Leo, DOMINIKA YA 5 YA PASAKA β MWAKA C, kanisani tumefundishwa kuwa maisha ya Kikristo yanajengwa juu ya upendo wa kweli ambao Yesu alituagiza tuishi. Upendo huu unatuongoza kuonyesha fadhili, kusameheana, na kuwa tayari kujitoa kwa wengine bila masharti. Kwa njia hii,
Leo hii Balozi wa Tanzania nchini Vatican mwenye makazi yake nchini Ujerumani yaani Balozi Hassan Iddi Mwamweta amewasilisha salamu za pongezi za Rais Samia kwa Papa Leo XIV.
Kuna mtu amekopa kiwanja analipa kidogo kidogo mwaka mzima.
Na kuna mtu amekopa simu analipa kidogo kidogo mwaka mzima.
Kisha tunalalamika maisha magumu...ππ
Undalani walicheza na Semi final na Marumo iliyokuwa nafasi ya 14 ligi ya SA then fainali wakacheza na USM iliyokuwa nafasi ya 12 kwenye ligi yake.
Kwahiyo undalani ndio alipita njia ngumuβ¦Huwa Hawaoni aibu?π