๐จ๐๐๐๐ ๐ฒ ๐น๐๐๐๐๐
@ahmadrubibi
๐๐ฎ๐ฆ๐๐ง ๐๐ข๐ ๐ก๐ญ๐ฌ ๐๐๐๐๐ง๐๐๐ซ |
๐๐ฎ๐ฌ๐ญ๐ฅ๐๐ซ | ๐
๐จ๐ฅ๐ฅ๐จ๐ฐ ๐๐ง๐ฌ๐ญ๐๐ ๐ซ๐๐ฆ ๐ instagram.com/ahmadrubibi?igโฆ
ID: 3196635863
https://www.clubhouse.com/@ahmadrubibi 23-04-2015 03:44:40
222,222K Tweet
1,1K Takipรงi
404 Takip Edilen
Mchokozi !! G55 tutaachia tena Waraka! Kaa mkao wa kusubiri! #MawazoMbadala
Brenda Rupia Jonas Tundu Antiphas Lissu Associate CPA Catherine Ruge (Msubhati) Maelekezo toka kwa KC BAMBUCHA! Enewei; Tutaupinga Udikteta uchwara ndani ya Chama chetu.
Nakiri kupokea ujumbe mfupi kwa njia ya sms kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chama MNYIKA John John kuhusu hatua iliyochukuliwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Tundu Antiphas Lissu kutengua nafasi yangu ya Mkuu wa Dawati la Jinsia la Chama. Naomba kueleza kwa kifupi kama ifuatavyo; Kanuni za Chama
Gazeti la Nipashe Tanzania hongereni kwa kuipa uzito unaustahili habari ya kutekwa , kupigwa na kufichwa kwa Mdude Nyagali. Mungu awabariki sana. Mdude ni baba wa familia, kaka, uncle na ana ndugu zake. Mdude si ngโombe wa kupotezwa na kusiwe na kishindo. Muachilieni Mdude, akapate