mbelwa Kairuki
@MbelwaK
Tanzania's High Commissioner to the UK
ID:613450819
https://tzhc.uk 20-06-2012 13:40:54
1,8K Tweets
13,8K Followers
1,1K Following
Follow People
Mwezi Julai 2024 itazinduliwa PORTAL maalum kwa ajili ya kutoa taarifa kwa umma wa Tanzania kuhusu fursa mpya zilizopo Nchini Uingereza na Ireland; na umma wa nchi hizo kuhusu fursa zilizopo Tanzania. Portal hiyo imeundwa na Ubalozi kwa kushirikiana na wanadiaspora Joe Ndilla na
Ninatoa pole kwa Clouds Media kwa Msiba mzito wa Mtangazaji wake Mahiri Gardner Habash. Wakati wa uhai wake nilipata fursa ya kushiriki mara kadhaa katika kipindi cha Jahazi ambapo Gardner na watangazaji wenzake walikuwa na msaada mkubwa sana kutuwezesha kuelimisha umma
Ninatoa pole kwa Clouds Media kwa Msiba mzito wa Mtangazaji wake Mahiri Gardner Habash. Wakati wa uhai wake nilipata fursa ya kushiriki mara kadhaa katika kipindi cha Jahazi ambapo Gardner na watangazaji wenzake walikuwa na msaada mkubwa sana kutuwezesha kuelimisha umma
President of the United Republic of Tanzania,Samia Suluhu has arrived in Ankara, Turkiye for a state visit. Upon arrival, H.E. President Samia was welcomed by the Turkish Minister of Family & Social Services, Hon. Mahinur Özdemir Göktaş