neyscassava_tz (@neyscassava) 's Twitter Profile
neyscassava_tz

@neyscassava

Fried cassavas(Normal/with eggs)|Beef Mishkak|Fried Fish.Opening hrs 09am-10pm Located@Kijitonyama (Kajenge road) 📞0713418107 for orders 😊

ID: 1197149508171370497

calendar_today20-11-2019 13:48:07

367 Tweet

1,1K Takipçi

210 Takip Edilen

neyscassava_tz (@neyscassava) 's Twitter Profile Photo

Hellow my Twitter family... Nilikua kimya sana kwa muda mrefu humu na hii ilitokana na sababu zilizokua nje ya uwezo wangu kwa kipindi hicho,,Sasa nimerudi naomba mnikopokee kwa Moyo mmoja kabisa kabisa🙏🏻💛 viola julius Ms_Genya 𝐁𝐀𝐃𝐑𝐔 𝐉𝐔𝐌𝐀 𝐑𝐀𝐉𝐀𝐁𝐔

neyscassava_tz (@neyscassava) 's Twitter Profile Photo

Support yenu ni muhimu sana sana kwetu wapendwa,,hivyo tunaomba muendelee kutushika mkono na sisi tutazidi kuwapa vitu vizuri zaidi. Karibuni sana💛 📞0713 418107

Support yenu ni muhimu sana sana kwetu wapendwa,,hivyo tunaomba muendelee kutushika mkono na sisi tutazidi kuwapa vitu vizuri zaidi.
Karibuni sana💛
📞0713 418107
neyscassava_tz (@neyscassava) 's Twitter Profile Photo

Namshukuru Mungu kwa kunipa kibali cha kushiriki tuzo za Malkiawanguvu zinazoandaliwa na team nzima ya ⁦Clouds FM⁩...Asanteni sana kwa kutambua ninachofanya na kuona nastahili tuzo hii katika sector ya Chakula. Tunazidi pata hamasa ya kupambana haswa kwetu vijana wa kike.

Namshukuru Mungu kwa kunipa kibali cha kushiriki tuzo za Malkiawanguvu zinazoandaliwa na team nzima ya ⁦<a href="/cloudsfm/">Clouds FM</a>⁩...Asanteni sana kwa kutambua ninachofanya na kuona nastahili tuzo hii katika sector ya Chakula. Tunazidi pata hamasa ya kupambana haswa kwetu vijana wa kike.
neyscassava_tz (@neyscassava) 's Twitter Profile Photo

Kwa upekee kabisa naishukuru sana familia yangu kwa kua nami bega kwa bega adi kufikia hapa❤️🙏🏻 Shukrani zifike kwenu wateja wetu kwa support yenu kubwa ya kila siku💛 Bila kusahau team yangu nzima kwa kuhakikisha Kila siku tunatoa huduma bora kabisa Asanteni sana,kazi iendelee.

viola julius (@vwalaviola) 's Twitter Profile Photo

Hi dear naomba retweet yako , huenda boss wangu Yuko Kwa timeline yako. Niwaletee ?? Mtanunua??? Material ni glass nzito na mfuniko bamboo . 6 zitakua zinauzwa 60,000 Ila moja moja ni 14,000 ujazo ni 300 mls. Tuwasiliane 0782388366

Hi dear naomba retweet yako , huenda boss wangu Yuko Kwa timeline yako. 

Niwaletee ?? Mtanunua??? Material ni glass nzito na mfuniko bamboo . 6 zitakua zinauzwa 60,000 Ila moja moja ni 14,000 ujazo ni 300 mls. Tuwasiliane 0782388366
neyscassava_tz (@neyscassava) 's Twitter Profile Photo

My Twitter Family...Tuna This Amazing Breakfast Package Inapatikana Kila Siku Za Jumatatu-Jumamosi Kuanzia Saa Moja Asubuhi-Saa Nne Asubuhi Kwa Tsh elfu 20TU!!!!!!😋😋....Jamani Hizi ndani ya Package ni Cassava Donuts & Cassava Rolls Na Sio Maandazi😅!!! 📞0713418107 KARIBUNI💛

neyscassava_tz (@neyscassava) 's Twitter Profile Photo

GOOD MORNING MY PEOPLE....Mmeshapata Breakfast??Kama bado tunayo pack nzuri kabisa ya breakfast Kwa ajili yako... Hii Package Utaipata Kwa Tsh elfu 20TU!! 📞0713418107

neyscassava_tz (@neyscassava) 's Twitter Profile Photo

Wale Wazee Wa Visinia Tuna Menu Zenu Pambe Kabisaaaaa😋😋😋... 𝐁𝐀𝐃𝐑𝐔 𝐉𝐔𝐌𝐀 𝐑𝐀𝐉𝐀𝐁𝐔 YUSUPH MBILINYI.Jr iHumphreys viola julius Ms_Genya 📍TUNAPATIKANA KIJITONYAMA KAJENGE ROAD NA DELIVERY TUNAFANYA PIA!! 📍OPENING HRS(MONDAY-SATURDAY 10am-10pm SUNDAYS 12pm-10pm) 📞0713418107

neyscassava_tz (@neyscassava) 's Twitter Profile Photo

Try Out Today Our Heavy Breakfast Package😋 1 CASSAVA ROLL CASSAVA DONUT SPANISH OMELETTE 1/4 FRIED CHICKEN 2 FRIED SAUSAGES MAKANGE YA MBUZI MAHARAGE FRESHY JUICE FRUITS VYOTE HIVI KWA TSH ELFU 20TU! 📞0713418107 JUMATATU-JUMAMOSI SAA MOJA ASUBUHI-SAA NNE ASUBUHI KARIBU.