Besta Mlagila (@bestamlagila) 's Twitter Profile
Besta Mlagila

@bestamlagila

Strong & Business woman. Napenda Siasa

ID: 1001030727083921408

calendar_today28-05-2018 09:21:38

65,65K Tweet

25,25K Followers

877 Following

Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) 's Twitter Profile Photo

βœ… π—π—˜ π—¨π—Ÿπ—œπ—£π—œπ—§π—ͺ𝗔 ? π—•π—”π—¦π—œ 𝗒𝗑𝗗𝗒𝗔 π—¦π—›π—”π—žπ—” π—žπ—ͺπ—”π—žπ—¨π—ͺ𝗔 𝗖𝗖𝗠 π—œπ—‘π—”π—žπ—¨π—¦π—’π—šπ—˜π—­π—˜π—” 𝗝𝗔𝗠𝗕𝗒 π—Ÿπ—” 𝗠𝗔𝗠𝗔 π—žπ—”π—₯π—œπ—•π—¨ π—¬π—”π—žπ—’ Inawezekana hukupata muda mzuri kufuatilia MIkutano ya Kampeni za Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya Mgombea nafasi

βœ… π—π—˜ π—¨π—Ÿπ—œπ—£π—œπ—§π—ͺ𝗔 ? π—•π—”π—¦π—œ 𝗒𝗑𝗗𝗒𝗔 π—¦π—›π—”π—žπ—” π—žπ—ͺπ—”π—žπ—¨π—ͺ𝗔 𝗖𝗖𝗠 π—œπ—‘π—”π—žπ—¨π—¦π—’π—šπ—˜π—­π—˜π—” 𝗝𝗔𝗠𝗕𝗒 π—Ÿπ—” 𝗠𝗔𝗠𝗔 π—žπ—”π—₯π—œπ—•π—¨ π—¬π—”π—žπ—’

Inawezekana hukupata muda mzuri kufuatilia MIkutano ya Kampeni za Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya Mgombea nafasi
Besta Mlagila (@bestamlagila) 's Twitter Profile Photo

Leo ndio watasema safari za Zanzibar hazikuwepo boti zilikuwa zinasomba wanajeshi, walivyokuwa hawana aibu 🀣🀣🀣

π’Œπ’‚π’π’ˆπ’‚ 🌷ᴹ α΄Ό α΄· α΄ΌπŸ₯€πŸ’ (@kangamok0) 's Twitter Profile Photo

KATAVI TUMEMVERIFY DKT. SAMIA SULUHU HASSAN Maelfu ya wananchi wamejitokeza katika Mkutano wa kampeni za Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi katika eneo la Maji Moto Mkoani KATAVI leo tarehe 09.09.2025.

KATAVI TUMEMVERIFY DKT.  SAMIA  SULUHU HASSAN 

Maelfu ya wananchi wamejitokeza katika Mkutano wa kampeni za Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) Balozi Dkt.  Emmanuel Nchimbi katika eneo la Maji  Moto Mkoani KATAVI leo tarehe 09.09.2025.
Besta Mlagila (@bestamlagila) 's Twitter Profile Photo

"Mwingine anayekwambia pambana. Kinukishe au kafanye hivi hajulikani anapoishi. Akikuandikia meseji anajiita Mtimkavu haweki jina lake halisi. " Yeye anajidai shujaa. Mwingine yupo Ulaya hayupo Tanzania"- Rais wa TLS, wakili Boniface Mwabukusi

"Mwingine anayekwambia pambana. Kinukishe au kafanye hivi hajulikani anapoishi. Akikuandikia meseji anajiita Mtimkavu haweki jina lake halisi.

" Yeye anajidai shujaa. Mwingine yupo Ulaya hayupo Tanzania"- Rais wa TLS, wakili <a href="/Mwabuk2Boniface/">Boniface Mwabukusi</a>
Besta Mlagila (@bestamlagila) 's Twitter Profile Photo

Kama Godbless E.J. Lema amemtelekeza Mwenyekiti wa Official Bavicha Taifa sasa wewe nani atakayekutetea? wakati unashurutishwa wao wapo Ubelgiji, Canada, Marekani wengine Kenya wakipost unavyotiishwa sheria kwa shuruti. ZAKUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO

EastAfricaTV (@eastafricatv) 's Twitter Profile Photo

#VIDEO Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Loveness Daniel Kisile (30), mkazi wa mtaa wa Temeke kata ya Mhandu wilayani Nyamagana kwa kosa la kutoa taarifa za uongo kwa mume wake na ndugu zake akidai ametekwa na watu watatu wa kiume waliotaka kumdhuru na kutoa ujauzito

Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limethibitisha linafanya uchunguzi juu ya tuhuma zinazowahusisha baadhi ya viongozi wa kisiasa wanaodaiwa kupita mitaani katika Jimbo la Kigoma Kaskazini na kuwalaghai wananchi kukusanya na kuandika namba za vitambulisho vya kupigia kura katika

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limethibitisha linafanya uchunguzi juu ya tuhuma zinazowahusisha baadhi ya viongozi wa kisiasa wanaodaiwa kupita mitaani katika Jimbo la Kigoma Kaskazini na kuwalaghai wananchi kukusanya na kuandika namba za vitambulisho vya kupigia kura katika