ABUU HUMAYDI..... ๐
@abduldutch2
๐ญ If the plan doesn't work, change the plan, but never the goal
#GameOn
ID: 1715105124417257472
19-10-2023 20:38:52
573 Tweet
347 Followers
139 Following
๐ฃ๐ข๐ฆ๐ง ๐ญ๐ ๐๐๐๐ข ๐๐๐ญ๐๐ฃ๐๐ก๐๐ช๐ HAZIPATI LIKES WALA COMMENTS KAMA POST NYINGINE, BALI BAADHI YA WATU HUAMINI, AKILAIKI AU KUKOMENT kwenye post ya KIFO ATAJICHULIA (atakufa ghafla) Sio kweliโ๏ธ, Kifo ni haki ya kila mtu na kila kilichoumbwa chenye NAFSI KITAKUFA....
๐ช ๐ธ ๐ฎ ๐ท ๐น๐ฟ๐ฒ ๐น ๐ฟ Nguzo ya 1 shahada Mashia wanashahada tatu ambayo wanamtukuza Ally ibn Abii twaalib (Allah amridhie) 2. Swala Swala zao wanazikusanya kwa pamoja Dhuhr na Alasir na Maghrib na Isha bila udhuru wa kisheria 3. Zaka Kipaumbele ni kwenye khums yaani 1/5 ya mali Sehemu ya zaka