hapa nchini Tanzania ndani ya mwezi huu hii inaonyesha dhairi kabisa kuwa nchi yetu inaamani, upendo na utulivu hiki ni kitu kikubwa sana na tunapaswa kujivunia na kuzidi kumuomba Mungu azidi kuilinda amani hii.
Amina Mtika (@aminamtika) 's Twitter Profile Photo

Hakika Tanzania imeweka historia kubwa sana juu ya ujio wa viongozi wa nchi mbali mbalimbali kushiri mkutano mkubwa wa wakuu wa nchi. Tuilinde amani yetu kwani ni tunu ya Taifa letu. Viva Samia Suluhu viva Chama Cha Mapinduzi Samia Suluhu mitano Tena. October 2025 turuke na mama.

Hakika Tanzania imeweka historia kubwa sana juu ya ujio wa viongozi wa nchi mbali mbalimbali kushiri mkutano mkubwa wa wakuu wa nchi.
Tuilinde amani yetu kwani ni tunu ya Taifa letu.
Viva <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a>  viva <a href="/ccm_tanzania/">Chama Cha Mapinduzi</a> 
<a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> mitano Tena.
October 2025 turuke na mama.
Amina Mtika (@aminamtika) 's Twitter Profile Photo

Nawatakia watanzania wote heri ya sikukuu ya idd mubarak. Mungu akawabariki na akawape kheri na baraka ktk maisha yenu, tusiwasahau watoto wetu yatima ktk siku kuu kama hii na Mungu atatubariki sote.

Nawatakia watanzania wote heri ya sikukuu ya idd mubarak.
Mungu akawabariki na akawape kheri na baraka ktk maisha yenu, tusiwasahau watoto wetu yatima ktk siku kuu kama hii na Mungu atatubariki sote.