ACTwazalendoElimu (@actelimu) 's Twitter Profile
ACTwazalendoElimu

@actelimu

Official Account for Shadow Ministry of @ACTwazalendo for Education/Wizara Kivuli ya Elimu ya @ACTwazalendo

ID: 1530955112184795141

calendar_today29-05-2022 16:52:14

44 Tweet

189 Takipçi

36 Takip Edilen

ACTwazalendoElimu (@actelimu) 's Twitter Profile Photo

KILA LA KHERI KIDATO CHA NNE. ACTWazalendo inaungana na wazazi na Taifa letu kwa ujumla kuwatakia kila la kheri wanafunz wetu wote wa kidato cha nne wanaoanza mitihani yao kesho Nov14, 2022 Bahati Chirwa Naibu Msemaji Sekta ya Elimu-ACTwazalendo Dorothy Semu Wasemaji wa Kisekta

KILA LA KHERI KIDATO CHA NNE.

<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> inaungana na wazazi na Taifa letu kwa ujumla kuwatakia kila la kheri wanafunz wetu wote wa kidato cha nne wanaoanza mitihani yao kesho Nov14, 2022

Bahati Chirwa 
Naibu Msemaji Sekta ya Elimu-ACTwazalendo
<a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a>
<a href="/ACTBarazaKivuli/">Wasemaji wa Kisekta</a>
Wasemaji wa Kisekta (@actbarazakivuli) 's Twitter Profile Photo

"Suala la mazingira na uhifadhi wake ni suala mtambuka, halina itikadi wala chama. Naunga mkono juhudi za kila mmoja anayetoa elimu kwa umma kuhakikisha mazingira yetu yanalindwa na kuhifadhiwa." Naibu Waziri Kivuli wa Mazingira Ndolezi #MeciranaMazingira

"Suala la mazingira na uhifadhi wake ni suala mtambuka, halina itikadi wala chama. Naunga mkono juhudi za kila mmoja anayetoa elimu kwa umma kuhakikisha mazingira yetu yanalindwa na kuhifadhiwa."

Naibu Waziri Kivuli wa Mazingira
 <a href="/Ndolezi_Petro/">Ndolezi</a>
#MeciranaMazingira
Wasemaji wa Kisekta (@actbarazakivuli) 's Twitter Profile Photo

"Tunataka rasilimali za nchi hii zisinufaishe watu wachache wa chama kimoja; sababu nchi hii si yao peke yao. Hapa Ikwiriri na Rufiji. Mikopo ya Halmashauri inayopaswa kupewa vijana inatolewa kwa ubaguzi, vijana ambao sio CCM hawapewi." Mwenyekiti wa Ngome ya vijana_Official Abdul Nondo 🇹🇿

"Tunataka rasilimali za nchi hii zisinufaishe watu wachache wa chama kimoja; sababu nchi hii si yao peke yao. Hapa Ikwiriri na Rufiji. Mikopo ya Halmashauri inayopaswa kupewa vijana inatolewa kwa ubaguzi, vijana ambao sio CCM hawapewi."

Mwenyekiti wa <a href="/NgomeyaVijana/">Ngome ya vijana_Official</a> 
<a href="/abdulnondo2/">Abdul Nondo 🇹🇿</a>
Wasemaji wa Kisekta (@actbarazakivuli) 's Twitter Profile Photo

"Watu ambao hawana ajira rasmi; kama vile wakulima, mamalishe, bodaboda, machinga nk. Tunapendekeza wawekewe mfumo wa kujiunga na Hifadhi ya Jamii, kisha moja miongoni mwa mafao watakayopata liwe la Bima ya Afya." Waziri Mkuu Kivuli Dorothy Semu #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

📍Dodoma Leo Mei 12, 2023 Waziri Mkuu Kivuli (katikati) Ndg. Dorothy Semu, akiwa katika Kongomano la Kitaifa la Sera na Mitaala ya Elimu, ameambatana na Waziri Kivuli wa Elimu, Ndg. Riziki S. Mngwali (Kushoto) na Mkuu wa Utafiti wa @barazakivuli ACT Wazalendo, Ndg Cde. Mshenga..

