Bahati Chirwa (@chirwabahati) 's Twitter Profile
Bahati Chirwa

@chirwabahati

| Naibu msemaji sekta ya Elimu.
Katibu | Ngome ya Wanawake | Act Wazalendo Mkoa | Tanga | Based in Tanga, Tanzania | Professional Teacher |

ID: 1259469596983201793

calendar_today10-05-2020 13:05:52

798 Tweet

1,1K Takipçi

156 Takip Edilen

Selemani Misango (@selemanimisango) 's Twitter Profile Photo

Jana ilikuwa zamu ya Busega. Wanabusega wenzangu walijitokeza kwa wingi kumuunga mkono kijana wao. Wanabusega wameamua kukiunga mkono chama Cha @ACT_wazalendo1 . Tutaendelea kushikamana na wanabusega wenzangu kwenye matatizo Yao. Asanteni sana Busega.

Jana ilikuwa zamu ya Busega. Wanabusega wenzangu walijitokeza kwa wingi kumuunga mkono kijana wao.
Wanabusega wameamua kukiunga mkono chama Cha @ACT_wazalendo1 .
Tutaendelea kushikamana na wanabusega wenzangu kwenye matatizo Yao.
Asanteni sana Busega.
Dotto Rangimoto (@jinikinyonga) 's Twitter Profile Photo

Watu wanavua gwanda wanavaa uzalendo. Hii ndio ACT. Chama ambacho hakina ubaguzi wa aina yoyote ile. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

Watu wanavua gwanda wanavaa uzalendo. Hii ndio ACT. Chama ambacho hakina ubaguzi wa aina yoyote ile.

#TaifaLaWote 
#MaslahiYaWote
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Mjumbe Halmashauri Kuu ya Chama Taifa na Mjumbe kamati ya Uongozi Mkoa Mwanza, Ndugu Pendo Manyanya akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika leo Magu Mkoani Mwanza. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

Mjumbe Halmashauri Kuu ya Chama Taifa na Mjumbe kamati ya Uongozi  Mkoa Mwanza, Ndugu Pendo Manyanya akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika leo Magu Mkoani Mwanza.

#TaifaLaWote 
#MaslahiYaWote
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Bangwe (CCM) na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Kigoma Issa Hussein Ahmad amejiunga na ACT Wazalendo. Ndugu Issa amepokelewa leo na Katibu Mkuu, Ndugu Ado Shaibu kwenye Mkutano Mkuu wa Jimbo la Kigoma Mjini. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Bangwe (CCM)  na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Kigoma Issa Hussein Ahmad amejiunga na ACT Wazalendo. Ndugu Issa amepokelewa leo na Katibu Mkuu, Ndugu <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a> kwenye Mkutano Mkuu wa Jimbo la Kigoma Mjini.

#TaifaLaWote
#MaslahiYaWote
Emmanuel L. Mvula (@immamvula) 's Twitter Profile Photo

Jasho vs Kifuta Jasho “ACT Wazalendo Tunataka wastaafu wapate Jasho lao badala ya kifuta jasho” Dorothy Semu Makamu Mwenyekiti ACT Wazalendo Mwanza 11.06.2023

Jasho vs Kifuta Jasho

“ACT Wazalendo Tunataka wastaafu wapate Jasho lao badala ya kifuta jasho” <a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a> Makamu Mwenyekiti ACT Wazalendo Mwanza 11.06.2023
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

KC Zitto MwamiRuyagwa Kabwe akiwashukuru wazee waliounga mkono maono yake; maono yaliyopelekea kuzaliwa kwa ACT-Wazalendo. Wazee hawa ni Mzee Mushumbusi, Mzee Shilungushela na Charles Mwera. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

KC <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> akiwashukuru wazee waliounga mkono maono yake; maono yaliyopelekea kuzaliwa kwa ACT-Wazalendo. 

Wazee hawa ni Mzee Mushumbusi, Mzee Shilungushela na Charles Mwera. 

#TaifaLaWote 
#MaslahiYaWote
Dotto Rangimoto (@jinikinyonga) 's Twitter Profile Photo

Tanga📍 Leo Juni 16, 2023 Utekelezaji wa kazi ya ujenzi wa chama kata 27 jimbo la Tanga mjini. Kamati mpya ya uongozi Tawi la Mwakizaro Kata ya Mwanzange Jimbo la Tanga Mjini.🔥 #ACTKIGANJANI #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

Tanga📍
Leo Juni 16, 2023
Utekelezaji wa kazi ya ujenzi wa chama kata 27 jimbo la Tanga mjini.  Kamati mpya ya uongozi Tawi la Mwakizaro 
Kata ya Mwanzange
Jimbo la Tanga Mjini.🔥

#ACTKIGANJANI 
#TaifaLaWote 
#MaslahiYaWote
Wasemaji wa Kisekta (@actbarazakivuli) 's Twitter Profile Photo

"Bajeti ya Serikali ya 2023/24 ni bajeti ya furaha kwa wafanyabiashara, maumivu kwa wanyonge. Tumeiita hivyo sababu inatoa nafuu kwa wafanyabiashara na kuwatekeleza wanyonge." Waziri Kivuli wa Fedha na Uchumi Ester Thomas #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

Bahati Chirwa (@chirwabahati) 's Twitter Profile Photo

Muendelezo wa ujenzi wa chama @ACT_wazalendo1 Jimbo la mkinga. Huu ni uongozi mpya kata ya Duga Sigaya. Viongozi wote walikua chama cha CUF Wameshusha tanga na kupandisha Tanga la ACT-WAZALENDO. Ado Shaibu Dotto Rangimoto #TaifaLaWote #MaslahiYaWote.

