KMchuchuli (@mchuchulik) 's Twitter Profile
KMchuchuli

@mchuchulik

1)Mjumbe Kamati Kuu ya Chama cha ACT-Wazalendo 2024-2029.
2)Mbunge Mstaafu (Viti Maalum) 2010-2015.

ID: 1260889086858010626

calendar_today14-05-2020 11:06:29

1,1K Tweet

1,1K Followers

160 Following

Nipashe Tanzania (@nipashetz) 's Twitter Profile Photo

Waziri Kivuli wa TAMISEMI kupitia ACT-Wazalendo, Kulthumu Mchuchuli, leo Mei 16, 2025, amechukua rasmi fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Rufiji, katika hatua inayotafsiriwa kuwa mwendelezo wa mapambano ya ukombozi wa wananchi dhidi ya mfumo usiowajali.ippmedia.co.tz/nipashe/habari…

Waziri Kivuli wa TAMISEMI kupitia ACT-Wazalendo, Kulthumu Mchuchuli, leo Mei 16, 2025, amechukua rasmi fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Rufiji, katika hatua inayotafsiriwa kuwa mwendelezo wa mapambano ya ukombozi wa wananchi dhidi ya mfumo usiowajali.ippmedia.co.tz/nipashe/habari…
KMchuchuli (@mchuchulik) 's Twitter Profile Photo

Nawashukuru Wakazi wa Rufiji kwa ushiriki wao katika zoezi la kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ndani ya Chama changu ACTWazalendo kiniteuwe kuwa Mgombea wa Ubunge #AlutaContinua #MuhuniHasusiwi #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

Nawashukuru Wakazi wa Rufiji kwa ushiriki wao katika zoezi la kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ndani ya Chama changu <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> kiniteuwe kuwa Mgombea wa Ubunge 
#AlutaContinua
#MuhuniHasusiwi
#TaifaLaWote
#MaslahiYaWote
MwanaHALISI Digital (@mwanahalisitz) 's Twitter Profile Photo

Waziri Kivuli Wa Sanaa Utamaduni na Michezo Monalisa Joseph Ndala, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ndani ya chama cha ACT Wazalendo ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kibamba @Monalisandala amekabidhiwa fomu hiyo hii leo tarehe 17 Mei 2025, na Katibu wa ACTWazalendo Jimbo la

MwanaHALISI Digital (@mwanahalisitz) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mkuu Kiongozi wa Baraza Kivuli la Mawaziri wa ACT Wazalendo, Idrissa Kweweta, leo Mei 18, 2025, amechukua rasmi fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kilwa Kusini kupitia tiketi ya chama hicho, katika hafla ya kisiasa iliyojaa matumaini na hamasa ya mabadiliko. Fomu hiyo

Katibu Mkuu Kiongozi wa Baraza Kivuli la Mawaziri wa ACT Wazalendo, Idrissa Kweweta, leo Mei 18, 2025, amechukua rasmi fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kilwa Kusini kupitia tiketi ya chama hicho, katika hafla ya kisiasa iliyojaa matumaini na hamasa ya mabadiliko.

Fomu hiyo
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Leo Mei 18, 2025 Katibu Mkuu Kiongozi wa Wasemaji wa Kisekta, Ndugu Idrisa Kweweta amechukua fomu ya kugombea Ubunge w Jimbo la Kilwa Kusini. Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa Jimbo la Kilwa Kusini, Ndugu Twahir Bingwe. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia ACTWazalendo

Leo Mei 18, 2025 Katibu Mkuu Kiongozi wa <a href="/ACTBarazaKivuli/">Wasemaji wa Kisekta</a>, Ndugu <a href="/idrisa_kweweta/">Idrisa Kweweta</a> amechukua fomu ya kugombea Ubunge w Jimbo la Kilwa Kusini. Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa Jimbo la Kilwa Kusini, Ndugu Twahir Bingwe.

#MuhuniHasusiwi
#OperesheniLindaDemokrasia
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mkuu Kiongozi wa Baraza Kivuli la Mawaziri wa ACT Wazalendo, Idrisa Kweweta, Mei 18, 2025, amechukua rasmi fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kilwa Kusini mkoani Lindi kupitia tiketi ya chama hicho wakati wa hafla ya kisiasa inayotajwa na viongozi na wanachama wa chama

Katibu Mkuu Kiongozi wa Baraza Kivuli la Mawaziri wa ACT Wazalendo, Idrisa Kweweta, Mei 18, 2025, amechukua rasmi fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kilwa Kusini mkoani Lindi kupitia tiketi ya chama hicho wakati wa hafla ya kisiasa inayotajwa na viongozi na wanachama wa chama
Gololo (@ndandavale) 's Twitter Profile Photo

Leo Mei 18, 2025 Katibu Mkuu Kiongozi wa Wasemaji wa Kisekta, Ndugu Idrisa Kweweta amechukua fomu ya kugombea Ubunge w Jimbo la Kilwa Kusini. Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa Jimbo la Kilwa Kusini, Ndugu Twahir Bingwe. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia ACTWazalendo

Leo Mei 18, 2025 Katibu Mkuu Kiongozi wa <a href="/ACTBarazaKivuli/">Wasemaji wa Kisekta</a>, Ndugu <a href="/idrisa_kweweta/">Idrisa Kweweta</a> amechukua fomu ya kugombea Ubunge w Jimbo la Kilwa Kusini. Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa Jimbo la Kilwa Kusini, Ndugu Twahir Bingwe.

