Maria Sarungi Tsehai
@MariaSTsehai
Media & Communications expert @EF_fellows 2016, @intleaders, #ChangeTanzania #KatibaMpya #GoodTrouble maker Team Hakuna Kushindwa,
ID:24312877
https://mariasarungitsehai.medium.com/ 14-03-2009 02:40:08
694,6K Tweet
1,2M Takipçi
8,2K Takip Edilen
Leo #MariaSpaces tunajadili: #KatibaMpya , muungano, Tanganyika - CCM wanataka tusubiri nini?
Kauli ya makamu mkiti wa CCM imerudi yale yaliyosemwa kwa muda kuwa CCM inadai muda wa kupata #KatibaMpya bado - kwa nini wanataka tusubiri? Suala la kujadili Muungano na uwepo wa…
Maria Sarungi Tsehai Iwe
Serikali ya Tanzania
Serikali ya Tanganyika
Serikali ya Zanzibar
Itamkwe Tanganyika badala ya serikali ya Tanzania Bara.
Maria Sarungi Tsehai Aliyewaloga CCM kafa siku nyingi na uchawi umeisha nguvu . Mungu atutetee
Maria Sarungi Tsehai Muungano ni Tanganyika na Zanzibar (1 ipo nyingine inafichwa kwa makusudi)
Tanganyika sio Tanzania Bara (ukisema Tanzania Bara tunavyo visiwa huku Bara kwamba vinafutika?) Tanganyika ni nchi huru ilipata uhuru wake 9 Disemba 1961. Tanzania bara haijawahi kupata uhuru na haipo
Maria Sarungi Tsehai Nahisi kuna agenda nzito imejificha kwenye hili suala na kuwanufaisha kikundi cha watu fulani.
Maria Sarungi Tsehai Maccm ni bora yatukane matusi ya nguoni mchana kweupe kuliko kulitambua neno #TANGANYIKA
Maria Sarungi Tsehai Nimemsikiliza kinana
Kwanza nikajuta kupoteza muda na bando langu
Nia aibu kwa taifa lenye watu 60M Halafu kinana Ndio think tank ya taifa
Anaongea very general as if anongea na kindergarten . Neno tanganyika lilikuwa mwiba kwake
Tu naitaka Tanganyika
Maria Sarungi Tsehai Tuuvunje kwanza, Ardhi ni Mali ya Tanganyika, kama wana kipande Chao waonyeshe hati/ Mkataba walikipataje? Wasituambie kuna Kiongozi aliwapa bure, itakuwa ni Rushwa, Tukishauvunja kama una umuhimu tukae kwenye meza ya Mazungumzo Tunaunganaje? Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Maria Sarungi Tsehai Tundu Antiphas Lissu Kwa kweli tumpe maua yake.💐💐💐💐 Itatuchukua Karne Moja kupata mtu Jasiri,muwazi,mstahilimu na mkweli kama Tundu Antiphas Lissu na anayependwa na Mungu.