Suphian Juma Nkuwi
@suphianjuma
โMgombea Ubunge Singida Magharibi 2020.
โ Mkurugenzi Mtendaji @TAA_Tanzania
โMWANZILISHI- SINGIDA MPYA YA KIJANI INAWEZEKANA
ID: 3363017128
06-07-2015 19:52:43
94,94K Tweet
156,156K Followers
32 Following
๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐ค๐จ๐ณ๐จ๐ณ Rais wa China ametangaza maeneo 10 ya ushirikiano kati ya China na Afrika miongoni mwa maeneo hayo ni kama vile miundombinu, elimu na ushirikiano katika viwanda Hii italenda ukuaji wa maisha ya watu na ustawi wa jamii katik nchi zetu hongera kwa serikali yetu na Mh
Tupo pamoja Mwanamazingira namba moja Rais Dkt Samia Suluhu
Vijana wa CHADEMA wamekosa malezi ya kifamilia, wahuni wahuni tu. Ukosefu wa adabu na nidhamu wa namna hii huwezi kuukuta kwa vijana wa Chama Cha Mapinduzi
Kilichotokea Tanga ni dhahiri vijana wa CHADEMA wana maadili ya hovyo toka kwa familia zao, hawaheshimu msiba wala Kiongozi. Nimpongeze M/kiti wao Mbowe kwa kuwakemea vikali kuacha kumzomea Waziri Masauni. Chama Cha Mapinduzi ujinga kama huo huupati kwa vijana, waje TUWAFUNDEโผ๏ธ
Spana & V.A.R Movement Vijana wa chadema wanalazimisha kila mtu awe upande wao na wawe sawa kimaoni na kimtizamo๐๐๐๐ Nimecheka
AHSANTE MSANII TABU MTINGITAโผ๏ธ Shirika la TAA tunakushukuru sana Mchekeshaji, Muigizaji na Mwimbaji TABU MTINGITA kwa kuunga mkono kampeni yetu ya kupanda miti ya SINGIDA MPYA YA KIJANI INAWEZEKANA katika kumsapoti Rais Dkt Samia Suluhu kudhibiti Mabadiliko ya tabianchi.
Najiwazia hapa; kwanini wanaodai wanafuatiliwa au kutekwa ni wafuasi wa CHADEMA tu? Tuna vyama zaidi ya 20 nchini wanaokosoa kama CHADEMA mbona hawaguswi? Nahisi CHADEMA ndio chanzo kikuu cha tatizo. CHADEMA acheni kumchokonoa wetu mpenda utu Haki na Uhuru Dkt Samia Suluhu