
Muleba nyakatwaga
@jmagobe06
ID: 1880237329140576257
17-01-2025 12:55:24
539 Tweet
24 Followers
207 Following











TAARIFA KWA UMMA SUBRA, SUBRA, SUBRA NIMERIPOTI POLISI KITUO CHA TARIME MJINI KWA MAHOJIANO. MAHOJIANO YALIHUSU KONGAMANO LA KITAIFA BAZECHA LITAKALOFANYIKA TAREHE 16/08/2025 TARIME MJINI. John Heche MNYIKA John John Chadema Tanzania Mnyawami Lucas Ngoto









Kila press aliyofanya Tundu Antiphas Lissu mwezi mmoja kabla ya kushambuliwa, Mwita Waitara alikuwa amekaa pembeni. Baada ya Lissu kushambuliwa, Waitara akaenda CCM na kupewa unaibu waziri. Tusishangae mashahidi wa ma box wakiwa watu ambao kwa muda mrefu wamekuwa watu wa karibu ya Lissu