#MuhuniHasusiwi
#OperesheniLindaDemokrasia
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
MwanaHALISI Digital (@mwanahalisitz) 's Twitter Profile Photo

Leo tarehe 18 Mei 2025, Shaweji Mketo Katibu wa Organizesheni, Mafunzo na Uchaguzi wa chama cha ACT-Wazalendo amechukua fomu ya kuomba kupeperusha bendera ya chama hicho kuwania ubunge jimbo la Kilwa Kaskazini.

Leo tarehe 18 Mei 2025, Shaweji Mketo Katibu wa Organizesheni, Mafunzo na Uchaguzi wa chama cha ACT-Wazalendo amechukua fomu ya kuomba kupeperusha bendera ya chama hicho kuwania ubunge jimbo la Kilwa Kaskazini.
Mkwera MT. (@muhidinmkwera) 's Twitter Profile Photo

Nimechukua fomu ya Chama changu ACTWazalendo ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Kibiti. Katika Safari hiyo nilisindikizwa na Ngome ya Wanawake, Ngome ya Wazee na Vijana wa Kata ya Mjawa. Nipo tayari kwa Mapambano , nipo tayari kukipigania Chama changu. #Muhuni_Hasusiwi.

Nimechukua fomu ya Chama changu <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Kibiti. Katika Safari hiyo nilisindikizwa na Ngome ya Wanawake, Ngome ya Wazee na Vijana wa Kata ya Mjawa. Nipo tayari kwa Mapambano , nipo tayari kukipigania Chama changu. 
#Muhuni_Hasusiwi.
Gololo (@ndandavale) 's Twitter Profile Photo

Chama pekee Tanzania kinacho akisi maana halisi ya; 1. #WeAreStrongTogether 2.#ACTInBlood 3.#ACTNiKamaDini 4.#HakunaKuhamaChama😅 Vyama vyote vinavobaki ni matepeli wanaojaribu kupora matendo yetu tunayoyaishi ACTWazalendo na kutumia kwa njia maneno kulaghai Umma.

Chama pekee Tanzania kinacho akisi maana halisi ya;

1. #WeAreStrongTogether
2.#ACTInBlood
3.#ACTNiKamaDini
4.#HakunaKuhamaChama😅

Vyama vyote vinavobaki ni matepeli wanaojaribu kupora matendo yetu tunayoyaishi <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> na kutumia kwa njia maneno kulaghai Umma.
Kassala (@vicent_kassala) 's Twitter Profile Photo

Vichwa viwili matata, moto wa kuotea mbali. Role models to so many of us kwenye hii struggle. Mungu awalinde viongozi wetu. Vijana wenu tupo. We're so hopeful. Kunakaribia kupambazuka. Lazima giza litajitenga na nuru. Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Ismail Jussa #MuhuniHasusiwi #TheFutureIsPurple

Vichwa viwili matata, moto wa kuotea mbali. Role models to so many of us kwenye hii struggle. Mungu awalinde viongozi wetu. Vijana wenu tupo. We're so hopeful. Kunakaribia kupambazuka. Lazima giza litajitenga na nuru.
<a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> <a href="/IsmailJussa/">Ismail Jussa</a>

#MuhuniHasusiwi
#TheFutureIsPurple
Wasemaji wa Kisekta (@actbarazakivuli) 's Twitter Profile Photo

"Njia pekee ya kuhakikisha kwamba; hizi Ripoti za CAG zinakuwa na manufaa, zinaleta mabadiliko kwa Watanzania—ni kuiondosha Serikali ya CCM madarakani." KC Dorothy Semu Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi ACTWazalendo

KMchuchuli (@mchuchulik) 's Twitter Profile Photo

Ni Agosti 06, 2025 Chama cha ACTWazalendo kitafanya Mkutano Mkuu Maalum; Mlimani City. Macho na masikio yote yatakuwa huko siku hiyo. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Ni Agosti 06, 2025 Chama cha <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> kitafanya Mkutano Mkuu Maalum; Mlimani City.

Macho na masikio yote yatakuwa huko siku hiyo.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Picha KC Dorothy Semu akimsajili Luhaga Joelson Mpina katika Mfumo wa ACTWazalendo Kiganjani na kuwa mwanachama rasmi wa ACT Wazalendo. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Picha

KC <a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a> akimsajili Luhaga Joelson Mpina katika Mfumo wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Kiganjani na kuwa mwanachama rasmi wa ACT Wazalendo.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

#HABARI Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kisesa mkoani Simiyu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Luhaga Mpina ametambulishwa rasmi na Chama cha ACT Wazalendo. Mpina ambaye ameenguliwa na CCM katika kinyang'anyiro cha kuwania kuteuliwa kugombea Ubunge anatajwa kuwa na nia ya kuwa

#HABARI Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kisesa mkoani Simiyu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Luhaga Mpina ametambulishwa rasmi na Chama cha ACT Wazalendo.

Mpina ambaye ameenguliwa na CCM katika kinyang'anyiro cha kuwania kuteuliwa kugombea Ubunge anatajwa kuwa na nia ya kuwa
Mwanaisha Mndeme (@mwanaishamndeme) 's Twitter Profile Photo

Leo Agosti 05, 2025 Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Mstaafu, Ndugu Jamal Rwambow amejiunga na Chama cha ACTWazalendo na kupokelewa na Kiongozi wa Chama, Ndugu Dorothy Semu. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Leo Agosti 05, 2025 Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Mstaafu, Ndugu Jamal Rwambow amejiunga na Chama cha <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> na kupokelewa na Kiongozi wa Chama, Ndugu <a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a>.

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi