.
@dr_bashiru
.
ID: 2619732957
18-06-2014 10:49:59
212 Tweet
10,10K Takipçi
0 Takip Edilen
Kama Rais wangu Samia Suluhu anakubalika kwa kiwango kikubwa, kwanini wapambe wake hawataki wengine wachukue fomu ya urais 2025? Kama anakubalika woga wa kushindana unatoka wapi?
Wana CCM wenzangu na Watanzania kwa ujumla, kwa hali ilivyo sasa, Je! mnadhani Rais Samia Suluhu ataweza kushinda 2025 kwa uchaguzi huru na wa haki?