VAN PAUL (@vanpaul_05) 's Twitter Profile
VAN PAUL

@vanpaul_05

Help To Change The World
#ManchesterCity, #YoungAfrican

ID: 979011895976919042

calendar_today28-03-2018 15:06:39

460 Tweet

418 Followers

2,2K Following

Chuma cha Pua (@chumapua) 's Twitter Profile Photo

Kuna jamaa nimesoma uzi wake humu alikua mwaka wa 3 chuo alilima mpunga akagharamika 20M. Hivi jamaa wanatoaga wapi mtaji nakutushauri na sisi tuanze?

Madenge (@rollymsouth) 's Twitter Profile Photo

Soon ntawapa ratiba ya #VijanaKwanza tumekubaliana tutakuwa na mijadala online(twita) kila weekend then mwisho wa mwezi tutakuwa tunakutana sehemu.Mada zitakuwa zinahusu changamoto za uchumi kwa vijana na nini kifanyike,hakuna siasa(so ni jukwaa la vijana wote)tunakaribisha maoni

Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Mhe Kassim Majaliwa Majaliwa: with due respect, haitusaidii kujifunika shuka ikiwa kumekucha. Licha ya kuunda tume, fikiria kujiuzulu watu wenye umakini watuongoze. Mengi yametokea ukiwa PM, orodha ni ndefu. Yamepita bila uwajibikaji, yet you bring this story. You're unreliable. Jiuzulu.

Fortunatus Buyobe (@fbuyobe) 's Twitter Profile Photo

Watu wa kusini wana msemo wa “Mbwanda kala mbwanda” wakimaanisha mbwa kala mbwa. Ndivyo ambavyo ninaweza kuliita tukio hili.   UZI👇 KIFO MBELE YA FBI

Watu wa kusini wana msemo wa “Mbwanda kala mbwanda” wakimaanisha mbwa kala mbwa. 

Ndivyo ambavyo ninaweza kuliita tukio hili.
 
UZI👇

KIFO MBELE YA FBI
Paul_Makubi (@makubi_pol) 's Twitter Profile Photo

UKIFANYA HIVI UTAANZISHA BIASHARA YOYOTE DUNIANI. PDF ina inapages 13 za moto 🔥 Utaipata sasa hivi hakikisha umenifollow Niweze ingia inbox kwako 📌 Repost alafu comment "TAYARI" Nakutumia ndani ya Sekunde moja #wekezanami

UKIFANYA HIVI UTAANZISHA BIASHARA YOYOTE DUNIANI.

 PDF ina inapages 13 za moto 🔥

Utaipata sasa hivi hakikisha 
umenifollow
Niweze ingia inbox kwako 📌

Repost alafu comment  "TAYARI"

Nakutumia ndani ya Sekunde moja

#wekezanami