Eng. Pamela Maassay (@pamelamaassay) 's Twitter Profile
Eng. Pamela Maassay

@pamelamaassay

Secretary General CHADEMA Women Wing 2025 - Member of Parliament EAC 2017-2022 FSSC &TQMS Lead Auditor Public Health Specialist

ID: 866249690198704129

linkhttps://whatsapp.com/channel/0029VaYcLPq6LwHmCaVi2j0r calendar_today21-05-2017 11:09:55

1,1K Tweet

4,4K Followers

1,1K Following

OfficialBawacha Taifa (@bawachataifa) 's Twitter Profile Photo

Jana trh 06 Aug ,Uongozi wa OfficialBawacha Taifa ulikutana na wanawake wa Kanda ya Pwani kwa ajili ya maombi maalumu ya kuwaombea “Mashujaa wetu “ pia wanawake walipewa elimu ya “Afya ya Uzazi na Ujasiriamali kutoka kwa wataalamu walioalikwa.SALA ,AFYA NJEMA na UCHUMI📌

Jana trh 06 Aug ,Uongozi wa <a href="/BawachaTaifa/">OfficialBawacha Taifa</a>  ulikutana na wanawake wa Kanda ya Pwani kwa ajili ya maombi maalumu ya kuwaombea “Mashujaa wetu “ pia wanawake walipewa elimu ya “Afya ya Uzazi na Ujasiriamali kutoka kwa wataalamu walioalikwa.SALA ,AFYA NJEMA na UCHUMI📌
Chacha Heche (@chacha_heche) 's Twitter Profile Photo

Leo tunaendelea na maazimisho ya siku ya mashujaa Chama chetu kinathamini kila mmoja aliyeumizwa ama kujeruhiwa kwa ajili ya mageuzi tumetembelea wahanga mbali mbali na kuomba nao Tendo hili NI tendo la kiroho na takatifu

Eng. Pamela Maassay (@pamelamaassay) 's Twitter Profile Photo

Hili linafanyika mbele ya Mhimili Mkuu (Mahakama )unaotakiwa kulinda na kutoa haki kwa raia ,je hawa askari wakitukuta huku mitaani watatufanya nini? Hapa Police Force TZ mnatengeneza civil disobedience ya hali ya juu .Wananchi wakiangalia vyombo hivi wanakosa imani na amani .

Brenda Rupia Jonas (@brendarupia) 's Twitter Profile Photo

Asanteni sana ndugu zetu Watanzania kwa sadaka hii kubwa. Tunafunga mkeka rasmi tukijua kuwa mshikamano wenu ndio ushindi wetu. Mungu awabariki sana.

Asanteni sana ndugu zetu Watanzania kwa sadaka hii kubwa. Tunafunga mkeka rasmi tukijua kuwa mshikamano wenu ndio ushindi wetu.

Mungu awabariki sana.
Brenda Rupia Jonas (@brendarupia) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. John Heche amekamatwa asubuhi hii akiwa nje ya Mahakama Kuu kuhudhuria kesi inayomkabili yeye na viongozi wengine wa Chama, pamoja na kufuatilia mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili Mhe. Tundu Antiphas Lissu, Jeshi hilo halijasema mpaka sasa

Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. <a href="/HecheJohn/">John Heche</a> amekamatwa asubuhi hii akiwa nje ya Mahakama Kuu kuhudhuria kesi inayomkabili yeye na viongozi wengine wa Chama, pamoja na kufuatilia mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili Mhe. <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a>, Jeshi hilo halijasema mpaka sasa
Eng. Pamela Maassay (@pamelamaassay) 's Twitter Profile Photo

YUKO WAPI Makamu Mwenyekiti John Heche mliyemchukua jana nje ya Mahakama Kuu?Police Force TZ 22/10/2025 (jana) Polisi DSM walimweleza Mkurugenzi wa Sheria Chadema Tanzania kuwa anapelekwa Tarime lakini mpaka sasa taarifa za Mawakili wa Familia zinasema hajafikishwa huko .

YUKO WAPI Makamu Mwenyekiti  <a href="/HecheJohn/">John Heche</a>  mliyemchukua jana nje ya Mahakama Kuu?<a href="/tanpol/">Police Force TZ</a> 

22/10/2025 (jana) Polisi DSM walimweleza Mkurugenzi wa Sheria <a href="/ChademaTZ2/">Chadema Tanzania</a> kuwa anapelekwa Tarime lakini mpaka sasa taarifa za Mawakili wa Familia zinasema hajafikishwa huko .
Brenda Rupia Jonas (@brendarupia) 's Twitter Profile Photo

#Updates Mlinzi wa Mhe. Lissu, Charles Hangaya ameachiwa kwa dhamana jioni hii. Ikumbukwe Hangaya alitekwa na maofisa wa Polisi tangu Novemba 8, 2025 wamekaa nae week tatu bila kusema kama wamamshikilia mpaka tulipopata taarifa kutoka kwa wasamalia wema. Shukrani sana kwa

#Updates

Mlinzi wa Mhe. Lissu, Charles Hangaya ameachiwa kwa dhamana jioni hii.

