maskini Jeuri..... (@2shotdemc) 's Twitter Profile
maskini Jeuri.....

@2shotdemc

ID: 1488612420650209281

calendar_today01-02-2022 20:37:36

2,2K Tweet

555 Takipçi

895 Takip Edilen

Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

Ofisi ya Mkoa, ACTWazalendo nasubiriwa kwa ajili ya kuandamana na Wanawake wa Mji wa Kigoma kwenda Ofisi za Jimbo kuchukua fomu za kugombwea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini leo asbh

 𝐊𝐢𝐝𝐮𝐝𝐮 𝐌𝐭𝐮 𝐉𝐑™ (@anuskills3) 's Twitter Profile Photo

Most Awarded female artist in East Africa. No question about it. Miaka 25 kwa kasi ileile,Tushukuru kwa hii siku tulio hapa. Piga 0658 556 557 kufanya booking ya meza,Tar 23 June wote tutakua Super Dome Masaki.

Most Awarded female artist in East Africa. No question about it. Miaka 25 kwa kasi ileile,Tushukuru kwa hii siku tulio hapa.

Piga 0658 556 557 kufanya booking ya meza,Tar 23 June wote tutakua Super Dome Masaki.
Halima James Mdee (@halimamdee) 's Twitter Profile Photo

Umesema VYEMA … you will NEVER know.. MIE NILIAMUA Kunyamaza KIMYA . RAIA MKAMEZA takataka ZOTE mlizomezeshwa. 5 years on… sijajutia UKIMYA wangu.. MAANA naendelea KUJIFUNZA kumbe SIO KILA MTU anaweza vumilia 🥂😃! Cheers najiandaa na MECHI ya WATANİ sasa 😂!

Mohammed Dewji MO (@moodewji) 's Twitter Profile Photo

Simba ni Mfalme. Na Anaweza Kunguruma Popote 👏🏽🦁 25/05/25 #Nguvumoja // The Lion Is King. He Can Roar Anywhere 👏🏽🦁25/05/25 #Simba

Simba ni Mfalme. Na Anaweza Kunguruma Popote 👏🏽🦁 25/05/25 #Nguvumoja

//

The Lion Is King. He Can Roar Anywhere 👏🏽🦁25/05/25 #Simba
Latto 𝕏 (@rydx_017) 's Twitter Profile Photo

Haya mambo yashaanza kuwa Serious sasa. Sio kawaida kwa Tajiri la Kihaya kupita siku tatu bila kupost au ku-comment popote!! Amepotea wapi? Hiyo last Post yake ndio inatupa Wasiwasi!!

Haya mambo yashaanza kuwa Serious sasa.

Sio kawaida kwa Tajiri la Kihaya kupita siku tatu bila kupost au ku-comment popote!!

Amepotea wapi?

Hiyo last Post yake ndio inatupa Wasiwasi!!
Batuli Actress (@batuli_actress) 's Twitter Profile Photo

Kama Unaweza Kuziamrisha Mali Zako Na Kuwa Vile Unavyotaka Wewe Unaezimiliki Basi Wewe Ni Tajiri Tena Mwenye Uhuru Ila Kama Mali Zako Zinakuamrisha Na Kukupelekesha Hadi Kubadilika Na Kuwa Mtu Tofauti Basi Tambua Kuwa Wewe Ni Masikini Kweli Kweli……..✍🏽

Kama Unaweza Kuziamrisha Mali Zako Na Kuwa Vile Unavyotaka Wewe Unaezimiliki Basi Wewe Ni Tajiri Tena Mwenye Uhuru Ila Kama Mali Zako Zinakuamrisha Na Kukupelekesha Hadi Kubadilika Na Kuwa Mtu Tofauti Basi Tambua Kuwa Wewe Ni Masikini Kweli Kweli……..✍🏽
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Baada ya kuwasili Kigoma nikitokea Tabora, nimepata wasaa wa kufuatilia tamasha la Klabu ya Yanga la Siku ya Mwananchi 2025, hakika limefana sana. Ninawapongeza na kuwatakia kila la kheri katika msimu ujao kwenye mashindano ya kitaifa na kimataifa.

Baada ya kuwasili Kigoma nikitokea Tabora, nimepata wasaa wa kufuatilia tamasha la Klabu ya Yanga la Siku ya Mwananchi 2025, hakika limefana sana. Ninawapongeza na kuwatakia kila la kheri katika msimu ujao kwenye mashindano ya kitaifa na kimataifa.