Annania Nzelani (@annanianze46352) 's Twitter Profile
Annania Nzelani

@annanianze46352

ID: 1767533091659165696

calendar_today12-03-2024 12:49:07

438 Tweet

7 Takipçi

73 Takip Edilen

Annania Nzelani (@annanianze46352) 's Twitter Profile Photo

Usiku huu tunapolala tusisahau kumuomba Mungu baba muumba mbingu na ardhi atulinde na atuepushe na adui mwovu huku akitupa ujasiri wa kupigania haki na kuendeleza sera yetu ya no reform no election ikawafikie watu wote wapenda haki na amani ili nchi iongozwe kwa sheria na haki🙏

Emmanuel chacha Christopher (@immamtanganyika) 's Twitter Profile Photo

Ukiona una Dalili zifuatazo ,Wahi hospitali Ni Dalili za awali za UKICHAA. 1.Unaamini Kuwa utalinda KURA ingawa Sheria na kanuni za uchaguzi walizosaini viongozi wako zinakataza. 2.Unaamini Kuwa utatiki bila Reforms na KURA yako ilete Mabadiliko. 3.Unaibeza #NoReformsNoElection

Ukiona una Dalili zifuatazo ,Wahi hospitali Ni Dalili za awali za UKICHAA.

1.Unaamini Kuwa utalinda KURA ingawa Sheria na kanuni za uchaguzi walizosaini viongozi wako zinakataza.
2.Unaamini Kuwa utatiki bila Reforms na KURA yako ilete Mabadiliko.
3.Unaibeza #NoReformsNoElection
Annania Nzelani (@annanianze46352) 's Twitter Profile Photo

Kujiandaa na UE kidogo nakuta watu wametemwa na mfumo 😄😄sema hao wote tutaimba nao sauti Moja ya no reform no election ✌️✌️✌️

Annania Nzelani (@annanianze46352) 's Twitter Profile Photo

Kwahiyo siku zote wachochezi ni chadema tu halafu wanachochea nini,,, mbona siasa zetu ni za kishamba sana japo sio prisca✌️ No reform no election

Annania Nzelani (@annanianze46352) 's Twitter Profile Photo

Haya amejizulu huko na amesema nchini hakuna haki ila machawa wanasema amefanikisha 😄😄🙌 jua la vitamini sasa ndio limeanza no reform no election haya ndio matunda yake

Haya amejizulu huko na amesema nchini hakuna haki ila machawa wanasema amefanikisha 😄😄🙌 jua la vitamini sasa ndio limeanza no reform no election haya ndio matunda yake
Annania Nzelani (@annanianze46352) 's Twitter Profile Photo

No Reform no election world wide ✌️ mti wake unakua kwa Kasi sana na matunda yameanza yakuonekana soon yatakuwa tayari kwa kuvunwa,, time will tell. #NRNE✌️

Chadema Tanzania (@chadematz2) 's Twitter Profile Photo

"Chadema tupo tayari kama kuna mabadiliko, kipenga kipulizwe tuingie, hata wakikaa na Tundu Antiphas Lissu lakini wametufanyia mabadiliko, tutampelekea fomu atajaza akiwa gerezani na atawanyoosha akiwa gerezani atatoka akiwa Rais." Mhe. John Heche

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Polepole kwanza ameweka REKODI kama balozi wa kwanza kujiuzulu tangu nchi ipate UHURU. AIBU hii kwa mamaenu. Aliyoyaandika yanathibitisha mengi ambayo tumekuwa tukipigia kelele hasa kukosekana kwa HAKI kwenye Taifa. Udiktekta wa IDI AMINI MAMA. CHAWA wamepagawa na kuanza

Polepole kwanza ameweka REKODI kama balozi wa kwanza kujiuzulu tangu nchi ipate UHURU. AIBU hii kwa mamaenu.

Aliyoyaandika yanathibitisha mengi ambayo tumekuwa tukipigia kelele hasa kukosekana kwa HAKI kwenye Taifa. Udiktekta wa IDI AMINI MAMA.

CHAWA wamepagawa na kuanza