Kenny Mmari Snr.
@KennedyMmari
A Voice of Reason in a Confused World | Sworn Adversary of GroupThink | Communication, Technology and Impact | TZ State-affiliated Media | CE @SerengetiBytes
ID:2309651022
https://cosoc.com/KennedyMmari 25-01-2014 08:28:36
4,9K Tweets
165,1K Followers
1,0K Following
Follow People
Nyie am proud of Kenny Mmari Snr. .Embu apewe muda zaidi kwenye mijadala mipana zaidi na mikubwa zaidi. Kha!
Ana kitu.Atafika mbali.👏👏
Kennedy Mmari: Uandishi wa habari unakufa kwa sababu watu hawapati taarifa wanazostaili.
#UhuruNaUbunifu
Ulikuwa ni mjadala mzuri sana kwenye jukwaa la #UhuruNaUbunifu , tukio lililoandiwa na The Chanzo.
Fun Fact: Huwa sipendi kujisikiliza kabisa nikiwa naongea. Sijui kwanini. Lakini hapa nimejisikiliza kwa hofu kidogo, kuwa kuna kitu nilikosea. Potelea mbali 😀
'Matumizi ya mitandao ya kijamii yanaweza kubadilisha msimamo wa umma katika uchaguzi kwa kufanya maamuzi sahihi au yasio sahihi.' ~Kenny Mmari Snr. -Founder Serengeti Bytes
#UhuruNaUbunifu
'If you see someone insulting or spreading rumors online, that's an indication of that person's life. However, let's not perceive online actions as representative of society as a whole.'- Kenny Mmari Snr., founder of Serengeti Bytes speaking at;
#UhuruNaUbunifu
Usambazi wa taarifa za uzushi bila ya kutolea ufafanuzi unaweza ukaathiri maamuzi makubwa kwenye upande wa uchaguzi Kenny Mmari Snr. ~ Mwanzilishi wa Serengeti Bytes.
#UhuruNaUbunifu
Kenny Mmari Snr. Serengeti Bytes TONY ALFRED K The Chanzo Odo Johnbest Mwahaja Jane Shussa 'Social media reflects an individual's life in society, and misleading or inaccurate content is an opportunity for people at times.' - Kenny Mmari Snr., founder of Serengeti Bytes.
#UhuruNaUbunifu
'The dissemination of misinformation without clarification can affect significant decisions, especially in the context of elections.' - Kenny Mmari Snr., Founder of Serengeti Bytes.
#UhuruNaUbunifu