kalokola05 (@impacthubdar) 's Twitter Profile
kalokola05

@impacthubdar

Tanzania nchi yangu

ID: 1112635227493621760

calendar_today01-04-2019 08:38:04

264 Tweet

110 Takipçi

24 Takip Edilen

Tanzania Ya Samia (@tanzaniayamama) 's Twitter Profile Photo

𝗝𝘂𝗺𝗹𝗮 𝘆𝗮 𝘃𝗶𝘀𝗶𝗺𝗮 𝘃𝘆𝗮 𝗺𝗮𝗷𝗶 𝟭𝟬𝟬𝟬 𝗸𝘄𝗮 𝗮𝗷𝗶𝗹𝗶 𝘆𝗮 𝗸𝗶𝗹𝗶𝗺𝗼 𝗰𝗵𝗮 𝗨𝗺𝘄𝗮𝗴𝗶𝗹𝗶𝗮𝗷𝗶 𝘃𝗶𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗰𝗵𝗶𝗺𝗯𝘄𝗮 𝗻𝗰𝗵𝗶 𝗻𝘇𝗶𝗺𝗮. 𝗩𝗶𝘀𝗶𝗺𝗮 𝗵𝗶𝘃𝗶 𝘃𝗶𝗻𝗮𝗸𝘄𝗲𝗻𝗱𝗮 𝗸𝘂𝘄𝗮𝗻𝘂𝗳𝗮𝗶𝘀𝗵𝗮 𝘄𝗮𝗸𝘂𝗹𝗶𝗺𝗮

Wizara ya Katiba na Sheria (@sheria_katiba) 's Twitter Profile Photo

Aliyozungumza Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Dkt. Damas Ndumbaro wakati akizungumza na Watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka jijini Arusha tarehe 17 Desemba, 2024 Ofisi ya Taifa ya Mashtaka

Wizara ya Katiba na Sheria (@sheria_katiba) 's Twitter Profile Photo

WKS Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kazi kubwa inayofanya ya  kusimamia Amani na Usalama wa Nchi. Waziri Ndumbaro amesema hayo tarehe 17 Desemba, 2024 katika ziara Mkoani Arusha yenye lengo la kuzitembelea Taasisi zilizopo katika mfumo wa Haki Jinai.

WKS Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kazi kubwa inayofanya ya  kusimamia Amani na Usalama wa Nchi. Waziri Ndumbaro amesema hayo tarehe 17 Desemba, 2024 katika ziara  Mkoani Arusha yenye lengo la kuzitembelea Taasisi zilizopo katika mfumo wa Haki Jinai.
MSLegalAidCampaign (@mslacampaign) 's Twitter Profile Photo

Maafisa dawati la msaada wa kisheria mpwapwa walifanikiwa kutembelea kata ving’awe mtaa hazina wilayani mpwapwa mkoani dodoma na kuitembelea familia Josephine kutona ambaye anaishi na mjukuu wake John Amphrey mdoe mwenye changamoto ya ulemavu. #MSLAC Wizara ya Katiba na Sheria

Maafisa dawati la msaada wa kisheria mpwapwa walifanikiwa kutembelea kata ving’awe mtaa hazina wilayani mpwapwa mkoani dodoma na kuitembelea familia Josephine kutona ambaye anaishi na mjukuu wake John Amphrey mdoe mwenye changamoto ya ulemavu.

#MSLAC 
<a href="/Sheria_Katiba/">Wizara ya Katiba na Sheria</a>
MSLegalAidCampaign (@mslacampaign) 's Twitter Profile Photo

Kutoka halmashauri ya manispaa ya kinondoni kata ya mabwepande tulifanikiwa kupita mtaa kwa mtaa kwenye mikusanyiko ya watu na kwa mama lishe kutoa elimu juu ya msaada wa kisheria. #MSLAC Wizara ya Katiba na Sheria SISI NI TANZANIA

Kutoka halmashauri ya manispaa ya kinondoni kata ya mabwepande tulifanikiwa kupita mtaa kwa mtaa kwenye mikusanyiko ya watu na kwa mama lishe kutoa elimu juu ya msaada wa kisheria.

