Ofisi ya Waziri Mkuu (@tzwazirimkuu) 's Twitter Profile
Ofisi ya Waziri Mkuu

@tzwazirimkuu

The official Twitter page of the Prime Minister's Office Ukurasa Rasmi wa Twitter wa Ofisi ya Waziri Mkuu

ID: 1173638808790851585

linkhttp://www.pmo.go.tz calendar_today16-09-2019 16:45:03

3,3K Tweet

83,83K Followers

4 Following

Ofisi ya Waziri Mkuu (@tzwazirimkuu) 's Twitter Profile Photo

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Mei 11, 2025 ameshiriki kuaga mwili wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu na Waziri Mkuu Mstaafu hayati Cleopa David Msuya katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam.

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Mei 11, 2025  ameshiriki kuaga mwili wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu na Waziri Mkuu Mstaafu hayati Cleopa David Msuya katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam.