Omar Said Shaaban
@omarshaaban80
ACT Wazalendo Principal Legal Counsel and Minister for Trade and Industrial Development (SMZ)
ID:4041803781
http://www.saidattorneys.com 25-10-2015 22:06:29
2,0K Tweet
8,0K Takipçi
624 Takip Edilen
This is appreciation tweet for Dr Naredra Nikam Dr Narendra Nikam of Lilavati Hospital in Mumbai, India. You are the best! I thank you for you dedicated services and commitment to my Father’s health all the time he has been in the Hospital. May Almighty God bless you.
#Miaka10ya ACTWazalendo.
Ninajivunia sana kuwa sehemu ya siasa za Chama hiki. Sikushiriki katika kuanzishwa kwake lakini najivunia:
1. Kuwa Miongoni mwa watu wa awali walioamini kwenye aina ya siasa zinazotambulisha Chama hiki
2. Kushiriki katika Mikakati ya kukijenga
3. Kuwa…
Mkutano wangu wa Kwanza wa Kidemokrasia niliyohudhuria ulikuwa ni huu wa 2016. Nikawasilisha Mada. The rest is History. Nawaomba wapenzi na wafuasi wote wa @actwazalendo #TwenzetuKilimanjaro
Ahsanteni Ngome ya vijana_Official wa ACTWazalendo kwa heshima ya kuwa Mwenyekiti wa Kongamano lenye kungazia historia ya Kuundwa kwa Muungano wa Tanganyika n Zanzibar na Mizizi Saba inayouzonga Muungano. Kongamano hili ni sehemu ya kuadhimisha #Miaka10 ya #MamlakaKamili #MaslahiyaWote
Kongamano la Ngome ya vijana_Official linalofanyika tarehe 21 April Jumapili katika Ukumbi wa Picca Hall - Kombeni Unguja, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha ACTWazalendo Ndugu Omar Said Shaaban atakuwepo. Tukutane Zanzibar.
#10mamlakakamili
#NgomeipoKazini
#VijanaNguvuyaChama
#TwenzetuZanzibar
Ni Kongamano la Ngome ya vijana_Official litakalofanyika Jumapili, tarehe 21 Aprili katika Ukumbi wa Picadilly - Kombeni, kisiwani #Unguja . Mwanasheria Mkuu wa Chama cha ACTWazalendo, Ndugu Omar Said Shaaban atakuwepo. Tukutane #Zanzibar .
#10MamlakaKamili
#NgomeIpoKazini
#TwenzetuZanzibar
Yes, Ni kesho na nitakuwepo. Tutajadili kuhusu Chama chetu, nafasi yetu kama Vijana kwenye hatma ya Zanzibar yetu na Tanzania Yetu kuelekea Mamlaka kamili ya Zanzibar na Tanzania ya wote kwa Maslahi ya wote. ACTWazalendo Ngome ya vijana_Official
Kongamano la Ngome ya vijana_Official linalofanyika tarehe 21 April Jumapili katika Ukumbi wa Picca Hall - Kombeni Unguja, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha ACTWazalendo Ndugu Omar Said Shaaban atakuwepo. Tukutane Zanzibar.
#10mamlakakamili
#NgomeipoKazini
#VijanaNguvuyaChama
#TwenzetuZanzibar
Kongamano la Ngome ya vijana_Official linalofanyika tarehe 21 April Jumapili katika Ukumbi wa Picca Hall - Kombeni Unguja, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha ACTWazalendo Ndugu Omar Said Shaaban atakuwepo. Tukutane Zanzibar.
#10mamlakakamili
#NgomeipoKazini
#VijanaNguvuyaChama
#TwenzetuZanzibar
Kongamano la Ngome ya vijana_Official linalofanyika tarehe 21 April Jumapili katika Ukumbi wa Picca Hall - Kombeni Unguja, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha ACTWazalendo Ndugu Omar Said Shaaban atakuwepo. Tukutane Zanzibar.
#10mamlakakamili
#NgomeipoKazini
#VijanaNguvuyaChama
#TwenzetuZanzibar
'Katika kuadhimisha miaka 10 ya ACTWazalendo, kutafanyika Mkutano Mkuu wa Kidemokrasia. Mkutano huo utafanyika Moshi Kilimanjaro.'
Naibu Mwenezi Taifa
shangwe Ayo
#TwenzetuMoshi
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Vibe la mwenezi kuelekea miaka 10 ya ACT Wazalendo.
Miaka 10 ya kupigania Maslahiya wote
Miaka 10 ya kupigania Zanzibar yenye mamlaka kamili.
ACTWazalendo
Hoja yako KC mstaafu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe na tangazo la kubadilika kwa jina la Tume limenifikirisha sana. Nimejaribu kufikiri kuhusu viapo vya Makamishna wa Tume. Wameapa kuitumikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi na sio Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi. Nikawaza hawa hawahitaji kuapa Upya ?…
Ujumbe wetu ni mmoja tu: Tume iliyopo IJIUZULU ili kupisha uundwaji wa #TumeHuru ya Uchaguzi SASA!
- Janeth Rithe - Mwenyekiti Taifa wa Ngome ya Wanawake wa ACTWazalendo
Being in India and get to hear from Indian Nationals speaking so highly about you, I felt privileged to had a moment with you when you visited Tanzania. Dr. S. Jaishankar (Modi Ka Parivar)
'Licha ya kauli za kufungua ukurasa mpya wa siasa za kistaarabu kupitia falsafa ya 4R, lakini vitendo vyote vya kiharamia na wizi wa kura vilivyofanyika kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 vinaendelea kwenye chaguzi za marudio.'
Makamu Mwenyekiti Bara
Isihaka Mchinjita
ACTWazalendo