Vincent Shiembetsa (@vshiembetsa) 's Twitter Profile
Vincent Shiembetsa

@vshiembetsa

You can't get lost when you don't know where you are going

ID: 1476589107090542601

calendar_today30-12-2021 16:21:34

488 Tweet

20 Takipçi

137 Takip Edilen

Radio 47 (@radio47_kenya) 's Twitter Profile Photo

#Neno.... UNAVYOFIKIRIA MOYONI MWAKO NDIVYO ULIVYO! Methali 23:7: Ukilisha moyo wako mabaya utapata mabaya. Nakuhimiza uwe na mawazo mema, mawazo ya ushindi na mwangaza. Usipatie nafasi mawazo duni, "As a man thinketh so is he!" Barikiwa na Tukutane Galilaya! #Nuru47

#Neno.... UNAVYOFIKIRIA MOYONI MWAKO NDIVYO ULIVYO! 

Methali 23:7: Ukilisha moyo wako mabaya utapata mabaya. 

Nakuhimiza uwe na mawazo mema, mawazo ya ushindi na mwangaza. 

Usipatie nafasi mawazo duni, "As a man thinketh so is he!" Barikiwa na Tukutane Galilaya! #Nuru47
Mama Taifa Evah Mwalili (@evahmwalili) 's Twitter Profile Photo

Good morning Mwana Ligi 😊. Amka, kumekucha, karibu kwa morning glory, ni Prayer Wednesday, Mungu anajibu maombi yako. Single ladies, upo? Pokea nuru ya Bwana! Mama Taifa Evah Mwalili Smith #HapaNdipo #nuru47 #nuru47

Good morning Mwana Ligi 😊. Amka, kumekucha, karibu kwa   morning glory, ni Prayer Wednesday, Mungu anajibu maombi yako. Single ladies, upo? Pokea nuru ya Bwana! <a href="/EvahMwalili/">Mama Taifa Evah Mwalili</a> <a href="/Radio47KE/">Smith</a> #HapaNdipo #nuru47 #nuru47
Milele FM (@milele_fm) 's Twitter Profile Photo

Usikate tamaa Yupo Mungu mbinguni ajibuye maombi . Yupo Mungu asikiaye Maombi . Karibu kwenye #BarakaZaMilele Hapa Milele FM na Mmbone Mercy. NP Usikiaye Maombi by Kathy Praise

Radio 47 (@radio47_kenya) 's Twitter Profile Photo

#Neno....MUNGU AKUUNGANISHE NA BOAZI WAKO. Ruthu 1:8-10.. Ruth alipokutana na Boazi maisha yake yalichukua mkondo mpya. Unapochukua hatua ya imani, uondoke ukatafute, Mungu atafanya ukutane na Boazi wako na hali itabadilika. Wiki hii wacha Boazi ajitokeze!. Tukutane Galilaya!

#Neno....MUNGU AKUUNGANISHE NA BOAZI WAKO. Ruthu 1:8-10.. Ruth alipokutana na Boazi maisha yake yalichukua mkondo mpya. Unapochukua hatua ya imani, uondoke ukatafute, Mungu atafanya ukutane na Boazi wako na hali itabadilika. Wiki hii wacha Boazi ajitokeze!. Tukutane Galilaya!
Radio 47 (@radio47_kenya) 's Twitter Profile Photo

#Neno...WEWE SI WA KUANGAMIZWA! #NuruNaEvahMwalili 2 Wakorintho 4:8,9...Changamoto za dunia hii ni tele, zimetupiga kila upande lakini Mungu ni mwema na mwaminifu sana kwamba katika mapito haya yote hajakuacha bila msaada na hajaacha tuangamie. Katika mapito yako ...

#Neno...WEWE SI WA KUANGAMIZWA! #NuruNaEvahMwalili 
2 Wakorintho 4:8,9...Changamoto za dunia hii ni tele, zimetupiga kila upande lakini Mungu ni mwema na mwaminifu sana kwamba katika mapito haya yote hajakuacha bila msaada na hajaacha tuangamie. Katika mapito yako ...
Radio 47 (@radio47_kenya) 's Twitter Profile Photo

#Neno...MUNGU AKUJIBU KWA UPESI. ZABURI 102: 1-7..Mwanandishi anapitia hali ngumu na hapa anaambia Mungu amjibu upesi anapomwita. Nakuombea wiki hii, Mungu akujibu kwa haraka, pokea majibu ya maombi yako leo na urudi hapa kushuhudia. Amina! Tukutane Galilaya! #HapaNdipo

#Neno...MUNGU AKUJIBU KWA UPESI. ZABURI 102: 1-7..Mwanandishi anapitia hali ngumu na hapa anaambia Mungu amjibu upesi anapomwita. Nakuombea wiki hii, Mungu akujibu kwa haraka, pokea majibu ya maombi yako leo na urudi hapa kushuhudia. Amina! Tukutane Galilaya!

#HapaNdipo
Radio 47 (@radio47_kenya) 's Twitter Profile Photo

#Neno....USISEME MENGI MBELE YA MUNGU. Mhubiri 5:1-6..Mungu hapendezwi na maneno mengi maana hata mengine huwa hayana maana, tunaahidi Na tunakosa kutimiza. Rekebisha, nenda utimize nadhiri yako kwa Mungu na usiongee mengi mbele zake, pima maneno yako. Tukutane Galilaya.

#Neno....USISEME MENGI MBELE YA MUNGU. Mhubiri 5:1-6..Mungu hapendezwi na maneno mengi maana hata mengine huwa hayana maana, tunaahidi Na tunakosa kutimiza.   Rekebisha, nenda utimize nadhiri yako kwa Mungu na usiongee mengi mbele zake, pima maneno yako. Tukutane Galilaya.
Radio 47 (@radio47_kenya) 's Twitter Profile Photo

Karibu Kanisani! Leo unashiriki ibaada wapi? Tuna appreciate youth pastors kwa huduma ya vijana, Mungu awape hekima Zaidi. Taja youth pastor wa hapo Kanisani. Mama Taifa Evah Mwalili #Radio47Jumapili #HapaNdipo

Karibu Kanisani!

Leo unashiriki ibaada wapi? Tuna appreciate youth pastors kwa huduma ya vijana, Mungu awape hekima Zaidi. Taja youth pastor wa hapo Kanisani.
<a href="/EvahMwalili/">Mama Taifa Evah Mwalili</a>
#Radio47Jumapili #HapaNdipo