Abdul Yasin (@abdulyascene) 's Twitter Profile
Abdul Yasin

@abdulyascene

ID: 1625047140891328514

calendar_today13-02-2023 08:20:36

4,4K Tweet

177 Takipçi

445 Takip Edilen

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Mpaka sasa Official Bavicha Taifa wamefanikiwa kukusanya Shilingi 2,960,000. Tunakuomba ushiriki Kampeni ya kuwashika mkono familia za mashujaa wa chama chetu na waisokuwa wanachama wetu waliotekwa na kuuwawa katika kupigania haki,demokrasia na utawala bora nchini. Namba MPESA:

Mpaka sasa <a href="/bavicha_taifa/">Official Bavicha Taifa</a> wamefanikiwa kukusanya Shilingi 2,960,000.

Tunakuomba ushiriki Kampeni ya kuwashika mkono familia za  mashujaa wa chama chetu na waisokuwa wanachama wetu waliotekwa na kuuwawa katika kupigania haki,demokrasia na utawala bora nchini.

Namba MPESA:
Madenge (@rollymsouth) 's Twitter Profile Photo

Sema wanaopanda maroli kwenda kwenye mikutano wao ndio wajinga pia, kwenda kusikiliza maji yatatoka Mwanza kwenda Dodoma huku Mwanza hayatoki😂

KIDUKU (@tanzaniaonejezi) 's Twitter Profile Photo

Umri Huu Huna MKE, Huna MTOTO Huna Hata GIRLFRIEND Muda Mwingi Upo Karibu Na Wanaume Wenye PESA Ukiwa KENYA Ulikua Na ALI JOHO Now Upo Na GSM Mbaya Zaidi Umelegea Kama BAMIA Lililoiva. Mavazi Unavaa Ya KIKE Mdomo Mpana Kama Wa ANKOT Unawaweka Wazazi Wako Kwenye Wakati Mgumu Sana.

Umri Huu Huna MKE, Huna MTOTO Huna Hata GIRLFRIEND Muda Mwingi Upo Karibu Na Wanaume Wenye PESA Ukiwa KENYA Ulikua Na ALI JOHO Now Upo Na GSM Mbaya Zaidi Umelegea Kama BAMIA Lililoiva. Mavazi Unavaa Ya KIKE Mdomo Mpana Kama Wa ANKOT Unawaweka Wazazi Wako Kwenye Wakati Mgumu Sana.
Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Diamond aambiwe maelezo ni kama rushwa. Kutoa na kupokea ni kosa la jinai. Atulie dawa iingie. Na asijaribu kutumia akili, kitu ambacho hana, kutoa ufafanuzi. We ain’t buying his nonsense.

The Touchline | Football Coverage (@touchlinex) 's Twitter Profile Photo

🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Lamine Yamal and Argentine singer Nicki Nicole end their relationship after 13 days. Lamine and Nicki had a discussion and broke up as Nicki Nicole and Real Madrid player Franco Mastantuono started dating. — ElCanciller.com

🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Lamine Yamal and Argentine singer Nicki Nicole end their relationship after 13 days.

Lamine and Nicki had a discussion and broke up as Nicki Nicole and Real Madrid player Franco Mastantuono started dating.

— <a href="/elcancillercom/">ElCanciller.com</a>
GreaterThinker💎 (@hopequotes__) 's Twitter Profile Photo

"Wiki linalo kuja Humphrey Polepole anasema Hatopepesa Macho.. Humphrey Polepole anasema Watekaji atawataja bila Woga kwasababu wapo miongoni mwao Hutoa Taarifa.. anasema Rais anakua Mkali mkizungumzia UTEKAJI kwasababu Mtoto Wake Pendwa ni Miongoni Mwao" :~ Humphery PolePole.

"Wiki linalo kuja Humphrey Polepole anasema Hatopepesa Macho..

Humphrey Polepole anasema Watekaji atawataja bila Woga kwasababu wapo miongoni mwao Hutoa Taarifa..

 anasema Rais anakua Mkali mkizungumzia UTEKAJI kwasababu Mtoto Wake Pendwa ni Miongoni Mwao" :~ Humphery PolePole.
Think Different (@lifeofmshaba) 's Twitter Profile Photo

Polepole : Natoa wito kwa vyombo vyote vya ulinzi na usalama, JWTZ , Mamlaka ya kupambana na madawa ya kulevya, Polisi , Usalama wa Taifa na vyombo vyote Mimi najua mnajua biashara halamu zote na matumizi mabaya ya madaraka yaliyofanyika, mnajua kila kitu kama ninavyojua mimi,

Polepole  :  Natoa wito kwa vyombo vyote vya ulinzi na usalama, JWTZ , Mamlaka ya kupambana na madawa ya kulevya, Polisi , Usalama wa Taifa na vyombo vyote

Mimi najua mnajua biashara halamu zote na matumizi mabaya ya madaraka yaliyofanyika, mnajua kila kitu kama ninavyojua mimi,
GreaterThinker💎 (@hopequotes__) 's Twitter Profile Photo

PolePole anawauliza inamaana bado hamkufungua akili zenu kwanini Wale Raia wa Kigeni kutoka Nchi Jirani (Kenya) na Uganda walitekwa na baadae walienda kutupwa kwenye Nchi zao..? Polepole anasema State ina husika na kamtaja mtoto Pendwa wa Mhe. PolePole now Hapindishi...

PolePole  anawauliza inamaana bado hamkufungua akili zenu kwanini Wale Raia wa Kigeni kutoka Nchi Jirani (Kenya) na Uganda walitekwa na baadae walienda kutupwa kwenye Nchi zao..?

Polepole anasema State ina husika na kamtaja mtoto Pendwa wa Mhe.

PolePole now Hapindishi...
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

“Mtoto wa Rais Samia, Abdul ndo anachapisha tshirt za CCM, Abdul ndo mwenye vikundi vya watu wanaotukana watu mtandaoni Hata masuala ya utekaji yana uhusiano na kundi la Abdul”-; Balozi Polepole

GreaterThinker💎 (@hopequotes__) 's Twitter Profile Photo

"Ufisadi wa sasa una Ratibiwa Moja kwa Moja na State moja kwa Moja ndio maana huwezi kuwasikia kwenye Hizi CHAGUZI zao FAKE wakitaja hata kwa Bahati Mbaya neno KUPAMBANA na RUSHWA pamoja na UFISADI" PolePole

"Ufisadi wa sasa una Ratibiwa Moja kwa Moja na State moja kwa Moja ndio maana huwezi kuwasikia kwenye Hizi CHAGUZI zao  FAKE wakitaja hata kwa Bahati Mbaya neno KUPAMBANA na RUSHWA pamoja na UFISADI" PolePole
GreaterThinker💎 (@hopequotes__) 's Twitter Profile Photo

"Abdul mtoto wa Rais kwa sasa ndio kachukua Tenda ya Ku-Print Matishert ya Chama. Hawa watu wanaotukana Mitandaoni ni yeye ndio yupo nyuma yao Mkibisha kua hajachukua tenda nataja mpaka sehemu wanapofanyia Shughuli zao ili Siku Moja Mkawasalimie" PolePole