viola julius
@VwalaViola
history is herstory too... as a woman i take unusual effort to succeed for if i fail they will say women don't have what it takes
ID:3048029357
20-02-2015 20:58:12
89,0K Tweets
15,5K Followers
1,8K Following
Follow People
Napenda kutumia fursa hii kuishukuru Bodi ya Uratibu wa Mashirika yasiyo ya kiserikali chini ya wizara ya WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII Kwa kuniteua kua Mjumbe wa kamati ya Mpito ya kuratibu Uchaguzi wa Baraza la Taifa la Mashirika yasiyo ya kiserikali National Council Of NGOs Tanzania .
Karibu kwenye wikiendi ya kupeana maarifa na kukuza uelewa kwa njia ya mtandao.
Hii ni #ElimikaWikiendi
Mwezi huu ni maalum kwa ajili ya Afya ya akili na kesho kwenye #ElimikaWikiendi ungana na dada Vivian J Joseph ktika kujua wajibu wako kwenye kulinda afya ya akili #ElimikaWikiendi
Mwezi mei ni mwezi wa afya ya akili. Ukiwa Kama kijana unatambua wajibu wako katika kulinda afya ya akili?
Vivian J Joseph atatupa somo kesho kwenye #ElimikaWikiendi
Mada imefika pahala pake
Wajibu wa vijana katika kulinda afya ya akili ya watoto Vivian J Joseph jukwaani #ElimikaWikiendi
Je unafikiri hii kauli ni sahihi??!!
Bi Mkubwa anasema sio sahihi kwa baba kujihusisha na masuala ya hedhi kwa mtoto wa kike.
#feminahip #redagenda #mhm2024
Cc Femina Hip
Kuelekea maadhimisho ya siku ya mama duniani lapexproperties tunapenda kutoa ofa kwa wateja wetu wote kwenye huduma mbili
1. Uchunguzi utalipia 100,000 Tsh badala ya 300,000 Tsh
2. Hati Miliki utalipia 300,000 Tsh badala ya 700,0000 Tsh
Kuanzia tarehe 11 - 20 May
unataka kuingia kwenye biashara ya nafaka? Biashara ya mchele ina fursa gani na changamoto gani ? ungana na Joyce R Mbura kesho kwenye #ElimikaWikiendi
Mambo ya masoko ya nafaka
Vijana wengi tunapenda kuyafahamu Dada angu Joyce R Mbura utishe #ElimikaWikiendi
Sababu za watoto wachanga kulia mara kwa mara
Nini kinasababisha na njia zipi mzazi atumie kumuweka sawa Dr Ashraf JK, Kutwa Mara Tatu(tds) jukwaani #ElimikaWikiendi
Kuwa bosi wa biashara yako bila kikwazo cha fedha! Jipatie mkopo wa haraka kutoka Soft Finance na uongeze nguvu katika kukuza biashara yako. Wakati ni sasa, fanya maamuzi ya mafanikio!๐ฐ
#MpangoPesa #SoftFinance