OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR (@tmsmim1757) 's Twitter Profile
OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR

@tmsmim1757

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ
2277 Barabara ya Vuga,
S.L.P 4220,
70401 Mjini Magharibi,
Tel: +255242230034

ID: 1706977955350454272

linkhttps://tamisemim.go.tz/ calendar_today27-09-2023 10:24:32

362 Tweet

32 Followers

29 Following

OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR (@tmsmim1757) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Nchi OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa ameshiriki Dua Maalum ya kumuombea aliyekuwa Miongoni mwa waasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar Marehemu Maalim Hamid Ameir Ali, Dua hiyo iliyofanyika kijijini kwao Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja. πŸ“† 06 April, 2026

Waziri wa Nchi <a href="/tmsmim1757/">OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR</a> Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa ameshiriki Dua Maalum ya kumuombea aliyekuwa Miongoni mwa waasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar Marehemu Maalim Hamid Ameir Ali, Dua hiyo iliyofanyika kijijini kwao Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja.

πŸ“† 06 April, 2026
OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR (@tmsmim1757) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Mawasiliano Teknolojia ya Habari na Ubunifu Mh. Mudriki Ramadhan Soraga amefungua semina ya kuwajengea uwezo Masheha wa kisiwa cha Unguja huko katika ukumbi wa Taasisi ya Lugha za Kigeni Vuga. πŸ“† 09 April, 2026 πŸ“ Vuga, Zanzibar

Waziri wa Mawasiliano Teknolojia ya Habari na Ubunifu Mh. Mudriki Ramadhan Soraga amefungua semina ya kuwajengea uwezo Masheha wa kisiwa cha Unguja huko katika ukumbi wa Taasisi ya Lugha za Kigeni Vuga.

πŸ“† 09 April, 2026
πŸ“ Vuga, Zanzibar
OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR (@tmsmim1757) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amefungua mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo wakuu wa Serikali za Mitaa kuhusu usafi wa Miji pamoja na kupamba Miji ya Zanzibar hapo katika ukumbi wa Jiji la Zanzibar Michenzani mall. πŸ“† 14 April, 2026

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais <a href="/tmsmim1757/">OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR</a> Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amefungua mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo wakuu wa Serikali za Mitaa kuhusu usafi wa Miji pamoja na kupamba Miji ya Zanzibar hapo katika ukumbi wa Jiji la Zanzibar Michenzani mall.

πŸ“† 14 April, 2026
OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR (@tmsmim1757) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR Mhe. Idrissa Kitwana amekutana na Wakuu wa Wilaya wapya mara tu baada ya kuapishwa, hafla hiyo imefanyika ofisini kwake Vuga. 13/4/2026

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais <a href="/tmsmim1757/">OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR</a> Mhe. Idrissa Kitwana amekutana na Wakuu wa Wilaya wapya mara tu baada ya kuapishwa, hafla hiyo imefanyika ofisini kwake Vuga.

13/4/2026
OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR (@tmsmim1757) 's Twitter Profile Photo

Leo 20 April, 2026 Waziri Kitwana ameshiriki kikao cha kupitia makadirio ya mapato kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ. Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Mikutano Makao Makuu ya KVZ Mtoni.

Leo 20 April, 2026 Waziri Kitwana ameshiriki kikao cha kupitia makadirio ya mapato kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ.

Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Mikutano Makao Makuu ya KVZ Mtoni.
OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR (@tmsmim1757) 's Twitter Profile Photo

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla Hemed Suleiman Abdulla amefanya ziara ya kutembelea Mradi wa hospitali ya Kikosi cha Valantia Mtoni pamoja na mradi wa Ofisi za Wakala wa Ulinzi JKU Mtoni. πŸ“† 21 April, 2026 πŸ“ Mtoni, Zanzibar

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla <a href="/makamuwapili/">Hemed Suleiman Abdulla</a> amefanya ziara ya kutembelea Mradi wa hospitali ya Kikosi cha Valantia Mtoni pamoja na mradi wa Ofisi za Wakala wa Ulinzi JKU  Mtoni.

πŸ“† 21 April, 2026
πŸ“ Mtoni, Zanzibar
OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR (@tmsmim1757) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amefungua kongamano Maalum la Maadhimisho ya kutimia Miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar lililofanyika katika Ukumbi wa Madina hall Wilaya ya Magharibi A. πŸ“† 22 April, 2026 πŸ“ Kianga, Zanzibar

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais <a href="/tmsmim1757/">OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR</a> Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amefungua kongamano Maalum la Maadhimisho ya kutimia Miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar lililofanyika katika Ukumbi wa Madina hall Wilaya ya Magharibi A.

πŸ“† 22 April, 2026
πŸ“ Kianga, Zanzibar
OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR (@tmsmim1757) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi Utumishi na Uendeshaji Ofisi ya Rais OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR Silima Juma Khamis amefungua Mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa Utumishi ofisini kwake Vuga Mkoa wa Mjini Magharibi. πŸ“† 26 April, 2026 πŸ“ Vuga Zanzibar. @maelezozanzibar

Mkurugenzi Utumishi na Uendeshaji Ofisi ya Rais <a href="/tmsmim1757/">OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR</a> Silima Juma Khamis amefungua Mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa Utumishi ofisini kwake Vuga Mkoa wa Mjini Magharibi.

πŸ“† 26 April, 2026
πŸ“ Vuga Zanzibar.

@maelezozanzibar
OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR (@tmsmim1757) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa akiwa katika ziara ya kikazi ya siku mbili kisiwani Pemba kusikiliza Changamoto za Wananchi zinazohusiana na Wizara hiyo. πŸ“† 27 April, 2026 πŸ“ Kaskazini Pemba.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa akiwa katika  ziara ya kikazi ya siku mbili kisiwani Pemba  kusikiliza Changamoto za Wananchi zinazohusiana na Wizara hiyo.

πŸ“† 27 April, 2026
πŸ“ Kaskazini Pemba.
OFISI YA RAIS TAMISEMIM ZANZIBAR (@tmsmim1757) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amehitimisha ziara yake ya kikazi katika Mkoa wa Kusini Pemba kusikiliza Changamoto za Wananchi zinazohusiana na Wizara hiyo. πŸ“† 28 April, 2026 πŸ“ Kusini Pemba.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amehitimisha ziara yake ya kikazi  katika  Mkoa wa Kusini Pemba  kusikiliza Changamoto za Wananchi zinazohusiana na Wizara hiyo.

πŸ“† 28 April, 2026
πŸ“ Kusini Pemba.