#MSLAC 
<a href="/Sheria_Katiba/">Wizara ya Katiba na Sheria</a> 
<a href="/sisiniTanzania/">SISI NI TANZANIA</a>
Nchi yangu kwanza (@nchiyangut) 's Twitter Profile Photo

HII NI HOSPITALI YA WILAYA YA MERU MKOA WA ARUSHA serikali ya awamu ya sita imetoa sh milion 900 za ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje OPD,Malabara,Bohari ya dawa,Kichomeo taka, pamoja na ukarabati wa majengo ya zamani, hospital hii iko kata ya Akheri. UKO WILAYA GANI TANZANIA

HII NI HOSPITALI YA WILAYA YA MERU MKOA WA ARUSHA serikali ya awamu ya sita imetoa sh milion 900 za ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje OPD,Malabara,Bohari ya dawa,Kichomeo taka, pamoja na ukarabati wa majengo ya zamani, hospital hii iko kata ya Akheri. UKO WILAYA GANI TANZANIA
Kadala Bunungu (@kadalaaa) 's Twitter Profile Photo

Nchi yangu kwanza Kituo cha afya kilichopo Kata ya pangani, Halmashauri ya mji wa kibaha kilichogharimu kiasi cha Tshs. 309,000,000/= ambacho kimeshaanza kutoa huduma kwa wananchi. #sisinitanzania #matokeochanya #ssh

<a href="/NCHIYANGUT/">Nchi yangu kwanza</a> Kituo cha afya kilichopo Kata ya pangani, Halmashauri ya mji wa kibaha kilichogharimu kiasi cha Tshs. 309,000,000/= ambacho kimeshaanza kutoa huduma kwa wananchi. 
#sisinitanzania #matokeochanya #ssh
ShaiMinyama (@mohamedy_s24347) 's Twitter Profile Photo

Nchi yangu kwanza Majengo Mapya ya hospitali yamejengwa kwa wingi kipindi hiki cha Serikali ya awamu ya sita kwani nasi wakaz wa halmshauri ya Mvomero tunamshukuru Rais Samia kwa kuongeza majengo mengine mapya ktk hospitali hiyo ya wilaya lengo ni kutoa huduma bora kwa wananchi. #DRSSH #MSLAC

<a href="/NCHIYANGUT/">Nchi yangu kwanza</a> Majengo Mapya ya hospitali yamejengwa kwa wingi kipindi hiki cha Serikali ya awamu ya sita kwani nasi wakaz wa halmshauri ya Mvomero tunamshukuru Rais Samia kwa kuongeza majengo mengine mapya ktk hospitali hiyo ya wilaya lengo ni kutoa huduma bora kwa wananchi. 
#DRSSH 
#MSLAC
Malcom_X (@juma_hamlo) 's Twitter Profile Photo

Nchi yangu kwanza Manispaa Ya Musoma kazi nzuri imefanywa na Dr Samia Suluhu . Ukarabati wa Hospitali Ya Musoma Manispaa iliyojengwa tangu Ukoloni na Ujenzi wa Majengo Mapya (Meno & Macho). Pongezi kwa Uongozi wa Manispaa Ya Musoma #sisinitanzania #mslac #matokeochanya #ssh

Ochu (@ochu863252) 's Twitter Profile Photo

Nchi yangu kwanza Huduma bora imezidi kusogezwa kwa wananchi. Hongera kwa serikali ya awamu ya sitar. #sisinitanzania #nahayandiomatokeochanya #MSLAC #SSHkaziiendelee

<a href="/NCHIYANGUT/">Nchi yangu kwanza</a> Huduma bora imezidi kusogezwa kwa wananchi. Hongera kwa serikali ya awamu ya sitar.
#sisinitanzania
#nahayandiomatokeochanya
#MSLAC
#SSHkaziiendelee
SAMIA APP (@samia_app) 's Twitter Profile Photo

