VPO Tanzania
@vpotanzania
Official Twitter account of the Office of the Vice-President of Tanzania | Ukurasa wa Twitter wa Ofisi ya Makamu wa Rais wa Tanzania na Wizara zake
ID: 787295527318777856
http://www.vpo.go.tz 15-10-2016 14:14:15
140 Tweet
32,32K Takipçi
16 Takip Edilen
“Vijana wanaotafuta kazi, wanaohitaji #Fursa wafike mnazi mmoja. Kuna #Fursa za ajira hapa. Tutakuwa na banda maalum la semina kwa vijana wajasiriamali mafunzo ya namna ya kutengeneza mkaa mbadala, namna ya kutafuta masoko pamoja na mikopo vitatolewa”January Makamba #NitunzeNikutunze
"Bei za gesi zinashuka kwa kasi, kikwazo ni kiwango unachonunua, zamani vocha ya chini ilikuwa 10,000 lakini siku hizi kuna mpaka 200. Hii imepanua soko. Tunafanya hivi kwa gesi badala ya kununua mtungi mzima, basi utaweza kununua kwa ujazo wa mita" January Makamba #NitunzeNikutunze
Pamoja na jitihada za Serikali kusambaza na kuhamasisha kuhusu madhara ya ukataji misitu lakini 90% ya watanzania wanatumia nishati ya mkaa na kuni, huku mkoa wa Dar es salaam peke yake ukitumia 70% ya mkaa wote Tanzania - Waziri January Makamba #NitunzeNikutunze
Nikiwasalimu wananchi mara baada ya kufungua kituo cha afya Nanyala ikiwa ni siku ya Pili ya ziara yangu mkoani Songwe . #Songwe @umwalimu Msemaji Mkuu wa Serikali