Yosepher F Komba
@yosepherfkomba
Former Tanzania Member of Parliament,Special Seat Tanga.
ID: 743340518499749888
16-06-2016 07:12:45
652 Tweet
23,23K Takipรงi
232 Takip Edilen
โKatiba iliyotengenezwa 1962 ambayo ndio inafanana na katiba tuliyonayo inampa Rais madaraka mengi na nguvu ya teuzi kubwaโ โฆ. Changamoto za katiba ya sasa ni pamoja na madaraka makubwa aliyonayo Rais, hakuna udhibiti wa madaraka haya โ Joseph Oleshangay youtu.be/en857YxpRtw
โMpaka sasa huwezi kupata haki nchini kwa sababu bado tuna mfumo wa kikoloni, tunahitaji #KatibaMpya ikayoweka mambo yote sawa kwenye mfumo wa utawala โ โ MMAREKANI MWEUSI ๐ฐ๐ช๐บ๐ธ #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi bit.ly/3UMG4jw
Wananchi wa sasa wameelimika juu ya haki zao za msingi na wameanza kuhoji juu ya suluhisho la kudumu la ugumu wa maisha na wanaona ni utawala mzuri kupitia #KatibaMpya Tutuvengele1 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi youtu.be/jKKKs3wT5yc
Leo #3Feb ni #maombi yangu msome katiba CHADEMA Tanzania kif. 3.2 #ItikadiMrengoKati na 3.1 #FalsafaPeoplesPower. Pia, mutafakari kif. 3.2.9 juu ya nafasi ya imani na dini katika kujenga #maadili . Kwenye mapambano ya #KatibaMpya tunayoendelea nayo, tuombe pia #NguvuYaMungu Quran 3:26.