Ikumbukwe Hangaya alitekwa na maofisa wa Polisi tangu Novemba 8, 2025 wamekaa nae week tatu bila kusema kama wamamshikilia mpaka tulipopata taarifa kutoka kwa wasamalia wema.

Shukrani sana kwa
GASTON SHUNDO GARUBINDI (@shundogaston) 's Twitter Profile Photo

Nawashukuru Mawakili wote ambao mumefanikisha zoezi la dhamana kwa wanachama wafuatao; 1. Robert Mombo Nyambuya (Katibu Jimbo la Ukonga) 2. Charles Hangaya (Mlinzi wa Mhe Lissu) 3. Mussa Aswed Ndile - Mwanachama. 4. Amos Paul Kalumila - mwanachama. 5. Dogras Athumani Kigalu -

Swahili Times (@swahilitimes) 's Twitter Profile Photo

"Hakuna chama kikuu cha siasa Tanzania kama CHADEMA. CHADEMA sio chama kikuu cha upinzani Tanzania hapana, ni chama kikuu cha siasa katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. CCM haiwezi kushindana na CHADEMA." - Dkt. Rugemeleza Nshala, Mwanasheria Mkuu CHADEMA

"Hakuna chama kikuu cha siasa Tanzania kama CHADEMA. CHADEMA sio chama kikuu cha upinzani Tanzania hapana, ni chama kikuu cha siasa katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.  CCM haiwezi kushindana na CHADEMA." - Dkt. Rugemeleza Nshala, Mwanasheria Mkuu CHADEMA
John Pambalu (@john_pambalu) 's Twitter Profile Photo

Mlituaminisha kuwa ni mhaini, ushahidi mnao, mkaanza kesi kwa kishindo, mkatoa na ratiba hadi ya hukumu, matokeo yake mkaishia kuhairisha kesi kwa muda usiojulikana. Toeni haki kwa kuendelea na kesi ama kuifutilia mbali. #freetundulissu

Mlituaminisha kuwa ni mhaini, ushahidi mnao, mkaanza kesi kwa kishindo, mkatoa na ratiba hadi ya hukumu, matokeo yake mkaishia kuhairisha kesi kwa muda usiojulikana. Toeni haki kwa kuendelea na kesi ama kuifutilia mbali. #freetundulissu
John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Miaka 33 ya maumivu, furaha, kuimarika, na kusonga mbele. Miaka 33 ya Chadema imekua miaka ya kujenga taasisi ya kiukombozi inayoamini katika utu, Maendeleo halisi, Uhuru wa watu na demokrasia ya kweli.. Tumejijenga na kuaminika, tutailinda imani.. Katika safari hii ya maumivu

Miaka 33 ya maumivu, furaha, kuimarika, na kusonga mbele.

Miaka 33 ya Chadema imekua miaka ya kujenga taasisi ya kiukombozi inayoamini katika utu, Maendeleo halisi, Uhuru wa watu na demokrasia ya kweli..

Tumejijenga na kuaminika, tutailinda imani..

Katika safari hii ya maumivu
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Pumzika kwa amani Mzee Edwin Mtei 🙏🏽 Vita umepigana vema umeacha mbegu bora na mafanikio mengi! Hatuna deni na wewe! I will never forget your generosity and unique insights for the brief time that I was privileged tp interview you! Nafurahi umeacha na kitabu na maandiko ya kazi

Pumzika kwa amani Mzee Edwin Mtei 🙏🏽
 Vita umepigana vema umeacha mbegu bora na mafanikio mengi! Hatuna deni na wewe!
I will never forget your generosity and unique insights for the brief time that I was privileged tp interview you! Nafurahi umeacha na kitabu na maandiko ya kazi
Eng. Pamela Maassay (@pamelamaassay) 's Twitter Profile Photo

Jana tarehe 22/01/2024 nilijumuika na viongozi ,wanachama na wananchi kuomboleza msiba wa aliyekuwa muasisi wa Chadema Tanzania Hayati Mh Edwin Mtei nyumbani kwake Jijini Arusha .Tutamkumbuka kwa ujasiri wake na maono ya kutamani demokrasia ya kweli kwenye Taifa .R.I.P #EdwinMtei

Jana tarehe 22/01/2024 nilijumuika na viongozi ,wanachama na wananchi  kuomboleza msiba wa aliyekuwa muasisi wa <a href="/ChademaTZ2/">Chadema Tanzania</a>  Hayati Mh Edwin Mtei  nyumbani kwake Jijini Arusha .Tutamkumbuka kwa ujasiri wake na maono ya kutamani demokrasia ya kweli kwenye Taifa .R.I.P #EdwinMtei