iamvictor (@iamdeidei_05) 's Twitter Profile
iamvictor

@iamdeidei_05

ManUnitedFC || SimbaSc You love different when you know God || I really hate arsenal, chelshit & livafool // Usiamini mitandao shauri yako.

ID: 3025085399

calendar_today08-02-2015 15:21:28

97,97K Tweet

1,1K Takipçi

980 Takip Edilen

Jessie J🌺 (@mrs_pappi) 's Twitter Profile Photo

Guys kama naomba kushare picha za wale madogo nmeona pia kuna mtu kapost kuwaulizia tukiwapata tufanye namna ya kuwasaidia malazi na mahitaji yote ya muhimu na namna nyingine kuakwamua kiuchumi Najua sisi ni familia moja hatushindwi Kama mtu akiwaona anipgie 0745134138 Plz RT

Guys kama naomba kushare picha za wale madogo nmeona pia kuna mtu kapost kuwaulizia tukiwapata tufanye namna ya kuwasaidia malazi na mahitaji yote ya muhimu na namna nyingine kuakwamua  kiuchumi 
Najua sisi ni familia moja hatushindwi 
Kama mtu akiwaona anipgie 0745134138
Plz RT
Fred Kavishe (@fredkavishe) 's Twitter Profile Photo

Leo tumepumzisha mdogo wetu Derrick salama. Alitoka kwenda dukani wahuni wakampiga mbili za kifua licha ya kupiga magoti. Kama Taifa inabidi tukubali makosa yetu tumepoteza nguvu za vijana wengi sana. Tunahitaji Haki ndani ya Taifa na Hatutasahau Hadi Tupate Haki.

Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

Sikilizeni hii acccount. Watu wengi walioketa ripoti za watu kuuliwa wakiwa majumbani au bila kuhusika wameripoti kuwa askari waliofanya hayo matendo walikuwa na lafudhi ya kizanzibary. Hata upande wa jeshi wameripoti wanajeshi waliofanya ukatili walikuwa na lafudhi ya

Son of God (@eliabudanford) 's Twitter Profile Photo

#CodeszaUnabii Kundi la wawindaji la tatu litakaa, litajadili yote, wataangalia kila angle & kesho ya maisha ya kondoo wataona kuna giza zaidi ya afadhali. Watachukua maamuzi magumu. Watawageuka viongozi wa wawindaji. Kondoo msiogope Wokovu unakuja. Mwenye masikio na asikie.

Ena&CocoInParis (@enamalisa) 's Twitter Profile Photo

minah🌹 I hope you know, even some of the ones you are still engaging with, sio wasukuma reli bali kabisa walikua frontline kusupport and deepdown they still do, and they are not sorry.