Serikali imetenga jumla ya Shilingi Trillion 1.15 kwa ajili ya kujenga shule mpya za msingi na madarasa mapya kwa kipindi cha miaka 5 ambapo kwa mwaka wa fedha 2023/2024 wa fedha Shule 302 mpya za msingi na madarasa zaidi ya 3000 zimejengwa. Pakua Samia App kupitia Play Store

Serikali imetenga jumla ya Shilingi Trillion 1.15 kwa ajili ya kujenga shule mpya za msingi na madarasa mapya kwa kipindi cha miaka 5 ambapo kwa mwaka wa fedha  2023/2024 wa fedha Shule 302 mpya za msingi na madarasa zaidi ya 3000 zimejengwa.

Pakua Samia App kupitia Play Store
Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) 's Twitter Profile Photo

🔴Live Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kupitia Akaunti zetu za Instagram: ikulu_mawasiliano, Facebook: Ikulu Tanzania Facebook fanpage: Ikulu Mawasiliano Twitter: ikulu_Tanzania Youtube Channel: Ikulu Tanzania Tovuti: ikulu.go.tz #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM

🔴Live   Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kupitia Akaunti zetu za Instagram: ikulu_mawasiliano, Facebook: Ikulu Tanzania Facebook fanpage: Ikulu Mawasiliano Twitter: ikulu_Tanzania Youtube Channel: Ikulu Tanzania Tovuti: ikulu.go.tz
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM
MSLegalAidCampaign (@mslacampaign) 's Twitter Profile Photo

KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA YAJA NA UJUMBE MAALUM WA MWAKA MPYA 2025 Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC) inawapenda na kuwathamini Watanzania wote! Tunayo furaha kuwakaribisha katika mwaka mpya wa 2025 huku tukiwa na matumaini makubwa ya

KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA YAJA NA UJUMBE MAALUM WA MWAKA MPYA 2025

Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC) inawapenda na kuwathamini Watanzania wote! Tunayo furaha kuwakaribisha katika mwaka mpya wa 2025 huku tukiwa na matumaini makubwa ya
Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) 's Twitter Profile Photo

Tunawatakia Watanzania Wote Heri ya Mwaka Mpya 2025 Salamu za heri na mafanikio kwa Watanzania wote. Katika mwaka huu mpya, tunataka kila Mtanzania aendelee kufurahia maendeleo, amani, na mshikamano. Tukiwa na umoja, nguvu na nia ya kujenga taifa letu, tunaamini tutapata

Tunawatakia Watanzania Wote Heri ya Mwaka Mpya 2025
Salamu za heri na mafanikio kwa Watanzania wote. Katika mwaka huu mpya, tunataka kila Mtanzania aendelee kufurahia maendeleo, amani, na mshikamano. Tukiwa na umoja, nguvu na nia ya kujenga taifa letu, tunaamini tutapata
SISI NI TANZANIA (@sisinitanzania) 's Twitter Profile Photo

Tunawatakia Watanzania wote HERI NA FANAKA YA MWAKA MPYA 2025 Tuwe na mwaka uliojaa amani, mshikamano, maendeleo, na mafanikio kwa taifa letu! 🎉✨ #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan

Tunawatakia Watanzania wote HERI NA FANAKA YA MWAKA MPYA 2025  

Tuwe na mwaka uliojaa amani, mshikamano, maendeleo, na mafanikio kwa taifa letu! 🎉✨ 
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan
MSLegalAidCampaign (@mslacampaign) 's Twitter Profile Photo

"Rais Samia Aongoza Mapinduzi ya Haki: Mpango wa Msaada wa Kisheria 2025 Kuleta Ukombozi wa Kisheria kwa Wananchi" Katika hotuba ya kufunga mwaka 2024 Rais Samia Suluhu Hassan ameendelea kusisitiza umuhimu wa kuendeleza utoaji wa msaada wa kisheria kwa wananchi wote, hasa wale