Thom Mnkondya (@thommunkondya) 's Twitter Profile
Thom Mnkondya

@thommunkondya

Mpima ardhi,Mtaalamu na Mshauri binafsi wa watu,taasisi na kampuni juu ya masuala ya ardhi. Pia ni wakala wa milki @lapexproperties. Blood donor(O+)

ID: 1347149638730702848

linkhttp://www.lapexproperties.co.tz calendar_today07-01-2021 11:54:58

5,5K Tweet

3,3K Followers

400 Following

Thom Mnkondya (@thommunkondya) 's Twitter Profile Photo

Leo nimepata nafasi ya kusikiliza mipango na mikakati ya wizara ya ardhi juu ya sekta ya ardhi kwa mwaka mmoja ujayo nikiwa bungeni,kesho panapo majaliwa nitasikiliza mipango na mikakati ya chama changu chama cha Mapinduzi(CCM) pale JKC kwa miaka 5 ijayo,sina shaka na Mh Rais

Thom Mnkondya (@thommunkondya) 's Twitter Profile Photo

Ni kweli kabisa na wewe kama raia ni lazima usione matokeo kwasababu unataka kuona migogoro haipo. Uko sahihi. Migogoro ya ardhi ni matokeo ya changamoto na matatizo ya sekta ya ardhi. Mh Rais Samia Suluhu kupitia wizara ya ardhi wamewekeza kwenye kutatua hizi changamoto za sekta

Thom Mnkondya (@thommunkondya) 's Twitter Profile Photo

Wakati vyama marafiki wa CCM kutoka nchi mbali mbali duniani wakitoa salaamu zao mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM,huyu mwakilishi kutoka chama cha kijamaa cha watu wa Urusi amenifurahisha kwa salamu zake na ujumbe wake kwa Watanzania na dunia kwa ujumla.

Wakati vyama marafiki wa CCM kutoka nchi mbali mbali duniani wakitoa salaamu zao mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM,huyu mwakilishi kutoka chama cha kijamaa cha watu wa Urusi amenifurahisha kwa salamu zake na ujumbe wake kwa Watanzania na dunia kwa ujumla.
Thom Mnkondya (@thommunkondya) 's Twitter Profile Photo

Ulikuwa wakati nzuri na wa kihistoria kushuhudia uzinduzi wa ilani ya chama chamapinduzi(CCM).kilichonifurahisha zaidi ni pale Mh Rais Samia Suluhu alivyotangaza kwamba kila mkoa nchini uandaliwe ilani ndogo ya mkoa 💪🏿💪🏿.

Ulikuwa wakati nzuri na wa kihistoria kushuhudia uzinduzi wa ilani ya chama chamapinduzi(CCM).kilichonifurahisha zaidi ni pale Mh Rais <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> alivyotangaza kwamba kila mkoa nchini uandaliwe ilani ndogo ya mkoa 💪🏿💪🏿.
Thom Mnkondya (@thommunkondya) 's Twitter Profile Photo

Mzee wangu Prof Kitila Mkumbo (PhD) hongereni kwa kuaminiwa na chama kuandaa ilani ya chama cha mapinduzi(CCM) 2025-2030 pamoja na timu yako.Lakini kubwa zaidi hongera sana kwa hotuba yako leo kwenye mkutano mkuu wa CCM. It was a remarkable speech.Truly commendable. Nilifurahishwa sana.

Thom Mnkondya (@thommunkondya) 's Twitter Profile Photo

Kama ambavyo wewe umepanga mipango yako ya mwaka huu na bado hujakamilisha kwasababu mbali mbali na nchi ni hivyo hivyo. Hakuna nchi duniani yenye Rais wa kuchaguliwa kwa miaka 5 au 10 aliyekamilisha ahadi zake zote kwa wananchi au ilani nzima. Hayupo. Ni nchi za kifalme tu au

Olvaris Lasway (@olvarislasway) 's Twitter Profile Photo

The Mkindo irrigation scheme in Mvomero District, Morogoro Region, Tanzania, is a well-organized rice irrigation project that utilizes the Mkindo Perennial River. It is a primary food and income source for smallholder farmers in the area.....

The Mkindo irrigation scheme in Mvomero District, Morogoro Region, Tanzania, is a well-organized rice irrigation project that utilizes the Mkindo Perennial River. It is a primary food and income source for smallholder farmers in the area.....
Thom Mnkondya (@thommunkondya) 's Twitter Profile Photo

Dar es salaam ndiyo mkoa unaongoza kwa ujenzi wa miradi ya uwekazaji ambapo mpaka 2024 ilisajiliwa miradi 364 yenye mtaji wa $4.4 bilion ukifatiwa na Mwanza miradi 37 kwa $ 581 milion halafu Arusha miradi 64 kwa $213 milion. Jambo hili limekuwa likinitafakarisha sana hasa

Carol Ndosi (@carolndosi) 's Twitter Profile Photo

Ukipewa kazi, ifanye kwa uaminifu… na Usilete tamaa ya kupiga 300k kwenye kazi ambayo ungeweza kupewa milioni kama ‘well done’..

Thom Mnkondya (@thommunkondya) 's Twitter Profile Photo

Katika Taasisi imara nchini kwetu zilizojikita kuwajengea uwezo watu wake ni Jeshi la wananchi(JWTZ). JWTZ halitegemei wataalamu wa nje ya jeshi,hutengeneza wataalamu kwa manufaa yake. Taasisi zingine zitapaswa kuiga hili. Siyo ikitokea nafasi wanaenda viongozi wa taasisi au

Thom Mnkondya (@thommunkondya) 's Twitter Profile Photo

Kuna jamaa yupo TCAA tumesoma chuo pamoja ni kijana tu,alipata bahati ya kuajiriwa moja kwa moja TCAA. Nikamwambia mkiwa huo ofisini washaurini viongozi wenu mafunzo ya kurusha drone isiwe 2m iwe hata 150k serikali iweke ruzuku ili vijana wengi wapate mafunzo hayo kiurahisi ili