ubungo paralegal
@uparalegal
Tunatoa huduma ya msaada wa kisheria na elimu ya kisheria
ID: 1622088847495495680
05-02-2023 04:26:28
4 Tweet
26 Followers
737 Following
"Hapa Mkoani Manyara tunayo mashirika na watoa huduma wa msaada wa kisheria katika wilaya zote ikiwemo Babati, Hanang, Simanjiro, Mbulu TC, Mbulu DC na Kiteto, ambayo tunayawezesha kutoa huduma bure kwa jamii na yatasaidia sana katika kampeni hii," - Amani Manyelezi