Muendelezo wa ujenzi wa chama @ACT_wazalendo1 Jimbo la mkinga. Huu ni uongozi mpya kata ya Duga Sigaya.
Viongozi wote walikua chama cha CUF 
Wameshusha tanga na kupandisha Tanga la ACT-WAZALENDO.
<a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a>
<a href="/JiniKinyonga/">Dotto Rangimoto</a>

#TaifaLaWote
#MaslahiYaWote.
KMchuchuli (@mchuchulik) 's Twitter Profile Photo

"Ni uzembe wa ukarabati Kivuko ndio uliopelekea vifo vya wanafunzi wanne Mto Rufiji." Waziri Kivuli wa TAMISEMI na Maendeleo Vijijini KMchuchuli #TaifaLaWote #MaslahiYaWote Wasemaji wa Kisekta ACTWazalendo Ado Shaibu Kassala

"Ni uzembe wa ukarabati Kivuko ndio uliopelekea vifo vya wanafunzi wanne Mto Rufiji."

Waziri Kivuli wa TAMISEMI na Maendeleo Vijijini
<a href="/MchuchuliK/">KMchuchuli</a> 

#TaifaLaWote #MaslahiYaWote <a href="/ACTBarazaKivuli/">Wasemaji wa Kisekta</a> <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a> <a href="/Vicent_Kassala/">Kassala</a>
Ndolezi (@ndolezi_petro) 's Twitter Profile Photo

Ninajisikia furaha sana na kuona fahari kazi niliyoifanya miaka mitatu baada ya Uchaguzi wa 2020 ya kukijenga chama cha ACT Wazalendo nyumbani kwetu Kigoma Kusini imezaa matunda ya kurejesha nguvu na uimara wa chama katika Jimbo. Kazi inaendelea mpaka kieleweke. Rukoma Asanteni.

Ninajisikia furaha sana na kuona fahari kazi niliyoifanya miaka mitatu baada ya Uchaguzi wa 2020 ya kukijenga chama cha ACT Wazalendo nyumbani kwetu Kigoma Kusini imezaa matunda ya kurejesha nguvu na uimara wa chama katika Jimbo. Kazi inaendelea mpaka kieleweke. Rukoma Asanteni.
Dotto Rangimoto (@jinikinyonga) 's Twitter Profile Photo

Ziara ya Kiongozi wa ACTWazalendo, Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe katika Majimbo ya Mkoa wa Kigoma inaendelea. Leo yuko Jimbo la Buhigwe. Atafanya kikao cha ndani na viongozi wa ACT wa matawi na kata zote za jimbo hilo. Kisha saa nane mchana atafanya mkutano hadhara Munanila Center.

Ziara ya Kiongozi wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>, Ndugu <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> katika Majimbo ya Mkoa wa Kigoma inaendelea. Leo yuko Jimbo la Buhigwe. Atafanya kikao cha ndani na viongozi wa ACT wa matawi na kata zote za jimbo hilo. Kisha saa nane mchana atafanya mkutano hadhara Munanila Center.
ACT-wazalendo BUHIGWE (@actbuhigwe) 's Twitter Profile Photo

Ziara ya Kiongozi wa ACTWazalendo, Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe katika Majimbo ya Mkoa wa Kigoma inaendelea. Leo yuko Jimbo la Buhigwe. Atafanya kikao cha ndani na viongozi wa ACT wa matawi na kata zote za jimbo hilo. Kisha saa nane mchana atafanya mkutano hadhara Munanila Center.

Ziara ya Kiongozi wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>, Ndugu <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> katika Majimbo ya Mkoa wa Kigoma inaendelea. Leo yuko Jimbo la Buhigwe. Atafanya kikao cha ndani na viongozi wa ACT wa matawi na kata zote za jimbo hilo. Kisha saa nane mchana atafanya mkutano hadhara Munanila Center.
Seif Hamad Suleiman (@seifhsuleiman) 's Twitter Profile Photo

Leo Kiongozi wa ACTWazalendo, Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe amehutubia mkutano wa hadhara Buhigwe. Katika hotuba yake ameitaka Halmashauri ya Buhigwe kujenga kituo cha malori ili inufaike na jografia yake. Kesho KC ataendelea na ziara yake Kigoma Kaskazini. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

Leo Kiongozi wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>, Ndugu <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> amehutubia mkutano wa hadhara Buhigwe.

Katika hotuba yake ameitaka Halmashauri ya Buhigwe kujenga kituo cha malori ili inufaike na jografia yake.

Kesho KC ataendelea na ziara yake Kigoma Kaskazini.

#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Dotto Rangimoto (@jinikinyonga) 's Twitter Profile Photo

ZIARA YA NAIBU KATIBU MKUU BARA ACTWazalendo. 📅 26 Nov - 09 Dec. 2023 Mikoa: 📍Simiyu 📍Mwanza 📍Mkoa wa kichama Kahama 📍Shinyanga 📍Tabora 📍Singida 📍Dodoma #TaifaLaWote #MaslahiYaWote #TheFutureIsPurple

ZIARA YA NAIBU KATIBU MKUU BARA <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>.

📅 26 Nov - 09 Dec. 2023

Mikoa:
📍Simiyu
📍Mwanza
📍Mkoa wa kichama Kahama
📍Shinyanga 
📍Tabora
📍Singida
📍Dodoma

#TaifaLaWote
#MaslahiYaWote
#TheFutureIsPurple