Fanuel Arsene (@arsenefanuel) 's Twitter Profile
Fanuel Arsene

@arsenefanuel

Change ur altitude, change ur thinking n ur life will change as well

ID: 3289072773

calendar_today18-05-2015 22:07:08

27,27K Tweet

2,2K Followers

4,4K Following

Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

SAD STORY — Hii picha ni mtu, ni mshikaji, ni rafiki, ni kaka, ni shujaa; ni mwana ambaye ndoto zake zilizimwa kwa risasi. Ni Daniel aka Lissu wa Kitaa. Alipigwa risasi akafa akiwa Ubungo. Hii tunaijua sote – au, kama hujui, fahamu huyu ni Daniel aka Lissu wa Kitaa. 🧵🧵

SAD STORY — Hii picha ni mtu, ni mshikaji, ni rafiki, ni kaka, ni shujaa; ni mwana ambaye ndoto zake zilizimwa kwa risasi.

Ni Daniel aka Lissu wa Kitaa. Alipigwa risasi akafa akiwa Ubungo. 

Hii tunaijua sote – au, kama hujui, fahamu huyu ni Daniel aka Lissu wa Kitaa.

🧵🧵
Eng.Mapunda Jr (@engmapundajr) 's Twitter Profile Photo

Bei ya Boxer 1 ni Tsh. 5000/- mpaka 10,000/- na Bei ya Chupi 1 ni Tsh 1000/- .,Anyway mimi Sijasema Mvae Chupi lakini ..🫵🏿😂😂😂😂

Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) 's Twitter Profile Photo

Tito Magoti: The Tanzania post-election report was a deliberate move to create a state narrative and evade accountability. The appointing authority is conflicted because President Suluhu is the prime suspect. #CitizenWeekend

Chadema Tanzania (@chadematz2) 's Twitter Profile Photo

Leo, tarehe 26 Aprili, 2026 ikiwa ni Siku ya #Muungano, tujikumbushe mwaka 2014 ambapo Mhe. Tundu Antiphas Lissu aliwasilisha maoni kuhusu #Muungano katika Bunge Maalum la Katiba.

JABIR SALEH (Zee la kujibrand)/Zee la kutrendi (@jabirsaleh) 's Twitter Profile Photo

@professorjaytz anasema kuna muda muziki ulimvuruga sana akawa tayari kumkabili mtu yoyote ambae anahisi anamfanyia hujuma,katika kipindi hiko ukatokea mkasa wa yeye na Pfunk Majani ambapo ilidaiwa alitaka kwenda kuchoma moto nyumbani kwa Majani akiwa na rafiki zake Link 👇🏾

Anthony Charles (@anthonchaz) 's Twitter Profile Photo

Umetumiwa PDF document imekosewa na unatakiwa ui EDIT Umetumiwa PDF document na unataka u SIGN au unataka utoe sign ya mtu uweke ya kwako. Au unataka ufanye manuva yako unayoyajua wewe. Basi tumia hii site www dot sejda dot com/pdf-editor. Nayeyuka 🚀

VLONE (@vlonerides) 's Twitter Profile Photo

🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿 Uyo jamaa Kuna mbibi wa kimasai Arusha ana dawa ya kuacha pombe na sio uchawi Wala Nini dawa za asili pombe ukiiona unaskia kutapika baba mdogo alikuwa ashapotea kabisa ashajizira Yan Ile mtu haeleweki n pombe asubuh mpaka kesho asubuh sahv kaacha na karudi kazini n mwalimu

Sekenke One 🌻 (@alexsamoja) 's Twitter Profile Photo

Mwanaume Uambiwe upost picha tano ukiwa na Baba Yako mzazi, kama huna huamki kesho. Maturubai na Trent tunaweka, hatuweki 🤣

Mwanza Mudi Mabiriani (@mwanzatown) 's Twitter Profile Photo

Kama unahitaji AJIRA 📍Dubai andika kwenye comment Kazi unayohitaji au SKILLS ulizonazo au Ujuzi ulionao niweze kukudondoshea moja kwa moja Utatuma maombi kwa mwajiri Direct na hakuna malipo yoyote utakayolipia kupata kazi malipo yangu kukusaidia niombee DUA nipate PEPO

Kama unahitaji AJIRA 📍Dubai andika kwenye comment Kazi unayohitaji au SKILLS ulizonazo au  Ujuzi ulionao niweze kukudondoshea moja kwa moja 

Utatuma maombi kwa mwajiri Direct na hakuna malipo yoyote utakayolipia kupata kazi malipo yangu kukusaidia niombee DUA nipate PEPO
Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

“ Sikiliza Albart , hili ni tukio la kumpa heshima Prof Jay na ni starehe kwa watu wote , nikiingiza siasa hapa , nyie CCM mpo na CHADEMA wapo, itabidi na Mnyika au Heche aje kuongea hapa , kitakachotokea hapa, kesho utafukuzwa kazi, halafu uanze kulilia. Matako yako”

“ Sikiliza Albart , hili ni tukio la kumpa heshima Prof Jay na ni starehe kwa watu wote , nikiingiza siasa hapa , nyie CCM mpo na CHADEMA wapo, itabidi na Mnyika au Heche aje kuongea hapa , kitakachotokea hapa, kesho utafukuzwa kazi, halafu uanze kulilia. Matako yako”