Benedu (@mankyr0) 's Twitter Profile
Benedu

@mankyr0

👀

ID: 1517796511186407424

calendar_today23-04-2022 09:24:39

7,7K Tweet

1,1K Takipçi

2,2K Takip Edilen

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Asanteni The Chanzo kwa kuweka side by side data! Sasa ni simple Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi acheni kujiona mna akili kuliko sisi! Ni hivi: 👉🏽Polepole hajasema mfumo wa upigaji kura ndo umeunganishwa na NIDA amesema DAFTARI LA WAPIGA KURA na hii amethibitisha mtaalam wenu 👉🏽 vifaa ktk

M A G I R I (@kiganyi_) 's Twitter Profile Photo

Chadema ya Mbowe ilikuwa jeshi la akiba la CCM; Miaka 20 ya Mbowe imetengeneza wanasiasa wengi sana waliongia CCM na kuchukua nafasi za maccm, wabunge 19 wa korona ni mfano wa karibuni. Hawa wanaenda kuwa mawaziri na manaibu, tutapigwa virungu mpaka tukome 😁😁.

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Message sent! Ukistaafu alafu kila kukicha unaonekana ubavuni wa mwenye ofisi si sawa! Mshauri unashauri nini hadi mikutano unaenda kuwakilisha kimataifa 🙄 Hapa ndo penyewe 🔥 asante Kanisa Katoliki🙏🏽 #NoReformsNoElection #TutaelewanaTu

HABARIMPYA TV (@habarimpyatv) 's Twitter Profile Photo

"Uovu upo duniani si kwa sababu kuna watu waonaotenda maovu, ila kwa sababu kuna watu wema waliokaa kimya. Tumwombe Mungu atutoe na sisi katika utumwa, turuhusu kama alivyofanya vita dhidi ya Farao na kumwangamiza na Jeshi lake lote aingie katika miyo yetu na maisha yetu na kwa

Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

Naombeni wasafiri wote mnaopita CHALINZE kuna ujumbe wa Askofu tunaomba udondoshe pale CHALINZE. Yeyote akaye uokota ujumbe huu ujumbe pale CHALINZE bila shaka ataufikisha salama na kwa haraka kwa mlengwa..! My take Askofu anakerwa sana na madalali wanaojiita washauri wa

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

UKIMYA wako unapoona UOVU ni MBOLEA ya kushamiri kwa matendo ya UOVU duniani. Soma tena. Huwezi kuwa salama kama UOVU unastawi kwenye nchi. Kemea UOVU ili usimee kwenye taifa. Kila mtu anao wajibu huo. TUTAKUWEPO🫵😎

Uncle G (@lukala_ngesse) 's Twitter Profile Photo

500k ✅️✅️✅️ #1XBET MONEY Jisajili 1xbet hapa 🌍 refpa58144.com/L?tag=d_446075… Promocode Andika : WEKEZA Follow me now & turn 🔔 ON

500k ✅️✅️✅️

#1XBET MONEY 

Jisajili 1xbet hapa 🌍 
refpa58144.com/L?tag=d_446075…

Promocode Andika : WEKEZA

Follow me now & turn 🔔 ON
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Is this a joke? 🙄 Tuwe serious kama Taifa Haiwezekani kama Taifa tukawa na kiongozi ambaye ni so obtuse and insensitive 👉🏽 Tundu Lissu the only viable main opposition candidate umenfunga 👉🏽Umeteka mamia ya wakosoaji, sisi wengine Mungu alitunusuru tumalize kazi 🙏🏽 ila hatujui

Is this a joke? 🙄
Tuwe serious kama Taifa
Haiwezekani kama Taifa tukawa na kiongozi ambaye ni so obtuse and insensitive 
👉🏽 Tundu Lissu the only viable main opposition candidate umenfunga
👉🏽Umeteka mamia ya wakosoaji, sisi wengine Mungu alitunusuru tumalize kazi 🙏🏽 ila hatujui
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

#Tanzania 🔥 A great sermon 🙌🏽 Yesterday and today we saw every Catholic church even in the remotest area in the country pray for Justice and Peace and the key message was without Justice there is no Pece! To have peaceful elections we need justice, fairness! This priest

Benedu (@mankyr0) 's Twitter Profile Photo

hao kazi zao huwezi pata na GPA yako na ukipata it's just God did All big firms lazima useme uliwahi fanya kazi wapi au intern wapi

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

“Rostam Aziz ameuziwa asilimia 70 ya Mgodi wa Makaa ambao ni Mkubwa Afrika Mashariki na kati kwa kiwango cha Bilioni 5 pesa za Kitanzania pesa ambayo haitoshi hata kununua nyumba Masaki. Ameshalipa Tsh. Bilioni 2.5 pekee”-; Balozi Polepole

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Tukiwaita vikaragosi wa ccm eti wanakasirika… hivi vinavyoitwa vyama vya upinzani, kazi yao kwenye uchafuzi huu ni kusanitize uchafu wa ccm. Nia yao ni kuonesha kwamba huu uchafuzi wa ccm ni uchaguzi halali. Lakini tujiulize, Kama Msimamizi wa uchaguzi amevaa nguo zenye picha

Tukiwaita vikaragosi wa ccm eti wanakasirika… hivi vinavyoitwa vyama vya upinzani, kazi yao kwenye uchafuzi huu ni kusanitize uchafu wa ccm.

Nia yao ni kuonesha kwamba huu uchafuzi wa ccm ni uchaguzi halali.

Lakini tujiulize, Kama Msimamizi wa uchaguzi amevaa nguo zenye picha