Prophet Frank Mo1๐น๐ฟ
@mo1frank
Danieli 5:25
Na maandiko yaliyoandikwa ni haya; MENE, MENE, TEKELI, NA PERESI.
ID: 1185178012670713856
18-10-2019 12:57:28
58,58K Tweet
7,7K Followers
440 Following
CCM na Rais Dkt Samia Suluhu ushindi ni LAZIMA.
Hello Chelsea FC fans ๐
CCM NDIO BABA NA MAMA WA WATANZANIAโผ๏ธ Ikungi tumekubaliana kura zote ni kwa Rais Dkt Samia Suluhu na kwa wagombea wote wa CCM. Tundu Lissu anapaogopa Ikungi kuliko popote Tanzania. CCM tulichobarikiwa ni huduma bora na maendeleo luluki kwa wananchi; CHADEMA na vyama vya
Karibu kazini Sekretari wetu mpya wa Shirika la TAA, Miss SIMPOROSA QAYMO. TAA tupo tayari kuungana nanyi kutunza mazingira kwa kupanda miti Singida kumsapoti Rais wetu Dkt Samia Suluhu kudhibiti mabadiliko ya tabianchi kwa udhamini wa TFS. Suphian Juma Nkuwi, Mkurugenzi-TAA