📍Dodoma

Leo Mei 12, 2023 Waziri Mkuu Kivuli (katikati) Ndg. <a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a>, akiwa katika Kongomano la Kitaifa la Sera na Mitaala ya Elimu, ameambatana na Waziri Kivuli wa Elimu, Ndg. <a href="/rizikishahari/">Riziki S. Mngwali</a> (Kushoto) na Mkuu wa Utafiti wa @barazakivuli ACT Wazalendo, Ndg <a href="/Mshengahussein/">Cde. Mshenga.</a>.
Wasemaji wa Kisekta (@actbarazakivuli) 's Twitter Profile Photo

"Sera ya Elimu iseme wazi kuhusu ujumuishi katika ufundishaji na ujifunzaji upoje ili watu wenye ulemavu wasiachwe nyuma kwenye mchakato wa Elimu.Uhaba wa walimu wa makundi maalum na miundombinu jumuishi ni miongoni mwa masuala yanayoacha maswali" Waziri Mkuu Kivuli Dorothy Semu

Ngome ya Wanawake (@ngomeyawanawake) 's Twitter Profile Photo

"Sera ya Elimu inayopendekezwa na Serikali inaonyesha Kiingereza ndio chanzo cha maarifa. Mtazamo huu umejaa kasumba ya utumwa na fikra za kikoloni. Si kweli kwamba Kingereza ni chanzo kikuu cha maarifa katika kufundishia." Waziri Kivuli wa Elimu Riziki S. Mngwali

Ngome ya Wazee (@ngomeyawazee) 's Twitter Profile Photo

"Sera ya Elimu inayopendekezwa na Serikali inaonyesha Kiingereza ndio chanzo cha maarifa. Mtazamo huu umejaa kasumba ya utumwa na fikra za kikoloni. Si kweli kwamba Kingereza ni chanzo kikuu cha maarifa katika kufundishia." Waziri Kivuli wa Elimu Riziki S. Mngwali

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

"Sera ya Elimu inayopendekezwa na Serikali inaonyesha Kiingereza ndio chanzo cha maarifa. Mtazamo huu umejaa kasumba ya utumwa na fikra za kikoloni. Si kweli kwamba Kingereza ni chanzo kikuu cha maarifa katika kufundishia." Waziri Kivuli wa Elimu Riziki S. Mngwali

Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mkuu wetu wa Chama sio tu ni Mtendaji Mkuu wa Chama bali pia ni Mwalimu, kila shughuli ya Chama haifanyiki mpaka kwanza mafunzo. Leo amezindua mafunzo ya Watendaji wa Chama wanaosimamia muundo wa Uongozi wa Chama katika Majimbo yote 214 ya Tanganyika. Tunajivunia sana

Katibu Mkuu wetu wa Chama sio tu ni Mtendaji Mkuu wa Chama bali pia ni Mwalimu, kila shughuli ya Chama haifanyiki mpaka kwanza mafunzo. Leo amezindua mafunzo ya Watendaji wa Chama wanaosimamia muundo wa Uongozi wa Chama katika Majimbo yote 214 ya Tanganyika. Tunajivunia sana
Ngome ya Wazee (@ngomeyawazee) 's Twitter Profile Photo

📍 Mwera Magharibi 'A' Mkutano wa Hadhara wa ACT-Wazalendo. Zimebaki siku tano. Usipange kupitwa na hakikisha hupitwi. #ZanzibarMpya #ZanzibarMoja #MamlakaKamili

📍 Mwera Magharibi 'A'

Mkutano wa Hadhara wa ACT-Wazalendo. Zimebaki siku tano. Usipange kupitwa na hakikisha hupitwi.

#ZanzibarMpya
#ZanzibarMoja
#MamlakaKamili
Emmanuel L. Mvula (@immamvula) 's Twitter Profile Photo

Mkutano wa Hadhara Songea Mjini. Bado siku 2 tu. Mkaazi wa Songea na maeneo ya jirani hakikisha hupitwi. #TaifalaWote #MaslahiYaWote

Mkutano wa Hadhara Songea Mjini. Bado siku 2 tu. Mkaazi wa Songea na maeneo ya jirani hakikisha hupitwi.

#TaifalaWote 
#MaslahiYaWote
Wasemaji wa Kisekta (@actbarazakivuli) 's Twitter Profile Photo

📍Geita Mjini Juni 4, 2023 "Kuna upungufu mkubwa wa walimu. Tunaitaka Serikali irudishe mfumo wa kuajiri walimu moja kwa moja na iajiri walimu elfu 30 kila mwaka." Naibu Waziri Kivuli wa Elimu Bahati Chirwa #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

📍Geita Mjini Juni 4, 2023

"Kuna upungufu mkubwa wa walimu. Tunaitaka Serikali irudishe mfumo wa kuajiri walimu moja kwa moja na iajiri walimu elfu 30 kila mwaka."

Naibu Waziri Kivuli wa Elimu
<a href="/ChirwaBahati/">Bahati Chirwa</a> 

#TaifaLaWote 
#MaslahiYaWote