@xhuhuli1302
ID: 1789367487206670337
calendar_today11-05-2024 18:51:23
38 Tweet
108 Followers
67 Following
4 months ago
Kila mtu ana njia yake ya maisha na ameunganishwa nayo na kuvunja hio inaitaj nguv ya ziada Kwasabab kwa wengine ni ndoto lakn kwa wengine ni uhalisia
3 months ago
Sometimes, accept disrespect even from people who do not deserve to disrespect for you inner peace
2 months ago
Mtu akipendwa bwana,afu asimpende aliempenda anavyo mfanyia kama sio binadamu mwenzio. Ukishindwa kumthamin mtu anaekupenda kwasababu anakupenda ishi nae kama binadamu mwenzako tu itasaidia sana