Zanzibar Insurance Corporation
@zic_znz
Tunatoa huduma za Bima ikiwemo bima ya chombo cha moto. Karibu Shirika Pendwa La Bima Nchini Tanzania (Zanzibar Insurance Corporation)
#bimanazic
ID: 1251211754782306304
https://zic.co.tz/employment-opportunities/ 17-04-2020 18:11:58
477 Tweet
1,1K Followers
6 Following
Bima kwa ajili ya wakandarasi itatoa ulinzi wakati wote wa utekelezaji wa mradi ulioshinda. Wasiliana nasi kupitia [email protected] kwa maelezo zaidi. #UjanjaNiKukataBima #bimanazic
Zanzibar Insurance Corporation imechangia Shilingi Milioni mbili. (2,000,000 TZS) katika Foundation ya Ally Kimara kupitia mchezo unaoendelea Muda huu Katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi kati ya Young Africans SC na Timu ya Taifa ya Somalia.