Moza Ally (@mozaally_) 's Twitter Profile
Moza Ally

@mozaally_

FORMER VICE CHAIRPERSON BAVICHA NATION (CHADEMA)2019-2025,ENTREPRENEUR,POLITICIAN ,🗝 FOUNDER OF FOCUS ASSOCIATION💵

ID: 721954267842670592

calendar_today18-04-2016 06:51:25

2,2K Tweet

28,28K Followers

109 Following

CHAUMMA Tanzania (@chaummat) 's Twitter Profile Photo

Matukio picha ya Ibada ya Eid-Al-Adha iliyohudhuriwa na Katibu Mkuu Taifa Mhe.Salum Mwalimu pamoja na Sheikh wa Mkoa Simiyu ndani ya Msikiti wa BAKWATA.

Matukio picha ya Ibada ya Eid-Al-Adha iliyohudhuriwa na Katibu Mkuu Taifa Mhe.Salum Mwalimu pamoja na Sheikh wa Mkoa Simiyu ndani ya Msikiti wa BAKWATA.
Moza Ally (@mozaally_) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Mhe Salum Mwalim, leo ameungana na Waislamu wa mji wa Bariadi, mkoani Simiyu katika swala ya Eid Al Adha, iliyofanyika katika Msikiti wa Bakwata Mkoa, wa Noor. #C4C✊🏾

Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Mhe Salum Mwalim, leo ameungana na Waislamu wa mji wa Bariadi, mkoani Simiyu katika swala ya Eid Al Adha, iliyofanyika katika Msikiti wa Bakwata Mkoa, wa Noor. #C4C✊🏾
CHAUMMA Tanzania (@chaummat) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa CHAUMMA Taifa Mhe.Hashim Rungwe akiwapatia kadi za uanachama, wanachama wapya Mjini Bariadi ,leo jumamosi tarehe 07 Juni,2025

Mwenyekiti wa CHAUMMA Taifa Mhe.Hashim Rungwe akiwapatia kadi za uanachama, wanachama wapya Mjini Bariadi ,leo jumamosi tarehe 07 Juni,2025
Moza Ally (@mozaally_) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mkuu wa CHAUMMA Taifa Mh Salum Mwalim asubuhi ya leo kwenye baraza la Eid Al Adha akiendesha harambee ya ujenzi wa msikiti amechangia Milion 1,200,000/= kwenye ujenzi wa msikiti hapa Bariadi Mkoani Simiyu #C4C #TunaendeleaTulipoishia

Moza Ally (@mozaally_) 's Twitter Profile Photo

Masumbwe ,Jimbo la Mbogwe Mkoa wa Geita ,mkutano wa kwanza leo Jumapili tarehe 08 Juni,2025 #C4C #TunaendeleTulipoishia ✊🏾

CHAUMMA Tanzania (@chaummat) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi wa itikadi na Mafunzo Mhe. Edward Kinabo akihutubia wananchi wa Masumbwe ,Jimbo la Mbogwe ,Wilaya ya Bukombe Mkoani Geita ,Mkutano wa kwanza leo Jumapili,tarehe 8 Juni,2025

Mkurugenzi wa itikadi na Mafunzo Mhe. Edward Kinabo akihutubia wananchi wa Masumbwe ,Jimbo la Mbogwe ,Wilaya ya Bukombe Mkoani Geita ,Mkutano wa kwanza leo Jumapili,tarehe 8 Juni,2025
CHAUMMA Tanzania (@chaummat) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mwenyekiti wa CHAUMMA akihutubia Wananchi wa Masumbwe ,Jimbo la Mbogwe Mkoa wa Geita leo jumapili tarehe 8 Juni ,2025

Moza Ally (@mozaally_) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mwenyekiti wa CHAUMMA akihutubia Wananchi wa Masumbwe , Asanteni sana wananchi wa Masumbwe mmetupokea kwa kishindo #C4C #TunaendeleaTulipoishia ✊🏾

Moza Ally (@mozaally_) 's Twitter Profile Photo

Asanteni sana Haya ni Mahabaaa ✊🏾 📍Kata Katoro 📍Jimbo Busaga 📍Mkoa Geita Juni 8, 2025. #OperatishionC4C #TunaendeleaTulipoishia

Moza Ally (@mozaally_) 's Twitter Profile Photo

Chama cha Ukombo wa Umma “CHAUMMA” leo June 9. 📍Nguruka, KIGOMA. Muendelezo wa Operation C4C ✊🏾 #TunaendelezaTulipoishia #CHAUMMAforCHANGE

Chama cha Ukombo wa Umma “CHAUMMA” leo June 9.
📍Nguruka, KIGOMA. 
Muendelezo wa Operation C4C ✊🏾
#TunaendelezaTulipoishia
#CHAUMMAforCHANGE
Henry Kilewo (@henrykilewo) 's Twitter Profile Photo

*MKOA WA KIGOMA* Mhe.Mwenyekiti wa Chama Taifa Mzee Hashimu Rugwe. Leo amefanya Mkutano wa Hadhara Jimbo la Kigoma Kusini NGURUKA. #CHAUMMA

*MKOA WA KIGOMA* 

Mhe.Mwenyekiti wa Chama Taifa Mzee Hashimu Rugwe.

Leo amefanya Mkutano wa Hadhara Jimbo la Kigoma Kusini NGURUKA.
#CHAUMMA
Jon Mrema (@jonmrema) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mwenyekiti wa Chaumma Bara, Mhr.Devotha Minja akihutubia wananchi wa Nguruka ,Jimbo la Kigoma Kusini leo tarehe 09 Juni,,2025

Makamu Mwenyekiti wa Chaumma Bara, Mhr.Devotha Minja akihutubia wananchi wa Nguruka ,Jimbo la Kigoma Kusini leo tarehe 09 Juni,,2025
Moza Ally (@mozaally_) 's Twitter Profile Photo

M/Mwenyekiti wa CHAUMMA Tanzania @devothaminja akihutubia mkutano wa kwanza leo June 11, Jimbo la *KAVUU, KATAVI* ikiwa ni muendelezo wa mikutano ya Hadhara ya Operation *C4C* inayoendelea nchi nzima. Kavuu imeipokea *CHAUMMA* kwa kishindo. *#TunaendelezaTulipoishia* *#CHAUMMA4Change*

Vitus Nkuna (@vitusnkuna) 's Twitter Profile Photo

Ndugu zangu wa damu CHADEMA siasa za nginjanginja, siasa za mshikemshike,siasa za jino kwa jino, siasa za kukinukisha mnazianza lini??. Mmekatazwa kushiriki uchaguzi, Chama mimefungiwa, leo mmekatazwa mpaka kuongea! Mnasubiri mfanyiwe nini mlinde Chama kwa nguvu ya umma??

Ndugu zangu wa damu CHADEMA  siasa za nginjanginja, siasa za mshikemshike,siasa za jino kwa jino, siasa za kukinukisha mnazianza lini??.
Mmekatazwa kushiriki uchaguzi, Chama mimefungiwa, leo mmekatazwa mpaka kuongea! Mnasubiri mfanyiwe nini mlinde Chama kwa nguvu ya umma??
CHAUMMA Tanzania (@chaummat) 's Twitter Profile Photo

Tupo hapa tunaileta CHAUMMA kwenu mtuusaidie tuipambanie tuiondoe CCM tumeteseka miaka 64, ndugu zangu wa Tabora tulipotoka huko kote Watanzania wamepigika. Makamu Mwenyekiti- Bara Mhe. Devota Minja 📍Tabora #OperationC4C #TunaendeleaTulipoishia