LULU FM RADIO
@_lulufmradio
ID:1295248915277783045
http://www.lulufm.co.ke 17-08-2020 06:39:58
8,0K Tweets
1,2K Followers
25 Following
#GospelshangweNaTheMVP Elvis Baya
Umeamka na tukio gani eneo lako? #ServiceCheck Nambie utashiriki wapi ibada leo? Tusome MITHALI 4:5-7.
Sms/WhatsApp:0727500511
Call:0727499744
#LuluViwanjani inaanza sasa, wewe unakamata nambari ngapi leo tukisonga. Wakilisha mtaa kabisa kupitia Sms 0727500511 uko nami Paps ndani ya masaa manne ya michezo
Rafiki, tarehe ni 14 mwezi Juni pale JCC Malindi, na shuhuli ni ''Revive My Worship'' ikiongozwa na Bishop Kakala pamoja na Pastor Josphat Wanje.
Tunakukaribisha sana hapo rafiki, USIPITWE!
#RafikiWakoWaDhati
#ChangamkaNaPaps
Ili iitwe 'heavy breakfast' inafaa kuwa na nini na nini eti manake sielewi sasa. Vibe la Kazi yakupatia wapi leo? Zungumza nami kupitia Sms/WhatsApp 0727500511
#Mkao na @Kazungu Tumaini #MakalaYaTumaini Je, mpango wa Mentorship unaweza vipi kuwasaidia watoto shuleni? @digiredio @cbcc_africa @unicef_kenya EduMinKenya
#NENOLASIKU
Mhubiri 7:19 BHN
Hekima humfanya mwenye busara kuwa na nguvu zaidi kuliko watawala kumi mjini.
#NENOLASIKU
Zaburi 18:32 BHN
Mungu ndiye anijaliaye nguvu kila upande; ndiye anayeifanya salama njia yangu
#LuluViwanjaniNaTheMVP Elvis Baya Leo nikupe nambari ngapi dimbani? Tukiachana na soka, je ni mchezo upi mwengine unauelewa zaidi na uliupenda sana kipindi unasoma?
SMS/WhatsApp - 0727500511
Call - 0727499744
#TalentCorner
Awamu ya Pili tukiwa na Watoto kutoka HOME of Hope Children's Home.
What are the Sources of WATER? na umejifunza Nini kutoka kwao?
#McKingori #MrAbujubuju
#TeensConnect
Mr Abujubuju say's Good Morning π
Unaload Teen's Connect Bus ukiwa wapi na nani? @MC Kingori #OmwanaOmtiti