Alex Chengula (@alexmauro28136) 's Twitter Profile
Alex Chengula

@alexmauro28136

ID: 1898600717457481728

calendar_today09-03-2025 05:08:29

148 Tweet

17 Followers

435 Following

Think Different (@lifeofmshaba) 's Twitter Profile Photo

Huyu Jamaa ameongea ujinga sijawahi kuona Hata aeleweki Mahabusu anaandamana vipi ? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hawa wamechanganyikiwa someni mithali hawana akili tena hawa

(---) Onesmo Mushi (@edutalktz) 's Twitter Profile Photo

Get well soon Father Kitima, siku zote msema kweli ni adui wa watawala. Rais Samia Suluhu , kwa nini msibadilishe katiba mkatangaza kuwa hili ni taifa la kifalme ili tujue moja? Ni ushenzi kuweka haki ya kutoa maoni kwenye katiba halafu wakati huo huo mnashambulia watu kwa

Get well soon Father Kitima, siku zote msema kweli ni adui wa watawala. 

Rais <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> , kwa nini msibadilishe katiba mkatangaza kuwa hili ni taifa la kifalme ili tujue moja? 

Ni ushenzi kuweka haki ya kutoa maoni kwenye katiba halafu wakati huo huo mnashambulia watu kwa
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Bro wangu MDUDE..! Nimepewa taarifa umeunizwa sana kichwani na mdomoni na upo kwenye hali mbaya ambayo inahitajika upate MATIBABU kwa haraka. RC WA MBEYA HOMELA ndie alituma wakina shabani , Veda na vijana wengine kutoka ofisi ya RCO mkoa wa MBEYA waje kukufanyia huo unyama.

Bro wangu MDUDE..!

Nimepewa taarifa umeunizwa sana kichwani na mdomoni na upo kwenye hali mbaya ambayo inahitajika upate MATIBABU kwa haraka.

RC WA MBEYA HOMELA ndie alituma wakina shabani , Veda na vijana wengine kutoka ofisi ya RCO mkoa wa MBEYA waje kukufanyia huo unyama.
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

πŸ™πŸ½ Sala maalum kumwonbea Mdude Nyagali Let us pray: Dear Lord We may have battles but we are not defeated; We may have pressure but we are not powerless; We may feel stretched, but never broken; Because when our strength ends, Your Strength, Almighty God, begins Strength is not

πŸ™πŸ½ Sala maalum kumwonbea <a href="/mdudenyagali/">Mdude Nyagali</a> 
Let us pray:

Dear Lord
We may have battles but we are not defeated;
We may have pressure but we are not powerless;
We may feel stretched, but never broken;
Because when our strength ends, Your Strength, Almighty God, begins
Strength is not
Joramu Nkumbi (@nkumbijoram) 's Twitter Profile Photo

Auladi na atifali wanazaliwa na mabawa, kazi ya elimu njema ni kuwafanya waruke, na kazi ya elimu mbovu ni kuwanyonyoa mabawa yao hivyo hushindwa kuruka kabisa. Watoto wanazaliwa wadadisi na wanasayansi ila wanashindwa kubakia hivyo pindi wakikua sababu ni elimu duni.

EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Amani Golugwa - Mapema leo akizungumza na waandishi wa habari amefunguka kwa kusema hawaridhishwi na nguvu inayotumika kumtafuta Mdude Nyagali #EastAfricaTv #HainaKuchoka #CHADEMA