TR7 (@tra0007) 's Twitter Profile
TR7

@tra0007

ozil

ID: 1291246715509641218

calendar_today06-08-2020 05:36:52

268 Tweet

53 Followers

196 Following

Ismail Jussa (@ismailjussa) 's Twitter Profile Photo

"Mara hii rafiki yangu Magufuli ajiandae kufunga virago vyake na Hussein Mwinyi akikubali ajiandae kuwa Makamu wangu wa Kwanza. Mara hii kichwa lazima kitoke ACTWazalendo." Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na Timu za Ushindi leo mchana.

"Mara hii rafiki yangu Magufuli ajiandae kufunga virago vyake na Hussein Mwinyi akikubali ajiandae kuwa Makamu wangu wa Kwanza. Mara hii kichwa lazima kitoke <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>." Maalim <a href="/SeifSharifHamad/">Seif Sharif Hamad</a> akizungumza na Timu za Ushindi leo mchana.
Madenge (@rollymsouth) 's Twitter Profile Photo

Hey Carol Ndosi sijui but nahisi nahitaji tukae chini na kuona ni jinsi gani tunafikisha elimu juu ya mahusiano kwa watoto na wadogo zetu..Madhara ya unafiki wa wazazi/walezi yanazidi kuongezeka..tutapoteza vijana wengi kwa depression TUCHUKUE HATUA

π™π™π™žπ™£π™  π˜½π™žπ™œ 🀏 (@thinkbigmind) 's Twitter Profile Photo

kwa nini asishtakiwe, yeye ni nani wakati ni binadamu kama watu wengine. Lisu mara kwa mara ameonyesha msimamo wake dhidi ya Rais pale amuonapo Rais akikosea. Lisu anatabia za kinabii, moja ya tabia za kinabii ni kukemea uovu pasipokujali mtenda maovu atafanya nini Tundu Antiphas Lissu

M A G I R I (@kiganyi_) 's Twitter Profile Photo

Zaidi ya vitabu thelathini kwenye biblia vinazungumzia kura na kupiga kura… baada ya kupitia ITIFAKI YA BIBLIA πŸ‘‡ nimegundua kutokupiga kura inawezekana ni dhambi…kapige kura #KuraYetu

Zaidi ya vitabu thelathini kwenye biblia vinazungumzia kura na kupiga kura… baada ya kupitia ITIFAKI YA BIBLIA πŸ‘‡ nimegundua kutokupiga kura inawezekana ni dhambi…kapige kura #KuraYetu